monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Yule jamaa alikamatwa akakabidhiwa kwa wale traffic wa pale mwenge na sjui walimpeleka wapi yule Masai baadae wale traffic, nakumbuka ile daladala ilikuwa inatoka route ya makongo juu kwenda makumbushoLeta facts. Kesi ilienda polisi?