Kwanini Walokole wanaamini Kila gumu wanalopitia ushirikina umehusika?

Kwanini Walokole wanaamini Kila gumu wanalopitia ushirikina umehusika?

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,

Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
 
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani asipouza au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika,
Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome majani ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi,
unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwnyw anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Hao pia ni washirikina. Siku moja nikiwa mdhambi nilienda kwa mganga mida ya asbh nikakuta mganga kama kachoka ikabidi nimuulize inakuwaje. Akajibu kuwa usiku mzima alikuwa akiwaganga wachungaji.
 
Kwasababu wao wenyewe ni washirikina pia. Ulokole ni kiini macho tu cha kufanya shughuli za kichawi.
Utajo wa Mungu ni mdogo mno ukilinganisha na makelele yaliyochanganywa na mazingaombwe mixer tuhuma za kila alie karibu yako ni mchawi.

Hakuna viumbe wenye roho mbaya na husda kama walokole. Na kuhalalisha matendo yao wako radhi kusingizia mtu uchawi na mapepo.

Nyuma ya mikesha ya walokole kuna;

Uzinzi uliokithiri.
Uchawi na ushirikina.
Majungu na roho mbaya.

Ukitaka kusadiki haya, angalia nyumba ikiwa na mwenza mmoja mlokole na mwingine sio, huwa hazidumu.
 
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani asipouza au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika,
Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome majani ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi,
unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwnyw anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
nenda kaishi shinyanga eneo la GANABUSH ndo utjua walokole wna logik au vipi!!!
 
Kwasababu wao wenyewe ni washirikina pia. Ulokole ni kiini macho tu.

Hakuna viumbe wenye roho mbaya na husda kama walokole. Na kuhalalisha matendo yao wako radhi kusingizia mtu uchawi na mapepo.
Kihalisia mi namchukulia yeye ndo Mshirikina, na analeta ushirikina kwenye biashara zetu
 
65 ya matatizo ya watu kwenye nchi za kiafrica ,sio natural cause ethical
Ni mkono wa mtu au ni mizimu
Kutokuoa
Ndoa kuvunjika
Watu kuwa waraibu wa pombe sio vitu vya kusolve kwa kutumia akili zako za kukariri upo ufahamu beyond ulionao binti
 
Kwasababu wao wenyewe ni washirikina pia. Ulokole ni kiini macho tu.

Hakuna viumbe wenye roho mbaya na husda kama walokole. Na kuhalalisha matendo yao wako radhi kusingizia mtu uchawi na mapepo.

Nyuma ya mikesha ya walokole kuna;

Uzinzi uliokithiri.
Uchawi na ushirikina.
Majungu na roho mbaya.

Ukitaka kusadiki haya, angalia nyumba ikiwa na mwenza mmoja mlokole na mwingine sio, huwa azidumu.
UKISHAKUWA NA RAFIKI AU JIRANI AU NDUGU AKAWA MLOKOLE TENA AKIFIKA KWA MWAMPOSA NA WENZAKE AKINA KUHANI MUSA...BASI UKARIBU WENU UTAKUFA....NA UTAANZA KUSIKIA TUHUMA ZA UCHAWI DHIDI YAKO...MAMBO AMBAYO KIUHALISIA ULIKUWA UNAYAPATA KILINGENI WKA WAGANGA AMBAO RAMLI ZAO HAZIWAACHI SALAMA WATU WAKO WA KARIBU...
 
UKISHAKUWA NA RAFIKI AU JIRANI AU NDUGU AKAWA MLOKOLE TENA AKIFIKA KWA MWAMPOSA NA WENZAKE AKINA KUHANI MUSA...BASI UKARIBU WENU UTAKUFA....NA UTAANZA KUSIKIA TUHUMA ZA UCHAWI DHIDI YAKO...MAMBO AMBAYO KIUHALISIA ULIKUWA UNAYAPATA KILINGENI WKA WAGANGA AMBAO RAMLI ZAO HAZIWAACHI SALAMA WATU WAKO WA KARIBU...
Usemalo Ni kweli kabisa, huyu jirani yangu tangu afeli kurejesha mikopo yake, na biashara zake zikayumba, na akaanza kusali haya makanisa ya kilokole, amekua anajitenga na sisi kabisa
 
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani asipouza au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika,
Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udo, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi,
unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwnyw anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Mlokole hatumii, keki,mafuta,maji ya upako. Na bado kuna wali wa upako na mayai, andazi n.k. mi mlokole full hapa.
 
Back
Top Bottom