Kwanini Wamasai wanabaguliwa sana?

Kwanini Wamasai wanabaguliwa sana?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
IMG-20220225-WA0002.jpg

Bar ya Sun Siro imepiga marufuku watu wa jamii ya Kimasai kuingia kwenye bar hiyo.

Huu ni ubaguzi rasmi ambao hauna jina jingine ila ubaguzi wa kikabila.

Nyerere alishasema dhambi ya ubaguzi wa kikabila ni sawa na kula nyama ya mtu.

Nazuimba mamlaka zinazohusika na kutoa na kusimamia leseni za vileo, zisilifumbie swala hili macho
 
Si kweli, wapi umeona masai kaleta fujo bar? Fujo wanaleta Wakurya
Kuna Masai alipanda daladala 2016 akawa ashuka pale mwenge akawa hataki kutoa nauli walipozozana na kondakta akatoa sime, hivyo hata hapo itakuwa ilitokea situation km hyo
 
Back
Top Bottom