Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wanajeshi wa DRC wamekimbia uwanja wa mapambano na kuamua kujikabidhi kwa mahasimu wao, yani jeshi la Rwanda.

Baada ya kuona hivyo, wanajeshi mamluki zaidi ya 280 toka Romania na Ufaransa waliokodiwa na serikali ya DRC kuwasaidia kwenye maeneo ya kuongoza drones za kivita, snippers na wapiganaji nao wameamua kujisalimisha kwa Kagame. Bila shaka hawa jamaa wameamua ivyo baada ya kuona kwanini wapigane wakati wakongo wenyewe hawako tayari kupigania nchi yao.

Hiki kilichofanywa na wanajeshi hawa ni uasi kwa nchi. Wanajeshi hawa wameacha viapo vyao vya uaminifu kwa taifa lao.

Wakuu mnafikiri kwanini wanajeshi hawa wameamua kuacha kuipambania nchi yao na badala yake wameamua kujisalimisha kwa adui?

shida ni nini hasa?
 
Wanajeshi wa DRC wamekimbia uwanja wa mapambano na kuamua kujikabidhi kwa mahasimu wao, yani jeshi la Rwanda.

Baada ya kuona hivyo, wanajeshi mamluki zaidi ya 280 toka Romania na Ufaransa waliokodiwa na serikali ya DRC kuwasaidia kwenye maeneo ya kuongoza drones za kivita, snippers na wapiganaji nao wameamua kujisalimisha kwa Kagame. Bila shaka hawa jamaa wameamua ivyo baada ya kuona kwanini wapigane wakati wakongo wenyewe hawako tayari kupigania nchi yao.

Hiki kilichofanywa na wanajeshi hawa ni uasi kwa nchi. Wanajeshi hawa wameacha viapo vyao vya uaminifu kwa taifa lao.

Wakuu mnafikiri kwanini wanajeshi hawa wameamua kuacha kuipambania nchi yao na badala yake wameamua kujisalimisha kwa adui?

shida ni nini hasa?
Wakongo na wazaramo mambo ya jeshi hawapendi
 
Shida viongozi na wanasiasa wanajilimbikizia mali na kuliacha jeshi bila maboresho ya maslahi, mafunzo ya weledi na vitendea kazi. Hapo lazima waasi viapo vyao.
True..kiongozi ukiliacha tu jeshi basi jiandae na usaliti
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Wanajeshi wa DRC wamekimbia uwanja wa mapambano na kuamua kujikabidhi kwa mahasimu wao, yani jeshi la Rwanda.

Baada ya kuona hivyo, wanajeshi mamluki zaidi ya 280 toka Romania na Ufaransa waliokodiwa na serikali ya DRC kuwasaidia kwenye maeneo ya kuongoza drones za kivita, snippers na wapiganaji nao wameamua kujisalimisha kwa Kagame. Bila shaka hawa jamaa wameamua ivyo baada ya kuona kwanini wapigane wakati wakongo wenyewe hawako tayari kupigania nchi yao.

Hiki kilichofanywa na wanajeshi hawa ni uasi kwa nchi. Wanajeshi hawa wameacha viapo vyao vya uaminifu kwa taifa lao.

Wakuu mnafikiri kwanini wanajeshi hawa wameamua kuacha kuipambania nchi yao na badala yake wameamua kujisalimisha kwa adui?

shida ni nini hasa?hata kama ndio wewe utapambana huna mashahara familia ujui inaishi vipi mishahara yenyewe ni kama ya mgambo wa hapa bongo laki na nusu.. viongozi wanaishi maisha ya kifahari mno wakati watu wao wanishi maisha kama wapo kuzimu.

Wamewaachia viongozi wapambane na hao waasi labda akili zao zitawarudi.
 
Wanajeshi wa DRC wamekimbia uwanja wa mapambano na kuamua kujikabidhi kwa mahasimu wao, yani jeshi la Rwanda.

Baada ya kuona hivyo, wanajeshi mamluki zaidi ya 280 toka Romania na Ufaransa waliokodiwa na serikali ya DRC kuwasaidia kwenye maeneo ya kuongoza drones za kivita, snippers na wapiganaji nao wameamua kujisalimisha kwa Kagame. Bila shaka hawa jamaa wameamua ivyo baada ya kuona kwanini wapigane wakati wakongo wenyewe hawako tayari kupigania nchi yao.

Hiki kilichofanywa na wanajeshi hawa ni uasi kwa nchi. Wanajeshi hawa wameacha viapo vyao vya uaminifu kwa taifa lao.

Wakuu mnafikiri kwanini wanajeshi hawa wameamua kuacha kuipambania nchi yao na badala yake wameamua kujisalimisha kwa adui?

shida ni nini hasa?
Hakuna jeshi la DRC limejisalimisha kwa jeshi la rwanda Acha kupotosha watu.

Walio jisalimisha wamejisalimisha kwa waasi wa M 23 siyo kwa jeshi la RWANDA.

Hakuna ushahidi wa moja kwa moja unaoonesha jeshi la rwanda linapigana mashariki mwa DRC.

