Kwanini wanajamii wa jukwaa hili wanaitana wakuu au mkuu?

Kwanini wanajamii wa jukwaa hili wanaitana wakuu au mkuu?

Ila katika comparisons, JF miaka ya kabla 2015 wengi walikuwa ni watu wenye uelewa, nachelea kusema sio kama kokoro la FB hapa tz lina kila aina ya 'takataka'.
Hivyo 'mkuu' ni heshima regardless nakufahamu au sikufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.

Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
Mkuu..Labda kwanza utueleze nini maana ya mkuu.
 
Ila katika comparisons, JF miaka ya kabla 2015 wengi walikuwa ni watu wenye uelewa, nachelea kusema sio kama kokoro la FB hapa tz lina kila aina ya 'takataka'.
Hivyo 'mkuu' ni heshima regardless nakufahamu au sikufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
👍👍👍

Adding to that nikwamba "mkuu" haina jinsia, hii nikutokana na majina ya members wengi humu ni ngumu kutambua niwa jinsia gan_ so "mkuu" inatanda kama jina ambalo utamuita mtu pale utakapo shindwa kutambua jinsia yake...

Mfano Mimi nashindwa muda mwingine kumreply member as "mkaka" au "mdada" kutakana na Jina lake so "mkuu" namsimamisha kama ultimate mbadala
 
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.

Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
Kuna majina hujitokeza ambapo huwezi kuzuia au kuhoji kwa nini. kwamfano nikawaida sana kukutana na mtu mtaani akakusalimia "Niambie kiongozi" sidhani kama utakataa hiyo salam useme wewe sio kiongozi, Fikilia mtu anakuambia niambie mzee baba, kwa ambao wanajua hizo lugha za namna hiyo hawawezi kuhoji. Kuitana mkuu ni aina tu ya kuheshimiana, sidhani kama kuna sababu ya kuchosha akili kujaribu kufikiri kwanini watu wanaitana "mkuu".
 
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.

Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
 
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.

Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.


Hayo ni mawazo yako wewe ..napenda kuyaita mawazo mgando ,,sio kila mtu anadhani hvo...
 
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.

Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
poa Mkuundugu Eduin
 
MIMI MKUU,NATAKA MNIITE KAMANDA,.AU COMRADE MKITAKA
 
Back
Top Bottom