Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Nafahamu ule ni mchoro, lakini isiwe chanzo cha kumkosea Yesu heshima. Biblia inasema wazi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu. Lakini ninyi mnamchora Yesu, na hata baadhi ya mitume wake wakiwa na nywele ndefu. jisomee hapa kwenye Wakorintho wa kwanza. 11:14.

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

file-20200708-3995-5ulgxa.jpg

HD-wallpaper-jesus-christ-jesus-christ-christian-god-religious-thumbnail.jpg

jesus-is-lord.jpg
 
Nafahamu ule ni mchoro, lakini isiwe chanzo cha kumkosea Yesu heshima. Biblia inasema wazi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu. Lakini ninyi mnamchora Yesu, na hata baadhi ya mitume wake wakiwa na nywele ndefu. jisomee hapa kwenye Wakorintho wa kwanza. 11:14.

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

file-20200708-3995-5ulgxa.jpg

HD-wallpaper-jesus-christ-jesus-christ-christian-god-religious-thumbnail.jpg

jesus-is-lord.jpg
bila sanamu hakuna ukirisito bila sanamu hakuna misaraba
 
Katika jamii nyingi sana za kikristo Africa walidhani yule muigizaji et ndo Yesu!wakawa wanamuabudu makanisani na majumbani(wakatoliki)...wazungu walituweza aise .siku akija Yesu mwenye na hafananii na jamaa tutampinga wazi wazi....kuwa si yy
 
Wewe ni wakili wa mchongo wa shetani. Kwahivyo ukiwa na picha ya baba yako kwenye kuta za nyumba yako utakua umemkosea heshima, tuanzie hapa
 
Nafahamu ule ni mchoro, lakini isiwe chanzo cha kumkosea Yesu heshima. Biblia inasema wazi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu. Lakini ninyi mnamchora Yesu, na hata baadhi ya mitume wake wakiwa na nywele ndefu. jisomee hapa kwenye Wakorintho wa kwanza. 11:14.

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

file-20200708-3995-5ulgxa.jpg

HD-wallpaper-jesus-christ-jesus-christ-christian-god-religious-thumbnail.jpg

jesus-is-lord.jpg
Huyu si yule aliyeigiza movie ya yesu akapiga hela , kwani umeambiwa ndio yesu
 
Katika jamii nyingi sana za kikristo Africa walidhani yule muigizaji et ndo Yesu!wakawa wanamuabudu makanisani na majumbani(wakatoliki)...wazungu walituweza aise .siku akija Yesu mwenye na hafananii na jamaa tutampinga wazi wazi....kuwa si yy
Na hii inadhihirisha kiwango cha upumbafu wa hiyo jamii yako iliyoamini yule mwigizaji ndiye Yesu. Wengine jamii zetu zina akili walijua ni maigizo tu
 
Nafahamu ule ni mchoro, lakini isiwe chanzo cha kumkosea Yesu heshima. Biblia inasema wazi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu. Lakini ninyi mnamchora Yesu, na hata baadhi ya mitume wake wakiwa na nywele ndefu. jisomee hapa kwenye Wakorintho wa kwanza. 11:14.

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

file-20200708-3995-5ulgxa.jpg

HD-wallpaper-jesus-christ-jesus-christ-christian-god-religious-thumbnail.jpg

jesus-is-lord.jpg
Kwa nini usilete ya kwako ambayo amenyoa dongo au zikiwa nywele fupi?
 
Back
Top Bottom