AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Sasa mkuu, husimamii biashara zako ipasavyo, MDA mwingi unautumia makanisani, umewaachia Watu Baki,wanafanya Bora liende65 ya matatizo ya watu kwenye nchi za kiafrica ,sio natural cause ethical
Ni mkono wa mtu au ni mizimu
Kutokuoa
Ndoa kuvunjika
Watu kuwa waraibu wa pombe sio vitu vya kusolve kwa kutumia akili zako za kukariri upo ufahamu beyond ulionao binti
Mimi nilikuwa na jirani yangu...nashangaa naenda dukani unaambiwe yule msipokee pesa yake...chumq ulete yule...unaishia kucheka tu...kwa sababu hujui hata huo uchuma ulete unafanyikaje...ningeenda kuufanyia bank...Usemalo Ni kweli kabisa, huyu jirani yangu tangu afeli kurejesha mikopo yake, na biashara zake zikayumba, na akaanza kusali haya makanisa ya kilokole, amekua anajitenga na sisi kabisa
Ukisoma sn biblia unakuwa muoga na kujitisha mwenyeweSijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani asipouza au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika,
Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udo, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi,
unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwnyw anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Inaonekana wazi wewe Una matatizo sana zaidi ya hao walokole unaowataja!!!!Sijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani asipouza au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika,
Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udo, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi,
unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwnyw anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Yaani vitu vya HOVYO kabisa,Eti mtoto wake au kijana wake MLEVI WA POMBE, MRAIBU WA MADAWA YA KULEVYA KWA AJILI YA KAMPANI YAKE...AU BINT KAANZA UMALAYA...AKIENDA KWA MWAMPOSA NA WENZIE ANAAMBIWA KUNA MTU KATIKA NDUGU ZAKO WA KARIBU AU JIRANI YAKO KAWATUPIA PEPO WANAO...NONSENSE...
Ndivyo wanavyoaminishwa na manabii wao ili wawakamue pesa bila huruma mkuu.Sijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani asipouza au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika,
Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udo, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi,
unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwnyw anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
Ha ha ha....Mimi nilikuwa na jirani yangu...nashangaa naenda dukani unaambiwe yule msipokee pesa yake...chumq ulete yule...unaishia kucheka tu...kwa sababu hujui hata huo uchuma ulete unafanyikaje...ningeenda kuufanyia bank...
🤣🤣🤣Sijaelewa imekaaje hii wakuu,
Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara.
Moja Kwa Moja,
Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati.
Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu lake, mara akemee pepo, Mara achome udi, sijui majani anayaita ya upako kwenye Kona za fremu za wenzie.
Sasa Kwa vitendo hivi, unabaki kujiuliza, hivi Mshirikina halisi Ni nani, je Ni yule asiyejulikana anaedai anamroga?
Au Mshirikina ni yeye mwenyewe anaezunguka kwenye mafremu ya wenzake anachoma na kunyunyizia vitu Hata havieleweki.🤔
KUNA VITU VINAKERA UNAWEZA JIKUTA UMEMZABA MAKOFI JIRANI YAKO
age is just a number,,kuna dogo ana miaka 16 yupo pale kivu ya kaskazini amekomaa kuliko wewe mazee!!Nna miaka 42 mkuu
Kuna Mstari mwembamba Sana Yaani mwembamba Kama Utando wa Buibui Kati ya Mchawi na Mlokole au mshirikina na Mlokole...Umecheka brother, yaani Kuna majirank Wana uswahili Sana, afu ukiangalia unajikuta unawaheshimu sn
Kwamba wanarusha Sana vijembeHii ni mentality ya Watanzania karibu wote japo Walokole wamezidi.
Fuatilia status za wengi utasikia, "Nawapenda mnaonipenda, maadui zangu mkae mbali, hata mkinisema sipungukiwi kitu, mnanijua sana kupita mama yangu"...