Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Alifungua ni mkristo sio muislamu leta picha tuone kama upo analazimisha kweny dini yetu wala hayupo na alishakanywa.😂😂😂wakristo Wana force tufanane kwanza hamna imam mwanamke.
 
Hakuna muislamu kwa hapo soma kama kingereza hujui utafsiriwe😂😂wakristo mnalazimisha mambo
2015-01-06T101900Z_445121593_GM1EB161EBK01_RTRMADP_3_USA-FLORIDA-GAYMARRIAGE.jpg
maxresdefault.jpg


Assume baba ako ndo anaolewa Tena kwa bible .😂😂
 
Kweli nimeamini shetani yupo na anampinga KRISTO

nakukemea wewe shetani na wajumbe wako nenda motoni kwa jina la
YESU KRISTO ushindwe na ulegee.
Kazi yako imeisha pale msalabani, subiri malipo yako ya moto wa milele
 
Yeye ndo kamsikia nmekupa majibu kutokana na hadithi naona unarudi pale pale 😂😂
Tuliza akili kijana Umar kasema jiwe halina manufaa yoyote ila analibisu kwa sababu muhammad kalibusu

Umar kaona jiwe halina manufaa yoyote
Na muhammad anasema jiwe lina manufaa

Yupi mkweli
1. Umar
2. Muhammad
 
Tuliza akili kijana Umar kasema jiwe halina manufaa yoyote ila analibisu kwa sababu muhammad kalibusu

Umar kaona jiwe halina manufaa yoyote
Na muhammad anasema jiwe lina manufaa

Yupi mkweli
1. Umar
2. Muhammad
Kwani hadithi uliyoleta ni masimuliz ya nn si Umar?😂😂 Au umeleta kweny Qur an
 
Ni wapi kwenye Koran inasema mkabusu jiwe ? Na imesema Kwanini mkabusu jiwe?
.. Na Mwenyezi Mungu amewawajibishia watu wafanye Hija katika Nyumba hiyo (Al-Ka’aba), yule awezaye kufunga safari kwenda huko. Na atakayekanusha (asiende na hali ya kuwa ana uwezo) basi Mwenyezi Mungu si muhitaji anayewahitajia walimwengu ”(3:9 7).
 
.. Na Mwenyezi Mungu amewawajibishia watu wafanye Hija katika Nyumba hiyo (Al-Ka’aba), yule awezaye kufunga safari kwenda huko. Na atakayekanusha (asiende na hali ya kuwa ana uwezo) basi Mwenyezi Mungu si muhitaji anayewahitajia walimwengu ”(3:9 7).
Jiwe ni ibada kamili ya Allah , tumemaliza
 
.. Na Mwenyezi Mungu amewawajibishia watu wafanye Hija katika Nyumba hiyo (Al-Ka’aba), yule awezaye kufunga safari kwenda huko. Na atakayekanusha (asiende na hali ya kuwa ana uwezo) basi Mwenyezi Mungu si muhitaji anayewahitajia walimwengu ”(3:9 7).
Kijana mabano umeongeza wewe , acheni ku edit ibada ya jiwe ni lazima
 
Kwa nini anachorwa na nywele ndefu na bible inasema ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu? Si kumuabisha Yesu huko?
Kama wao walikuwa na nywele ndefu kama tujuavyo. Jee nn kipimo cha nywele ndefu? Inawezekena kipimo kilikuwa ni kiunon....na sio mabegani?
 
Jiwe jeusi .Litaletwa siku ya kiyama (kwa) mfano wa mtu lishuhudie kwa kila aliyellishika na kulibusu katika watu wa Dunia."
Jiwe la macca ni kiumbe hai mkiende kulibusu Lina feel kabisa na ukiligusa kwa moyo linakufutia dhambi zote

Najiuliza lilimvumilia vipi alkurmuti kulinyea
 
Jiwe la macca ni kiumbe hai mkiende kulibusu Lina feel kabisa na ukiligusa kwa moyo linakufutia dhambi zote

Najiuliza lilimvumilia vipi alkurmuti kulinyea
Hata mikono ni kiumbe hai siku ya kiama kama ulishika vitu haramu itasema, mdogo kama ulitumia mdomo kutukana na dhambi nyingine itasema siku iyo.
 
Hata mikono ni kiumbe hai siku ya kiama kama ulishika vitu haramu itasema, mdogo kama ulitumia mdomo kutukana na dhambi nyingine itasema siku iyo.
Ndio maana Umar alikosa heshima kusema jiwe halinufaishi

Kumbuka pia jiwe lile muhammad alisema ni mkono wa Allah

Sasa alkurmuti aliwezaje kunyea mkono wa Allah
 
Unatapatapa
Natapatapa vipi na nimethibitisha jiwe ni ibada kamili na Lina feeling's na ni kiumbe na mwisho ni mkono wa Allah

Niliongeza swali alkurmuti aliwezaje kuliiba kuua waislamu na kusema Allah ajitokeze
 
Back
Top Bottom