Kwanini wanaCCM wengi hawajafurahi au kuridhika na uteuzi wa Tulia kuwa Spika wa Bunge?

Kwanini wanaCCM wengi hawajafurahi au kuridhika na uteuzi wa Tulia kuwa Spika wa Bunge?

Hongera Mbunge wa Mbeya Mjini kwa kupitishwa kugombea nafasi ya uspika kupitia Chama Tawala.
-Caucas ya wabunge wa CCM mjengoni wataridhia jina lako kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa Bunge letu na umeshapita kuwa Spika wetu.
Ushauri
1). Simamia mhimili wa Bunge,kwa weledi,hekima na busara,na kwa kufuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa.
2). Mhimili wa Bunge, ndiyo wawakilishi wa wananchi,wabunge wajadili miswada kwa nguvu za hoja badala ya hoja za nguvu, wabunge wawasemea wapiga kura wao badala ya kuwa Bunge la mipasho (baina ya vyama).
3). Wabunge wapewe fursa ya kujadili miswada kwa uwazi , staha na vikao vya Bunge virushwe moja kwa moja kwenye vyombo vya habari,kwa manufaa ya wapiga kura wenu.
4). ushirikiano na mshikamano wa wabunge wakati linakuja suala kitaifa tuweke vyama kando.
5). Bunge liwe linaihoji serikali ahadi na utekelezaji wa Miradi au matumizi ya kawaida bila woga na hofu,(eyes on,hands off) acheni muhali.
Rais na viongozi wa ngazi ya juu, wanaangushwa na watendaji wa kwenye taasisi mbalimbali, kamati mbalimbali za Bunge zifuatie kwa Karibu sekta na kutoa ushauri unaojenga.
 
Sio siri, kwa mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa siasa za CCM anaweza kugundua kitu kisicho sawa sawa miongoni mwa makundi ya wanaCCM kufuatia tangazo la kuteuliwa kwa Tulia kuwa mgombea kiti cha spika wa bunge la Tanzania. Yaani iwe ni kundi la Msoga au Sukuma, wote hawajafurahia sana. Kuna ukiwa fulani na sintofahamu ya wazi imejitokeza miongoni mwa makada wa CCM, huku wengi wanaonekana kama hawajaridhika, yaani wameburuzwa!

Nimewaza mambo haya huenda labda yamechangia hili:

1. Labda kwa kuwa Rais ni mwanamke na spika naye atakuwa ni mwanamke?

2. Huenda ni kutokana na watu wengine wazuri waliogombea huku wakitegemewa kupita lakini wakaishia kuachwa?

3. Labda kwa kuwa Tulia hakuanzia siasa ndani ya CCM bali 'aliokotwa majalalani' na kuanza kuzawadiwa vyeo chini ya mwamvuli wa CCM?

4. Ama ni kwakua Tulia tayari alikuwa anashikiria nafasi nyeti ya unaibu spika, hivyo kugombea nafasi ya uspika huku akiwa bado ameshikiria nafasi ya unaibu spika ilikuwa inatoa ishara ya tamaa ya madaraka?

5. Ama kwa kuwa Tulia alikuwa anahusishwa na harakati nyingi za chini chini za muda mrefu za kuhakikisha Ndugai anang'olewa kwenye kiti cha spika?
Ulikutana nao wapi wakakuambia hivyo?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ww ndiye haujatulia, yaani tumchague sisi alafu tumkatae sisi? Unaota we living thing
 
Kama kweli hawajaridhika nae wasipitishe jina lake bungeni, kinyume na hapo ni wanafiki tu wanaojali matumbo yao wanaomuogopa mwenyekiti wao.
 
Sio siri, kwa mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa siasa za CCM anaweza kugundua kitu kisicho sawa sawa miongoni mwa makundi ya wanaCCM kufuatia tangazo la kuteuliwa kwa Tulia kuwa mgombea kiti cha spika wa bunge la Tanzania. Yaani iwe ni kundi la Msoga au Sukuma, wote hawajafurahia sana. Kuna ukiwa fulani na sintofahamu ya wazi imejitokeza miongoni mwa makada wa CCM, huku wengi wanaonekana kama hawajaridhika, yaani wameburuzwa!

