Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unapenda kuongelea matatizo ya watu wengine Automatic wewe unayo matatizo makubwa sana ndiyo maana hujaelezea kuhusu hizo tunguli zako na mambo mengine unayoyajua wewe. Unazungumza matatizo ya wengine njoo na suluhisho! Ukikosa nyamaza maana hayakuhusu!!Matatzo yangu Ni yapi mkuu
Huyo alikuwa anakupanga tuu nawe ukamwamini àkakuuzia kinyesi cha nguruwe ukajua ni dawa maana hata wachungaji wanatumia.Hao pia ni washirikina. Siku moja nikiwa mdhambi nilienda kwa mganga mida ya asbh nikakuta mganga kama kachoka ikabidi nimuulize inakuwaje. Akajibu kuwa usiku mzima alikuwa akiwaganga wachungaji.
Alaf wanafikiri kupiga pasi nguo,na kunyoa ndevu ndo ulokole!!!,,,,,,,,ila wazinzi kinoma!!! mlikole anayeishi sinza anaenda kuzini mbagala na mlokole wa mbagala anaenda kuzini sinza!!!........alaf wana majungu balaa!!!Most of them ni wavivu kufanya kazi, hata kufikiria ni wavivu, they don't have customer cares
Kwakuwa ni washirika wa ushirikina na wengi wametiwa mihuri ya chaleSijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Mlokole ni nani?Mlokole hatumii, keki,mafuta,maji ya upako. Na bado kuna wali wa upako na mayai, andazi n.k. mi mlokole full hapa.
SAWA...HATUKOSI MAADUI...ILA KWANINI IWE WEWE TU...NDIO UJIHISI UNACHUKIWA TU...Hii ni mentality ya Watanzania karibu wote japo Walokole wamezidi.
Fuatilia status za wengi utasikia, "Nawapenda mnaonipenda, maadui zangu mkae mbali, hata mkinisema sipungukiwi kitu, mnanijua sana kupita mama yangu"...
upoSijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
anahisi wachawiUsemalo Ni kweli kabisa, huyu jirani yangu tangu afeli kurejesha mikopo yake, na biashara zake zikayumba, na akaanza kusali haya makanisa ya kilokole, amekua anajitenga na sisi kabisa
Yap, wanaamini wamezungukwa na maadui tu.Kwamba wanarusha Sana vijembe
na mganga akimwona mlokole anatamani ampige ROBA ya mbao!!mlokole akimuona mganga anatamani kumchoma moto😁😁😁😁😁😁
😁😁😁😁😁😁na mganga akimwona mlokole anatamani ampige ROBA ya mbao!!
Mkuu wewe kama hauamini hayo mambo mbona unayapa muda kichwani kwako?Sasa mtu anakuja Hadi kwenye Kona ya fremu lako, akemea na anachoma vitu hata havieleweki
Sijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
sina mambo mkuuNa wewe ungejali mambo yako ukapita kimya kimya.