kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
- Thread starter
- #21
😂😂😂🙌🙌Utaniitaje mlevi wakati ndio mlipa kodi mkubwa nchi hii.Utaniitaje mlevi wakati nina usafiri binafsi,utaniitaji mlevi wakati watoto wangu wanasoma shule sio za kata,utaniitaje mlevi wakati nina nyumba ya kuishi nzuri tu,Utaniitaje mlevi wakati nimekuzidi wewe mnywa kahawa kijiweni,hebu nionyeshe maendeleo yako sababu tu hunywi.
Tuheshimiane braza usiingie anga zetu kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake nyie ndio mkiona mtu kaendelea huku anakunywa mnamuita ni FREE MASON.
WAITER ONGEZA K-VANT NA PELEKA MOJA MOTO MEZA ILE