Kwanini Wakurya na Wachaga wanaheshimiana na kuelewana sana kwenye mambo mengi?

Kwanini Wakurya na Wachaga wanaheshimiana na kuelewana sana kwenye mambo mengi?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Hivi kwanini siku hizi imekua kama utamaduni alipo mkurya humkosi mchaga na alipo mchaga humkosi mkurya?

Mkurya hayuko tayari kushirikiana kwenye mambo mbalimbali na makabila mengine kama wasukuma au wahaya kutoka kanda ya ziwa lakini anashirikiana na wachaga kutoka kanda ya kaskazini, same to mchaga hayuko tayari kushirikiana na makabila menzio kutoka kaskazini kama wapare au wamasai kwenye mambo kadhaa but kaamua kwenda na mkurya.

Angalia kwenye siasa hawa wakurya na wachaga wana urafiki wa dhati kabisa usiotetereka hadi mikoa yao imekua ngome ya vyama vikuu vya upinzani kama chadema.

When it comes to national interest hawa watu huwa wana misimamo sawa isiyoyumbishwa tofauti na makabila mengine wanaopenda kunyenyekea.

Huku makazini napo ni ngumu kukuta mkurya na mchaga wanazungumziana vibaya au wana bifu za kijinga jinga.

Recently pia tumeona ndoa nyingi sana za hawa watu wakioleana.

So ebu mtupe siri ya huku kuheshimiana na kuelewana kwenu ili na sisi wa makabila mengine tujifunze kitu kutoka kwenu.
 
Hivi kwa nini siku hizi imekua kama utamaduni alipo mkurya humkosi mchaga na alipo mchaga humkosi mkurya?
Mkurya hayuko tayari kushirikiana kwenye mambo mbalimbali na makabila mengine kama wasukuma au wahaya kutoka kanda ya ziwa lakini anashirikiana na wachaga kutoka kanda ya kaskazini,same to mchaga hayuko tayari kushirikiana na makabila menzio kutoka kaskazini kama wapare au wamasai kwenye mambo kadhaa but kaamua kwenda na mkurya.
Angalia kwenye siasa hawa wakurya na wachaga wana urafiki wa dhati kabisa usiotetereka hadi mikoa yao imekua ngome ya vyama vikuu vya upinzani kama chadema.
When it comes to national interest hawa watu huwa wana misimamo sawa isiyoyumbishwa tofauti na makabila mengine wanaopenda kunyenyekea.
Huku makazini napo ni ngumu kukuta mkurya na mchaga wanazungumziana vibaya au wana bifu za kijinga jinga.
Recently pia tumeona ndoa nyingi sana za hawa watu wakioleana.
So ebu mtupe siri ya huku kuheshimiana na kuelewana kwenu ili na sisi wa makabila mengine tujifunze kitu kutoka kwenu.
Mkurya kwa mchagga siku zote Yuko SUBMISSIVE.

Ni daraja la PILI.

Siku akitaka na yeye kuchukua CROWN yatamkuta ya CHACHA WANGWE.

Anyway, kwetu Mara kwahiyo nawajua vizuri Wakurya.
 
"Ndege wafananao huruka pamoja".

Tuna tabia na tamaduni zinazofanana
 
Hivi kwa nini siku hizi imekua kama utamaduni alipo mkurya humkosi mchaga na alipo mchaga humkosi mkurya?
Mkurya hayuko tayari kushirikiana kwenye mambo mbalimbali na makabila mengine kama wasukuma au wahaya kutoka kanda ya ziwa lakini anashirikiana na wachaga kutoka kanda ya kaskazini,same to mchaga hayuko tayari kushirikiana na makabila menzio kutoka kaskazini kama wapare au wamasai kwenye mambo kadhaa but kaamua kwenda na mkurya.
Angalia kwenye siasa hawa wakurya na wachaga wana urafiki wa dhati kabisa usiotetereka hadi mikoa yao imekua ngome ya vyama vikuu vya upinzani kama chadema.
When it comes to national interest hawa watu huwa wana misimamo sawa isiyoyumbishwa tofauti na makabila mengine wanaopenda kunyenyekea.
Huku makazini napo ni ngumu kukuta mkurya na mchaga wanazungumziana vibaya au wana bifu za kijinga jinga.
Recently pia tumeona ndoa nyingi sana za hawa watu wakioleana.
So ebu mtupe siri ya huku kuheshimiana na kuelewana kwenu ili na sisi wa makabila mengine tujifunze kitu kutoka kwenu.
Wote siyo wabanti Kwa asili wametokea Sudan na Ethiopia 🤣🤣🤣hiyo inawatosha kuaminiana
 