Nimewaza mambo haya huenda labda yamechangia hili:

1. Labda kwa kuwa Rais ni mwanamke na spika naye atakuwa ni mwanamke?

2. Huenda ni kutokana na watu wengine wazuri waliogombea huku wakitegemewa kupita lakini wakaishia kuachwa?

3. Labda kwa kuwa Tulia hakuanzia siasa ndani ya CCM bali 'aliokotwa majalalani' na kuanza kuzawadiwa vyeo chini ya mwamvuli wa CCM?

4. Ama ni kwakua Tulia tayari alikuwa anashikiria nafasi nyeti ya unaibu spika, hivyo kugombea nafasi ya uspika huku akiwa bado ameshikiria nafasi ya unaibu spika ilikuwa inatoa ishara ya tamaa ya madaraka?

5. Ama kwa kuwa Tulia alikuwa anahusishwa na harakati nyingi za chini chini za muda mrefu za kuhakikisha Ndugai anang'olewa kwenye kiti cha spika?
Subiri, naibu speaker lazime aweu muumini na huenda kutoka visiwa vya nchi jirani
 
Hongera Mbunge wa Mbeya Mjini kwa kupitishwa kugombea nafasi ya uspika kupitia Chama Tawala.
-Caucas ya wabunge wa CCM mjengoni wataridhia jina lako kuwa mgombea wa kiti cha uspika wa Bunge letu na umeshapita kuwa Spika wetu.
Ushauri
1). Simamia mhimili wa Bunge,kwa weledi,hekima na busara,na kwa kufuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa.
2). Mhimili wa Bunge, ndiyo wawakilishi wa wananchi,wabunge wajadili miswada kwa nguvu za hoja badala ya hoja za nguvu, wabunge wawasemea wapiga kura wao badala ya kuwa Bunge la mipasho (baina ya vyama).
3). Wabunge wapewe fursa ya kujadili miswada kwa uwazi , staha na vikao vya Bunge virushwe moja kwa moja kwenye vyombo vya habari,kwa manufaa ya wapiga kura wenu.
4). ushirikiano na mshikamano wa wabunge wakati linakuja suala kitaifa tuweke vyama kando.
5). Bunge liwe linaihoji serikali ahadi na utekelezaji wa Miradi au matumizi ya kawaida bila woga na hofu,(eyes on,hands off) acheni muhali.
Rais na viongozi wa ngazi ya juu, wanaangushwa na watendaji wa kwenye taasisi mbalimbali, kamati mbalimbali za Bunge zifuatie kwa Karibu sekta na kutoa ushauri unaojenga.
Huo ushauri utazingatiwa?
 
Sio siri, kwa mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa siasa za CCM anaweza kugundua kitu kisicho sawa sawa miongoni mwa makundi ya wanaCCM kufuatia tangazo la kuteuliwa kwa Tulia kuwa mgombea kiti cha spika wa bunge la Tanzania. Yaani iwe ni kundi la Msoga au Sukuma, wote hawajafurahia sana. Kuna ukiwa fulani na sintofahamu ya wazi imejitokeza miongoni mwa makada wa CCM, huku wengi wanaonekana kama hawajaridhika, yaani wameburuzwa!

Nimewaza mambo haya huenda labda yamechangia hili:

1. Labda kwa kuwa Rais ni mwanamke na spika naye atakuwa ni mwanamke?

2. Huenda ni kutokana na watu wengine wazuri waliogombea huku wakitegemewa kupita lakini wakaishia kuachwa?

3. Labda kwa kuwa Tulia hakuanzia siasa ndani ya CCM bali 'aliokotwa majalalani' na kuanza kuzawadiwa vyeo chini ya mwamvuli wa CCM?

4. Ama ni kwakua Tulia tayari alikuwa anashikiria nafasi nyeti ya unaibu spika, hivyo kugombea nafasi ya uspika huku akiwa bado ameshikiria nafasi ya unaibu spika ilikuwa inatoa ishara ya tamaa ya madaraka?

5. Ama kwa kuwa Tulia alikuwa anahusishwa na harakati nyingi za chini chini za muda mrefu za kuhakikisha Ndugai anang'olewa kwenye kiti cha spika?
3.
 
Sio siri, kwa mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa siasa za CCM anaweza kugundua kitu kisicho sawa sawa miongoni mwa makundi ya wanaCCM kufuatia tangazo la kuteuliwa kwa Tulia kuwa mgombea kiti cha spika wa bunge la Tanzania. Yaani iwe ni kundi la Msoga au Sukuma, wote hawajafurahia sana. Kuna ukiwa fulani na sintofahamu ya wazi imejitokeza miongoni mwa makada wa CCM, huku wengi wanaonekana kama hawajaridhika, yaani wameburuzwa!

