Kwanini wanajamii wa jukwaa hili wanaitana wakuu au mkuu?

Kwanini wanajamii wa jukwaa hili wanaitana wakuu au mkuu?

Eduin

Senior Member
Joined
May 15, 2014
Posts
189
Reaction score
136
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.

Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
 
eti kila mtu hum ni mkuu, hahaa mi nadhan huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno dar, mi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.

right.jpg
 
Mkuu! Unaonaje ukipendekeza namna nzuri ya kuitana/kutambulishana katika mjadala?.. Naamini pendekezo lako litasaidia kuondoa duku duku lako...
 
kila mtandao unajina linalowatambulisha members wake sawa
reddit wanajulikana REDDITORS
4chan wanajulikana kama anon
jamiiforums wanajulikana kama Wakuu
9gag wanajulikana kama troll
bila kuwasahau 31337 h4x0r, LEET legendary hacker
UPDATE:wakuu wamenikumbusha Kenya talks nao wanaitwa villagers
 
eti kila mtu hum ni mkuu, hahaa mi nadhan huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno dar, mi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
Kwa nini umehusisha neno "mkuu" na
1. Woga?
2. Matabaka ya kielimu?
3. Watu wa dar na mikoa mingine?
Mkuu inatumika kuonesha heshima hata kwa mtu usiyemfahamu.
Jf inasomwa dunia nzima na watu wa elimu tofauti na rika mbalimbali.
Unadhani tukuitaje?
 
Weka mbadala,tumelikuta,tukalirithi na tunaendelea...
 
Back
Top Bottom