Hivi kwa nini siku hizi imekua kama utamaduni alipo mkurya humkosi mchaga na alipo mchaga humkosi mkurya?
Mkurya hayuko tayari kushirikiana kwenye mambo mbalimbali na makabila mengine kama wasukuma au wahaya kutoka kanda ya ziwa lakini anashirikiana na wachaga kutoka kanda ya kaskazini,same to mchaga hayuko tayari kushirikiana na makabila menzio kutoka kaskazini kama wapare au wamasai kwenye mambo kadhaa but kaamua kwenda na mkurya.
Angalia kwenye siasa hawa wakurya na wachaga wana urafiki wa dhati kabisa usiotetereka hadi mikoa yao imekua ngome ya vyama vikuu vya upinzani kama chadema.
When it comes to national interest hawa watu huwa wana misimamo sawa isiyoyumbishwa tofauti na makabila mengine wanaopenda kunyenyekea.
Huku makazini napo ni ngumu kukuta mkurya na mchaga wanazungumziana vibaya au wana bifu za kijinga jinga.
Recently pia tumeona ndoa nyingi sana za hawa watu wakioleana.
So ebu mtupe siri ya huku kuheshimiana na kuelewana kwenu ili na sisi wa makabila mengine tujifunze kitu kutoka kwenu.
Wapi huko umepata idadi ya kutosha kufanya majumuisho?
 
Hivi kwa nini siku hizi imekua kama utamaduni alipo mkurya humkosi mchaga na alipo mchaga humkosi mkurya?
Mkurya hayuko tayari kushirikiana kwenye mambo mbalimbali na makabila mengine kama wasukuma au wahaya kutoka kanda ya ziwa lakini anashirikiana na wachaga kutoka kanda ya kaskazini,same to mchaga hayuko tayari kushirikiana na makabila menzio kutoka kaskazini kama wapare au wamasai kwenye mambo kadhaa but kaamua kwenda na mkurya.
Angalia kwenye siasa hawa wakurya na wachaga wana urafiki wa dhati kabisa usiotetereka hadi mikoa yao imekua ngome ya vyama vikuu vya upinzani kama chadema.
When it comes to national interest hawa watu huwa wana misimamo sawa isiyoyumbishwa tofauti na makabila mengine wanaopenda kunyenyekea.
Huku makazini napo ni ngumu kukuta mkurya na mchaga wanazungumziana vibaya au wana bifu za kijinga jinga.
Recently pia tumeona ndoa nyingi sana za hawa watu wakioleana.
So ebu mtupe siri ya huku kuheshimiana na kuelewana kwenu ili na sisi wa makabila mengine tujifunze kitu kutoka kwenu.
ngoja nioe huyu mmachame basi
 
Hyo research kwa sample ipi na toka population gani,au umeangalia akina Chacha Wangwe na CHADEMA.
 
Hivi kwa nini siku hizi imekua kama utamaduni alipo mkurya humkosi mchaga na alipo mchaga humkosi mkurya?
Mkurya hayuko tayari kushirikiana kwenye mambo mbalimbali na makabila mengine kama wasukuma au wahaya kutoka kanda ya ziwa lakini anashirikiana na wachaga kutoka kanda ya kaskazini,same to mchaga hayuko tayari kushirikiana na makabila menzio kutoka kaskazini kama wapare au wamasai kwenye mambo kadhaa but kaamua kwenda na mkurya.
Angalia kwenye siasa hawa wakurya na wachaga wana urafiki wa dhati kabisa usiotetereka hadi mikoa yao imekua ngome ya vyama vikuu vya upinzani kama chadema.
When it comes to national interest hawa watu huwa wana misimamo sawa isiyoyumbishwa tofauti na makabila mengine wanaopenda kunyenyekea.
Huku makazini napo ni ngumu kukuta mkurya na mchaga wanazungumziana vibaya au wana bifu za kijinga jinga.
Recently pia tumeona ndoa nyingi sana za hawa watu wakioleana.
So ebu mtupe siri ya huku kuheshimiana na kuelewana kwenu ili na sisi wa makabila mengine tujifunze kitu kutoka kwenu.
Na kuhusu kuoleana,by simple observation watu wengi wa kanda ya ziwa wenye uwezo wameoa uchagani(rangi ya mtume)
 
Kwasababu wote wana roho mbaya kukupeleka kwa baba muumba dakika tu ukiwazingua kwenye mgao wanajali hela kuliko kitu chochote hao.
 
Do, zito kalikoroga naona anaingia hata kwenye mada za familia humu 😂 ahahahaaa...

Na kweli akaombe ukoo wake wafukue alipo mamake naye awekwe pembeni yake!.
 
Back
Top Bottom