Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Una uswahili mwingi sana,poor youUpo coco beach unauliza baharini wapi?
Haya siyo CCM tu, vyama mpaka maofisi yote, watu wamekuwa hawaamini kabisa. Uchawi mwingi.
Tanzania hii mpaka mtu na mkewe hawaaminiani,Kuna limbwata.
Mimi nyumbani kwangu sikunali kupikiwa na mtu, chakula changu au nipike mwenyewe au wanangu tu.
Sijuwi dD wa kazi sijuwi shoga kaja nimkaribishe jikoni. Hakuna kabisa hayo. Kwanza mgeni wangu, awe rafiki, shoga au kanitemebelea tu mpaka afike jikoni ni kwa sababu zipi?
Tanzania hii tunachekeana tukionana uso kwa uso tu, kulishana sumu na uchafu ni robo dakika tu.
Labda ungesema ushenzi. Uswahili ni ustaarabu. Wewe huna ustaarabu?Una uswahili mwingi sana,poor you
Viongozi wa CCM hawaachiani maji wala msosi mezani. Ukienda kuongea na simu ukaacha maji aidha colorless water or maji ya dhahabu basi sharti uyamwage maana lolote laweza kutokea.
Haya matamshi yapo mioyoni mwa wengi na Kikwete aliwahi kuyasema, lakini pia unaweza kufanya utafiti binafsi kwenye bar au hotel wanapokutana viumbe hawa wa Mungu.
Najiuliza hii chuki mwisho wake nini?
waulize chadema watakwambiaViongozi wa CCM hawaachiani maji wala msosi mezani. Ukienda kuongea na simu ukaacha maji aidha colorless water or maji ya dhahabu basi sharti uyamwage maana lolote laweza kutokea.
Haya matamshi yapo mioyoni mwa wengi na Kikwete aliwahi kuyasema, lakini pia unaweza kufanya utafiti binafsi kwenye bar au hotel wanapokutana viumbe hawa wa Mungu.
Najiuliza hii chuki mwisho wake nini?
Watu ambao hawana kazi nyingine zaidi ya kupiga domo ili waishi unategemea watakuwa na roho za aina gani?Wanapigiana hesabu za kupunguzana idadi yao ili wabaki wachache kadiri iwezekanavyo ili wafaidi wizi,unyang'anyi na starehe nyingine bila bugudha.Viongozi wa CCM hawaachiani maji wala msosi mezani. Ukienda kuongea na simu ukaacha maji aidha colorless water or maji ya dhahabu basi sharti uyamwage maana lolote laweza kutokea.
Haya matamshi yapo mioyoni mwa wengi na Kikwete aliwahi kuyasema, lakini pia unaweza kufanya utafiti binafsi kwenye bar au hotel wanapokutana viumbe hawa wa Mungu.
Najiuliza hii chuki mwisho wake nini?
Wakikualika kwenye makutaniko yao Usithubutu kuacha maji/chakula mezani ili ukapokee simu.Beba pure/makande yako hata kwenye kopo la blueband ule polepole.Usiwaamini jamaa zako.Wachawi wa ufipa bhana ππππ
Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa siasa, labla nianzie ufipani then nkamalizie lumumbani ili kuona utofauti wao wa uchawi.Wakikualika kwenye makutaniko yao Usithubutu kuacha maji/chakula mezani ili ukapokee simu.Beba pure/makande yako hata kwenye kopo la blueband ule polepole.Usiwaamini jamaa zako.
Mtafiti mwenye majibu ya kina ni yule Mwalimu wa FitinaViongozi wa CCM hawaachiani maji wala msosi mezani. Ukienda kuongea na simu ukaacha maji aidha colorless water or maji ya dhahabu basi sharti uyamwage maana lolote laweza kutokea.
Haya matamshi yapo mioyoni mwa wengi na Kikwete aliwahi kuyasema, lakini pia unaweza kufanya utafiti binafsi kwenye bar au hotel wanapokutana viumbe hawa wa Mungu.
Najiuliza hii chuki mwisho wake nini?
Chukua ushauri huo.Ukijisogeza watajidai kukutia moyo ugombee hata ujumbe wa moja ya kamati kumbe unavutwa tartiiibuuu utupiwe akhera ukajipumzikie.Sijawahi kuhudhuria mkutano wowote ule wa siasa, labla nianzie ufipani then nkamalizie lumumbani ili kuona utofauti wao wa uchawi.