Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
I agree, I love them although she is a side chick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I agree, I love them although she is a side chick
Ha ha ha ebu fafanua vizuri mkuuTunaolewa ila hatubahatiki kupata wanaume wa kusaidia majukumu unakuwa wewe ndo baba na mama pia kwa watoto.
SadHa ha ha ebu fafanua vizuri mkuu
Fact! Sentence ya kwanza futa post ianzie hapo kwenye "Kwanza..."... kuna mentality za kijinga mingoni mwa wanaume wengi wa kitanzania waliofikia levels za bachelors, phd's, etc. Kwanza kuoa mwanamke aliyesoma (graduate, etc.) ni kujitafutia matatizo - dharau, viburi, n.k. Mwanamke aliyesoma akipata kazi (+ elimu aliyonayo) ni jeuri sana; hakuna heshima ndani ya ndoa!
Pili, kuoa mbumbumbu totally wakati wewe angalau umegraduate nayo ni changamoto nyingine - watanionaje?
Inamaana mtu anavyozidi kuwa bize ndio umuhimu wa ndoa anakuwa hauoni au ?Ni nyinyi wenyewe humu huwa mnawaita vilaza hawa watu kwajili ya division four zao. Hao wanapata muda wa kutosha kujamiiana (kujamiika) na watu kwasababu wana elimu ya kiwango cha kati
🤔🤔🤔 hiii nimeiona sana sehemu franiWanachukulia wanaume mikopo ....lol
Alikuwa analazimisha tendo au?Kuna rafiki yangu alioa WP akajistukia yupo korokoroni...
Uko sahii kabisa,Ni nyinyi wenyewe humu huwa mnawaita vilaza hawa watu kwajili ya division four zao. Hao wanapata muda wa kutosha kujamiiana (kujamiika) na watu kwasababu wana elimu ya kiwango cha kati
Angalia/tafiti zaidi utagundua kuwa watu wa kiwango cha chini cha elimu ndo wanaopata muda zaidi wa kuendana na utamaduni wa jamii wakifuatiwa na hao unaoulizia kisha nyinyi wasomi wa viwango vya juu vya
Ni ugomvi tu...wa mke na mume.Alikuwa analazimisha tendo au?
Samia ana mume wa kueleweka kwenye jamii ?Mahakimu, Majaji na wanasheria asilimia kubwa sana wako Single. Ni bahati mbaya lkn ndiyo ukweli wenyewe. Kama unaye ujue ni timely bomb. Pia wenye vyeo vikubwa serikalini nao pia ni ngumu kukaa nao. Naomba ukipata habari hii ewe mwanaume mwenzangu CHUKUA HATUA
Vijana wa hovyoo kuwa ma atheist imekuuma sana chifuNi nyinyi wenyewe humu huwa mnawaita vilaza hawa watu kwajili ya division four zao. Hao wanapata muda wa kutosha kujamiiana (kujamiika) na watu kwasababu wana elimu ya kiwango cha kati
Kwa mwanamke mwenye akili ndoa si bahati tu, ni maamuzi ya kuchagua mume bora.Tunaolewa ila hatubahatiki kupata wanaume wa kusaidia majukumu unakuwa wewe ndo baba na mama pia kwa watoto.
whatShwzny
Asifiaye mvua imemnyeshea nadhani mpaka hapo umenielewa tena ilikuwa ndoa ya roman mkuuTupe ushuhuda mkuu