KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Ususahau na kanda maalum ya Roryahata sisi wakurya tunabaguliwa pia
tumewekewa kanda maalum ya kipolisi
tunaonewa kishenzi hapa tarime
kila hatua unakutana na FFU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ususahau na kanda maalum ya Roryahata sisi wakurya tunabaguliwa pia
tumewekewa kanda maalum ya kipolisi
tunaonewa kishenzi hapa tarime
kila hatua unakutana na FFU
Mmasai sio muoga ila sio watu wa vurugu za mtaani.wao vurugu zao ziko kwenye ng'ombe.Ukitaka ujue ni wajeuri kiasi gani kaguse ng'ombe yake ndo utaelewa vizuri.Ila wamasai ni waoga tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu kama hicho.matukio ya watu kuingia na bastola sehemu za starehe nakudhuru watu ni makubwa zaidi kuliko wamasai wanaoingia na sime na kudhuru watu.Hata hivyo tatizo lingekua ni silaha walipasa waseme kua ni marufuku kuingia na sime ila wao wametaja kabila.wakati kuna masai wengi tu siku hizi wanavaa suti na hawabebi hizo sime kwahiyo nao kwamujibu wa tangazo hawapaswi kuingia.Hilo tangazo ni ubaguzi wakikabila.Hao wenge club wamefanya kitu kidhungu wanasema risk assessment alafu wamefanya proactive measures yaan unazuia viashiria vya hatari mapema
😂😂😂 Sasa ndio washazuiliwaHakuna kitu kama hicho.matukio ya watu kuingia na bastola sehemu za starehe nakudhuru watu ni makubwa zaidi kuliko wamasai wanaoingia na sime na kudhuru watu.Hata hivyo tatizo lingekua ni silaha walipasa waseme kua ni marufuku kuingia na sime ila wao wametaja kabila.wakati kuna masai wengi tu siku hizi wanavaa suti na hawabebi hizo sime kwahiyo nao kwamujibu wa tangazo hawapaswi kuingia.Hilo tangazo ni ubaguzi wakikabila.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa watu hawaogi unategemea nnView attachment 2130328
Bar ya Sun Siro imepiga marufuku watu wa jamii ya Kimasai kuingia kwenye bar hiyo.
Huu ni ubaguzi rasmi ambao hauna jina jingine ila ubaguzi wa kikabila.
Nyerere alishasema dhambi ya ubaguzi wa kikabila ni sawa na kula nyama ya mtu.
Nazuimba mamlaka zinazohusika na kutoa na kusimamia leseni za vileo, zisilifumbie swala hili macho
Haha hahah ngoja tugugoHivi wanaposema disko limeingia mmasai wana maana gani?
Acha uongo unataka kuaminisha watu kuwa hata yule Dr.Naibu Waziri haogi kweli
Hawaogagi .. hata asome awe na phd 10.. swala la kuoga mmasai ni mwikoAcha uongo unataka kuaminisha watu kuwa hata yule Dr.Naibu Waziri haogi kweli
Haogi!😝😝😝😝Acha uongo unataka kuaminisha watu kuwa hata yule Dr.Naibu Waziri haogi kweli
Ila sio wastarabu kabisaWamasai mbona waungwana Sana. Angekataza wamakonde ningemuelewa.
Mkuu mbona chuoni masai wanapanga vyumba, au unazungumzia masai walinzi.Hawa wajuba ni watu wakushangaza nimeishi miaka ya kuoanga mjini takriban maiaka 7,8 ila sikuwahi kupanga na Masai sehem moja na mijini haw wajomba ni wengi ila wanapoishi hapajulikani nahisi hawa watu wanaweza kuwa aliens[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]