flyn rider
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 456
- 78
Wadau hivi kwanini ya majority ya waliopata alama ndogo form four na form six wanakimbilia ualimu lakini wanaopata alama nzur kidogo tu hawawazi kuwa walimu wanafkiria vitu vyengine,?
N.b sio wote but ni wengi wao
N.b sio wote but ni wengi wao