kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
- Thread starter
-
- #21
😂😂😂🙌🙌Utaniitaje mlevi wakati ndio mlipa kodi mkubwa nchi hii.Utaniitaje mlevi wakati nina usafiri binafsi,utaniitaji mlevi wakati watoto wangu wanasoma shule sio za kata,utaniitaje mlevi wakati nina nyumba ya kuishi nzuri tu,Utaniitaje mlevi wakati nimekuzidi wewe mnywa kahawa kijiweni,hebu nionyeshe maendeleo yako sababu tu hunywi.
Tuheshimiane braza usiingie anga zetu kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake nyie ndio mkiona mtu kaendelea huku anakunywa mnamuita ni FREE MASON.
WAITER ONGEZA K-VANT NA PELEKA MOJA MOTO MEZA ILE
Walipa kodi wako moto sanaHawa walipa kodi Wana mengi sana
Sema vichaa wote wanawaona wazima ndo vichaa halafu wao ndo Wana akili na wako na future mnoUmewahi kukutana na kichaa ukamwambia "WEWE NI KICHAA?"
😂😂😂😂Walevi ni kama VIMBWENELEHI tu, yaani kijitu kifupi chafika magotini, halafu ukikiambia kuwa ni kifupi kinakupiga mangumi, ebo!!?
🤣😂🤣 Wanajiita walipa kodiAkikubali kuwa kalewa huyo hajalewa! Mlevi lazima uwe mbishi kidogo..
Walevi wanabishiaga hadi nyimbo,wengine mpaka taarifa ya habari..😂
Umajuaje kama na wewe siyo mlevi?Bila shaka wote humu ni wazima.
Na wale wenye changamoto za hapa na pale nizidi tu kuwaombea Kwa Allah awatatulie shida zao.
Moja Kwa moja niingie kwenye lengo la kuuliza swali langu hili ni Kama ifuatavyo.
Iko wazi kuwa Kila mtu anafurahia Kila anapofanya kitu ambacho anaona kiko sawa. Na mara nyingine haiwi aibu kujinadi Kwa watu kuwa yeye ni mtu wa namna gani. Mtu akila chakula kizuri haiwi aibu kwake Kama ataulizwa amekula nini ikawa hawezi kujibu wazi wazi.
Sio jambo la aibu Kwa mtu mswaliji kujibu narudi msikitini endapo ataulizwa ulikuwa wapi hali kadhalika wakristo nao watakujibu kuwa wanarudi kanisani bila aibu na Kwa furaha tele.
Iweje hawa walevi na wanywaji wanapenda kuvunga wanapoulizwa maswali inayoendana na taratibu na mazingira Yao Kwa muonekano wao wa nje?
Kwani ulevi kwao wao sio sehemu ya furaha?
Kwanini hawapendi kuambiwa kuwa wamelewa wakati kilabuni/bar wanaenda Kwa hiyari yao?
Kwani nyie walevi mnatuchukuliaje sisi tusiolewa katika jamii?
Naomba kuwasilisha swali langu Kwa masikitiko makubwa sana.
Ahsanteni...
🤣🤣🤣 Kwanini walipa kodi hawapendi kuambiwa ukweli,wanahoja nyingi Sana za uteteziKwani Wazinzi wanapenda kuitwa wazinzi
Wenyewe wanaitana "Baharia" su ""Striker""
Nyani haoni kundule
Wanataka tuwaite walipa kodiUmajuaje kama na wewe siyo mlevi?
Kwahiyo hautumii gongo?Pombe nyeupe sio nzuri.
Unawachokoza....Mlevi bhana ..
Sio gongo tu k vant, konyagi, double kick, asilia, n. KKwahiyo hautumii gongo?
Kwahiyo unapiga chibuku sio?Sio gongo tu k vant, konyagi, double kick, asilia, n. K
Naogopa nitapiga watu mikwaraKalewe na wewe
Hahaha!Ukisikia hizi kauli jua kashalewa mtu
Bro mm nishawai kukuvunjia heshima...........[emoji16][emoji16]
Unanijua mm ni nani.........[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Dah bro mm nakukubali sana toka kitambo icho........[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my using JamiiForums mobile app
Jina sahihi kabisa. Ukiendesha mkoko wako kwenye lami unatembea juu ya pesa ya huyo unayemwita mlevi.Wanataka tuwaite walipa kodi