kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,695
- 2,144
Na Kenya talk wanajulikana kama villagerskila mtandao unajina linalowatambulisha members wake sawa
reddit wanajulikana REDDITORS
4chan wanajulikana kama anon
jamiiforums wanajulikana kama Wakuu
9gag wanajulikana kama troll
bila kuwasahau 31337 h4x0r, LEET legendary hacker
Kweli Mkuu,kila mtandao unajina linalowatambulisha members wake sawa
reddit wanajulikana REDDITORS
4chan wanajulikana kama anon
jamiiforums wanajulikana kama Wakuu
9gag wanajulikana kama troll
bila kuwasahau 31337 h4x0r, LEET legendary hacker
Kuwa mkuu siyo lazima ufike chuo,Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.
Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
Acha ufala mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi hakuna mtu anayeniita mkuu humu, labda wewe na wenzako
Kweli mkuu hayupo kabisaa...Mimi hakuna mtu anayeniita mkuu humu, labda wewe na wenzako
Umeeleweka mkuu!Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.
Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.
Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
mkuu, ni mwendelezo wa wanaoabudu shetani - ma iluminati!! free mason, Mkuu ni shetani na hivyo kila mtu anaijitukuza kujiita mkuu kama shetani alivyotaka kuwa mkuu kama Mungu. usiniulize zaidi ya hapo fanya reserach yako mwenyewe!! hivyo wengine huiga tu kuita mkuu , kumuonesha mtu kuwa yuko juu na hasa kama wataka akufanyie kitu kama favour/hisani unamtukuza ajione wa maaana. Acheni kuitana mkuu muite mtu kwa jina lake ama cheo chake katika jamii, familia, makanisani ama misikitini.Eti kila mtu humu ni mkuu, hahaa mi nadhani huu ni woga, ni woga kwa sababu wanajamii wa humu wanadhani wote wamesoma mpaka chuo kikuu, tena wengi wanadhani wanatokea pale UD, na tena ni woga maana wengi wanadhani wanajamii wa humu ni wakazi au wanaijua mno Dar.
Mimi nadhania kuitana mkuu ni woga, ni woga kwa sababu humu ndani tunatumia ID na Avatar fake.
Inawezekana mkuuMtoa uzi anahoja humu unaweza kuta unamwita mtoto wako mkuu