atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Naona umeshindwa kuvumilia,walokole nyie mna matatizo mengi sanaInaonekana wazi wewe Una matatizo sana zaidi ya hao walokole unaowataja!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeshindwa kuvumilia,walokole nyie mna matatizo mengi sanaInaonekana wazi wewe Una matatizo sana zaidi ya hao walokole unaowataja!!!!
point ya mwisho nakaziaKwasababu wao wenyewe ni washirikina pia. Ulokole ni kiini macho tu cha kufanya shughuli za kichawi.
Utajo wa Mungu ni mdogo mno ukilinganisha na makelele yaliyochanganywa na mazingaombwe mixer tuhuma za kila alie karibu yako ni mchawi.
Hakuna viumbe wenye roho mbaya na husda kama walokole. Na kuhalalisha matendo yao wako radhi kusingizia mtu uchawi na mapepo.
Nyuma ya mikesha ya walokole kuna;
Uzinzi uliokithiri.
Uchawi na ushirikina.
Majungu na roho mbaya.
Ukitaka kusadiki haya, angalia nyumba ikiwa na mwenza mmoja mlokole na mwingine sio, huwa hazidumu.
Hata nyinyi Najua si malaika yawezekana Mkawa na matatizo makubwa kupita ya hao walokole unaowasema!!Naona umeshindwa kuvumilia,walokole nyie mna matatizo mengi sana
Huo sasa ni Umama mpaka ukajua anashindia mkate!!point ya mwisho nakazia
Kuna jirani yangu mmoja, mwanamke toka asubuhi mpaka jioni anashinda kanisani sijui yupo kwenye kitengo cha maombi sijui , mme wake unamkuta anashindia mkate na juice maana wa kupika hamna
Na bado wanajiita walokole. Stupid!Yap, wanaamini wamezungukwa na maadui tu.
Nimeuliza mlokole ni nani? Yawezekana kabisa mmejipa jina ambalo hata asili yake hamlijui. Umezaliwa tu umekuta watu wanabwabwaja lugha kama za walevi ukaaambiwa wanaitwa walokoleHata nyinyi Najua si malaika yawezekana Mkawa na matatizo makubwa kupita ya hao walokole unaowasema!!
Usiwe mpuuzi kuwaamini walokole, wale jamaa ni sawa na watu waliochanganikiwa. Mlokole akivimbiwa na kushinda kunya anakemea pepo ambazo hata yeye mwenyewe hazijuwi. Ni wapuuzi mno na akili zao hazina akili.Sijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Nina jirani wa hivyo..yy anasali makanksa ya kilokole ila sasa kifua na mgongo umejaa chale...akivaa nguo ya wazi..Kwakuwa ni washirika wa ushirikina na wengi wametiwa mihuri ya chale
Walokole ni viumbe mashetani,wana chuki na roho mbaya hao mbwaKwasababu wao wenyewe ni washirikina pia. Ulokole ni kiini macho tu cha kufanya shughuli za kichawi.
Utajo wa Mungu ni mdogo mno ukilinganisha na makelele yaliyochanganywa na mazingaombwe mixer tuhuma za kila alie karibu yako ni mchawi.
Hakuna viumbe wenye roho mbaya na husda kama walokole. Na kuhalalisha matendo yao wako radhi kusingizia mtu uchawi na mapepo.
Nyuma ya mikesha ya walokole kuna;
Uzinzi uliokithiri.
Uchawi na ushirikina.
Majungu na roho mbaya.
Ukitaka kusadiki haya, angalia nyumba ikiwa na mwenza mmoja mlokole na mwingine sio, huwa hazidumu.
Je wewe ni mlokole au Mwislamu?Nimeuliza mlokole ni nani? Yawezekana kabisa mmejipa jina ambalo hata asili yake hamlijui. Umezaliwa tu umekuta watu wanabwabwaja lugha kama za walevi ukaaambiwa wanaitwa walokole