Kwanini Wakurya na Wachaga wanaheshimiana na kuelewana sana kwenye mambo mengi?

Kwanini Wakurya na Wachaga wanaheshimiana na kuelewana sana kwenye mambo mengi?

Kwasababu wote wana roho mbaya kukupeleka kwa baba muumba dakika tu ukiwazingua kwenye mgao wanajali hela kuliko kitu chochote hao.
Roho mbaya wamefanya ubaya upi unaojulikana?
 
Kwasababu wote wana roho mbaya kukupeleka kwa baba muumba dakika tu ukiwazingua kwenye mgao wanajali hela kuliko kitu chochote hao.
Mbona ni watu poa sana hao jamaa and smart sana vichwani mwao?
 
..kwasababu Wakurya wanapenda kichuri, na Wachaga wanapenda kisusio.
 
Back
Top Bottom