Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Katika jamii nyingi sana za kikristo Africa walidhani yule muigizaji et ndo Yesu!wakawa wanamuabudu makanisani na majumbani(wakatoliki)...wazungu walituweza aise .siku akija Yesu mwenye na hafananii na jamaa tutampinga wazi wazi....kuwa si yy
Uzuri wa sisi wakatoliki, mnatutukana mnavyotaka, na sisi tunawapa nafasi ya kuwasikiliza. Tukitoka hapo tunakwenda kanisani kusali, then kwenye kitimoto na bia halafu tunarudi nyumbani. Tunakuacha na matusi yako
 
Natapatapa vipi na nimethibitisha jiwe ni ibada kamili na Lina feeling's na ni kiumbe na mwisho ni mkono wa Allah

Niliongeza swali alkurmuti aliwezaje kuliiba kuua waislamu na kusema Allah ajitokez

Upewe nin maana ? Maana hadithi humalizi mpaka mwisho Qur an hujui?
 
Hujui maana ya kuabudu nenda darasani kajifunze kwanza ,hakuna anyejali kuhusu nyota na mwezi na wala vitu hivyo havipo katika dini bali watu wameamua kuweka tu kama identify na pambo .

Mtu akivaa saaa au kofia basi ndio anabudu hivyo ? Au akipaka ndani kwake rangi nyeupe nasi ndio anaabudu hiyo ?

Kajifunze maana ya kuabudu kabla ya kukomenti na kudhihirisha ujinga wako hapo..
Darasani ustaadhi wangu pale Riyadh aliniambia waarabu wa kale kule mecca na waanzilishi wa dini ya kiislamu akina muhamadi walikua wanaabudu nyota na mwezi au alinidanganya??? ila wewe ndio upo sahii kaka utupe elimu???Watu gani hao waliamua kuweka kama identity au pambo kaka hizo nyota na mwezi???Mimi nilimjibu yule ustaadhi aliekua anadhiaki wakristo kwa kuwaita waabudu misalaba!!!
 
Hujui maana ya kuabudu nenda darasani kajifunze kwanza ,hakuna anyejali kuhusu nyota na mwezi na wala vitu hivyo havipo katika dini bali watu wameamua kuweka tu kama identify na pambo .

Mtu akivaa saaa au kofia basi ndio anabudu hivyo ? Au akipaka ndani kwake rangi nyeupe nasi ndio anaabudu hiyo ?

Kajifunze maana ya kuabudu kabla ya kukomenti na kudhihirisha ujinga wako hapo..
Bro mbona umepaniki mimi nilikua namjibu yule aliesema kwa dhiaka kua wakristo waabudu misalaba!!!!Mkuki kwa nguruwe au?????
 
Usipoteze muda wako kumjibu huyo hamnazo,huyo kakosa jibu la kumjibu mleta mada ndio maana ameamua kuzuga kwa kashfa za kipumbavu na za kitoto.
Mkuki kwa nguruwe eeeh????Mimi nilikua namjibu yule mshikaji alieandika kwa dhiaka kua wakristo waabudu misalaba!!!Tatizo lenu mnapenda kukashifu dini za wenzenu mkijibiwa kwa dhiaka mnapaniki wadau!!!!Mkuki kwa nguruwe au?????
 
Wakristo ni wachache kuliko unavyodhani.

Dini inayoitwa ya Kikristo imeundwa ili kupingana na kusudi la Mungu la ukombozi kws wanadamu.

Dini na imani ni dhana mbili tofauti.

Ukinielewa utagundua kitu
Kwahiyo dini ni ipi sasa???
 
Naona watu wameamua kuikwepa mada nakujadili vitu vingine kabisa au kuattack imani nyingine! Ina maana hawana majibu?

😀😀
Hakuna aliekwepa mada ila mleta uzi alileta mada kimakusudi kumkashifu Yesu na mapokeo ya imani ya wakristo sasa ulitegemea nini????Watu wacheke?????Ni sawa na mimi nikileta mada kusema muhamadi alikua anabusu ndimi za wanaume wenzake lazima baadhi watapaniki!!!Tatizo la waislamu wao wanajua tu kuwakashifu wakristo ila ukichambua imani yao wanapaniki!!Mkuki kwa nguruwe au??
 
