Kwanini walevi wakiambiwa wamelewa wanachukia?

😂😂😂🙌🙌
 
Akikubali kuwa kalewa huyo hajalewa! Mlevi lazima uwe mbishi kidogo..
Walevi wanabishiaga hadi nyimbo,wengine mpaka taarifa ya habari..😂
🤣😂🤣 Wanajiita walipa kodi
 
Umajuaje kama na wewe siyo mlevi?
 
Hahaha!

Hiyo kauli namba moja ni common zaidi.
 
Wanataka tuwaite walipa kodi
Jina sahihi kabisa. Ukiendesha mkoko wako kwenye lami unatembea juu ya pesa ya huyo unayemwita mlevi.

Ukiona mtu anakunywa, kwanza mpe pole kwa majukumu. Kisha umshukuru kwa kazi kubwa anayoifanya ya kukuletea maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…