Kwanini Walokole wanaamini Kila gumu wanalopitia ushirikina umehusika?

Kwanini Walokole wanaamini Kila gumu wanalopitia ushirikina umehusika?

Matatzo yangu Ni yapi mkuu
Kama unapenda kuongelea matatizo ya watu wengine Automatic wewe unayo matatizo makubwa sana ndiyo maana hujaelezea kuhusu hizo tunguli zako na mambo mengine unayoyajua wewe. Unazungumza matatizo ya wengine njoo na suluhisho! Ukikosa nyamaza maana hayakuhusu!!
 
Hao pia ni washirikina. Siku moja nikiwa mdhambi nilienda kwa mganga mida ya asbh nikakuta mganga kama kachoka ikabidi nimuulize inakuwaje. Akajibu kuwa usiku mzima alikuwa akiwaganga wachungaji.
Huyo alikuwa anakupanga tuu nawe ukamwamini àkakuuzia kinyesi cha nguruwe ukajua ni dawa maana hata wachungaji wanatumia.
Alikutajia màjina hao wachungaji walau mmoja?
Wajinga ndio mliwao.
 
Most of them ni wavivu kufanya kazi, hata kufikiria ni wavivu, they don't have customer cares
Alaf wanafikiri kupiga pasi nguo,na kunyoa ndevu ndo ulokole!!!,,,,,,,,ila wazinzi kinoma!!! mlikole anayeishi sinza anaenda kuzini mbagala na mlokole wa mbagala anaenda kuzini sinza!!!........alaf wana majungu balaa!!!
 
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,

Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Kwakuwa ni washirika wa ushirikina na wengi wametiwa mihuri ya chale
 
Hii ni mentality ya Watanzania karibu wote japo Walokole wamezidi.

Fuatilia status za wengi utasikia, "Nawapenda mnaonipenda, maadui zangu mkae mbali, hata mkinisema sipungukiwi kitu, mnanijua sana kupita mama yangu"...
SAWA...HATUKOSI MAADUI...ILA KWANINI IWE WEWE TU...NDIO UJIHISI UNACHUKIWA TU...
 
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,

Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
upo
 
Sasa mtu anakuja Hadi kwenye Kona ya fremu lako, akemea na anachoma vitu hata havieleweki
Mkuu wewe kama hauamini hayo mambo mbona unayapa muda kichwani kwako?

Sehemu muhimu sana ya kutokuamini ni kupuuza, lasivyo utakuwa unaweka vihoro moyoni ukitaka kila mtu asiamini kama wewe. Na hayo ni mateso mkuu.
 
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,

Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.

Moja Kwa Moja,

Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.

Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.

Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?

Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔

KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO

Wao ndio wanafanya ushirikina kwa kujipa excuse ya kuamua kuwasingizia wasiohusika kwenye matatizo ambayo wanatakiwa kuyakubali na kuweka mikakati ya kupambana nayo.

Africans don't want to be responsible when the going gets tough, and we prefer to have simple answers to the very difficult questions. We end up being disappointed and failures.

Unless we decide to change and take ownership of our own destinations, every now and then, we will be blaming others for our own shortfalls.
 
Back
Top Bottom