Naona watu wameamua kuikwepa mada nakujadili vitu vingine kabisa au kuattack imani nyingine! Ina maana hawana majibu?

😀😀
Hakuna aliekwepa mada ila mleta uzi alileta mada kimakusudi kumkashifu Yesu na mapokeo ya imani ya wakristo sasa ulitegemea nini????Watu wacheke?????Ni sawa na mimi nikileta mada kusema muhamadi alikua anabusu ndimi za wanaume wenzake lazima baadhi watapaniki!!!Tatizo la waislamu wao wanajua tu kuwakashifu wakristo ila ukichambua imani yao wanapaniki!!Mkuki kwa nguruwe au
Labda wakristu hawana uhakika kama kweli Yesu alikuwepo, wanabahatisha tu kuchora, na kama kweli alikuwepo kuchora ni kukufuru.
Kwani hao wengine hawabahatishi???
 
Hakuna aliekwepa mada ila mleta uzi alileta mada kimakusudi kumkashifu Yesu na mapokeo ya imani ya wakristo sasa ulitegemea nini????Watu wacheke?????Ni sawa na mimi nikileta mada kusema muhamadi alikua anabusu ndimi za wanaume wenzake lazima baadhi watapaniki!!!Tatizo la waislamu wao wanajua tu kuwakashifu wakristo ila ukichambua imani yao wanapaniki!!Mkuki kwa nguruwe au

Kwani hao wengine hawabahatishi???
Rubbish.
 
NAOMBA KILA ANAYEMTEGEMEA MUNGU WA JUU MUUMBA MBINGU NA NCHI. AACHA KUCHANGIA KWENYE UZI HUU.

1. aliyeileta ni wakili wa shetani
2.inampango wa kuingizia watu roho chafu
3.vita yetu ni.kupambana na shetani
4.ni uzi wa adui
N.K.
 
Katika jamii nyingi sana za kikristo Africa walidhani yule muigizaji et ndo Yesu!wakawa wanamuabudu makanisani na majumbani(wakatoliki)...wazungu walituweza aise .siku akija Yesu mwenye na hafananii na jamaa tutampinga wazi wazi....kuwa si yy
Ni sawa tu!! wao wamuabuduo wako sahihi kabisa!! ...tatizo linakuja kwenu nyie waaafrica weusi wenye viherehere!! mnampenda yesu wao!

hawaja kulazimisha weye umuabudu yesu wao! ila mnajipeleka /ndkeza tu kwa sababu ya hela za yesu wao!! sasa wao hao RC wawafanyeje? wkt mnajipeleka? japo hata sadaka yenu hawaitaki!

yesu wao hao wakoloni ni mzungu na ni mtu mzuri kwa upande wao! kweli si unaona amewapa hela?? maisha bora wanatawala dunia kwa hali zote!!

yesu wao amewatengeza wao na hataki kuwatmbua ninyi sasa mnaona wivu na kuanza majungu!!
 
NAOMBA KILA ANAYEMTEGEMEA MUNGU WA JUU MUUMBA MBINGU NA NCHI. AACHA KUCHANGIA KWENYE UZI HUU.

1. aliyeileta ni wakili wa shetani
2.inampango wa kuingizia watu roho chafu
3.vita yetu ni.kupambana na shetani
4.ni uzi wa adui
N.K.
Mbuyuya lingine hili hapa! hata ukiwatetea hawakupi pasuuu! na yesu mzungu haji ng'ooo! mtasubiri sana ubungo stand!....yesu gani anakuja kwa Bus la mkoa?? hujiulizi tuuu!
 
JAMANI MMEONA HAWA WAKALA WA SHETANI WANAMDHIHAKI YESU SASA?

CHONDE CHONDE USIJE KWENYE UZI HUU

ACHANA NAO, UTAUMIA

WITO HUU NI KWA WATU WA MUNGU
 
Back
Top Bottom