Nimewaza mambo haya huenda labda yamechangia hili:

1. Labda kwa kuwa Rais ni mwanamke na spika naye atakuwa ni mwanamke?

2. Huenda ni kutokana na watu wengine wazuri waliogombea huku wakitegemewa kupita lakini wakaishia kuachwa?

3. Labda kwa kuwa Tulia hakuanzia siasa ndani ya CCM bali 'aliokotwa majalalani' na kuanza kuzawadiwa vyeo chini ya mwamvuli wa CCM?

4. Ama ni kwakua Tulia tayari alikuwa anashikiria nafasi nyeti ya unaibu spika, hivyo kugombea nafasi ya uspika huku akiwa bado ameshikiria nafasi ya unaibu spika ilikuwa inatoa ishara ya tamaa ya madaraka?

5. Ama kwa kuwa Tulia alikuwa anahusishwa na harakati nyingi za chini chini za muda mrefu za kuhakikisha Ndugai anang'olewa kwenye kiti cha spika?
Hujafurahi wewe na na wahafidhina wenzako, wengine tuko poa.
 
Sio siri, kwa mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa siasa za CCM anaweza kugundua kitu kisicho sawa sawa miongoni mwa makundi ya wanaCCM kufuatia tangazo la kuteuliwa kwa Tulia kuwa mgombea kiti cha spika wa bunge la Tanzania. Yaani iwe ni kundi la Msoga au Sukuma, wote hawajafurahia sana. Kuna ukiwa fulani na sintofahamu ya wazi imejitokeza miongoni mwa makada wa CCM, huku wengi wanaonekana kama hawajaridhika, yaani wameburuzwa!

Nimewaza mambo haya huenda labda yamechangia hili:

1. Labda kwa kuwa Rais ni mwanamke na spika naye atakuwa ni mwanamke?

2. Huenda ni kutokana na watu wengine wazuri waliogombea huku wakitegemewa kupita lakini wakaishia kuachwa?

3. Labda kwa kuwa Tulia hakuanzia siasa ndani ya CCM bali 'aliokotwa majalalani' na kuanza kuzawadiwa vyeo chini ya mwamvuli wa CCM?

4. Ama ni kwakua Tulia tayari alikuwa anashikiria nafasi nyeti ya unaibu spika, hivyo kugombea nafasi ya uspika huku akiwa bado ameshikiria nafasi ya unaibu spika ilikuwa inatoa ishara ya tamaa ya madaraka?

5. Ama kwa kuwa Tulia alikuwa anahusishwa na harakati nyingi za chini chini za muda mrefu za kuhakikisha Ndugai anang'olewa kwenye kiti cha spika?
No:3 CCM wabaguzi. Asikudanganye mtu. Wafitini sana. Ndimimbili.
 
Sio siri, kwa mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa siasa za CCM anaweza kugundua kitu kisicho sawa sawa miongoni mwa makundi ya wanaCCM kufuatia tangazo la kuteuliwa kwa Tulia kuwa mgombea kiti cha spika wa bunge la Tanzania. Yaani iwe ni kundi la Msoga au Sukuma, wote hawajafurahia sana. Kuna ukiwa fulani na sintofahamu ya wazi imejitokeza miongoni mwa makada wa CCM, huku wengi wanaonekana kama hawajaridhika, yaani wameburuzwa!

Nimewaza mambo haya huenda labda yamechangia hili:

1. Labda kwa kuwa Rais ni mwanamke na spika naye atakuwa ni mwanamke?

2. Huenda ni kutokana na watu wengine wazuri waliogombea huku wakitegemewa kupita lakini wakaishia kuachwa?

3. Labda kwa kuwa Tulia hakuanzia siasa ndani ya CCM bali 'aliokotwa majalalani' na kuanza kuzawadiwa vyeo chini ya mwamvuli wa CCM?

4. Ama ni kwakua Tulia tayari alikuwa anashikiria nafasi nyeti ya unaibu spika, hivyo kugombea nafasi ya uspika huku akiwa bado ameshikiria nafasi ya unaibu spika ilikuwa inatoa ishara ya tamaa ya madaraka?

5. Ama kwa kuwa Tulia alikuwa anahusishwa na harakati nyingi za chini chini za muda mrefu za kuhakikisha Ndugai anang'olewa kwenye kiti cha spika?
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kumfurahia Tulia
 
Back
Top Bottom