Taarifa rasmi zilizopo ni kwamba RWANDA Inaunga mkono wa waasi wa M 23, kuunga mkono huko huenda ni kifedha,mafunzo na silaha ila hakuna JESHI la RWANDA limeingia rasmi kupigana DRC.

Ningekuona una mantiki kama ungeuliza labda kwanini jeshi la taifa la DRC lishindwe na waasi wa M23 wakati jeshi ni kubwa kuliko has waasi.

Hapa ndipo tatizo li lilipo na kuna sababu nyingi, ila sababu kubwa ni kwamba tatizo kubwa lipo kwa wakongo wenyewe kuliko kisababishi cha nje kama rwanda na mataifa ya kibeberu.

Wakongo kuna ka ukabila kana wasumbua kitu kinacho fanya wakose umoja wa kuwaahinda waaasi.

Pia Rushwa/maslahi binafsi ya wanasiasa inafanya nchi ikose hata kununua silaha za kisasa na za kutosha, imagine jeshi la taifa lina silaha duni kuliko waasi.

Ila DRC wakipata kiongozi mzalendo anaweza kuunganisha watu walipende taifa Lao,believe me Kagame na rwanda yake inararuriwa chini ya wiki moja tu inakuwa sehemu ya DRC.

Kwa sababu watu milion 100 (DRC) hawawezi kushindwa na watu milion 15 (rwanda).

Ila tatizo mle Mle kwenye milion 100 (DRC) kuwa watutsi ambao wanaunga mkono rwanda, na wako ndani ya serikali na ndani ya jeshi pia.

Sasa kwa ukabila huo lazima tu liwe taifa lililoshindwa.

Imagine nilikuwa naangalia wanajeshi wa DRC walio jisalimisha kwa waasi pale GOMA, yaani ni wamevaaa vibaya, kuanzia sare za combati hadi boot, silaha ziko kama gobore sijui ni rifle zile ? Kitu kinachoonesha hata jeshi halijaliwi ndiyo maana wanakata tamaa tu, yaani hadi wanatia huruma.

Na muda huo ukiwaona waasi wamevaa combati nzuri, boot, bunduki na virafu vya maana, hadi bullet proof za kifuani wamevaa wakati jeshi la Congo hawana, vifaru vimechoka sijui vya mwaka 1800s vile.

Lazima tu liwe taifa lilolofeli.

Kwa tatizo kubwa la Congo ni Uongozi mbovu, ukabila, rushwa na ubinafsi inafanya wafeli.
 
Walio jisalimisha wamejisalimisha kwa waasi wa M 23 siyo kwa jeshi la RWANDA.

Screenshot_20250131-112056_Chrome.jpg
 
Ningekuona una mantiki kama ungeuliza labda kwanini jeshi la taifa la DRC lishindwe na waasi wa M23 wakati jeshi ni kubwa kuliko has waasi.
Kushindwa haikuwa hoja yangu mkuu maana ile ni vita kuna vitu vingi vinaweza kufanya ushindwe. Hoja yangu ni hao jamaa hawakuona njia ingine mbadala zaidi ya iyo ya kujikabidhi kwa adui? hicho sio kitu cha kawaida kinashangaza sana.
 
DRC hakuna jeshi kuna kundi tu la wapiganaji walioungana pamoja kujaribu kusaidia wanasiasa wanaoishi Kinshasa na Lubumbashi.
 
Kushindwa haikuwa hoja yangu mkuu maana ile ni vita kuna vitu vingi vinaweza kufanya ushindwe. Hoja yangu ni hao jamaa hawakuona njia ingine mbadala zaidi ya iyo ya kujikabidhi kwa adui? hicho sio kitu cha kawaida kinashangaza sana.
1.Walio jisalimisha siyo wote, kuna wanajeshi bado wanaendelea kupambana pale pale Goma, na kwenye vita ukizidiwa na alafu mabosi went hawafanyi chochote kuokoa maishani yenu ni sawa tu kwenda kwa adui aokoe maisha yako.

2.Adui waliyejisalimisha siyo kwenye jeshi la Rwanda kama unavyosema, wale wamejisalimisha kwa waasi (M23).

But imeniuma sana kuona taarifa zilizovuja leo kwenye bbc eye,zikionesha kuwa wanajeshi wa DRC wanaopambana wanalipwa karibu dolar 100 kwa mwezi (tsh 250,000/=) tena wanakuambia kwa kuchelewa sana, na wakati huo huo wale mamluki wa Romania walio kodiwa kupigania jeshi la DRC walikuwa wanalipwa dolar 5000 kwa mwezi, na akipigana miezi mitatu unampa likizo ya mwezi mmoja akaone familia yake na wakati wa likizo unamlipa dolar 3000.

Muda huo wanajeshi wazawa wanaopigana miaka yote wanalipwa dolar 100 kwa mwezi na miezi mingine wanakwambia hawalipwi kabisa (jeshi ni kujitolea/uzalendo) na muda huo mnaona kabisa serikalini ubadhirifu unaendelea.

Tshekedi na Serikali yake ni washenzi Acha tu washindwe, wanajeshi wanakosa morale ya kupigana kwa sababu ya ushenzi wa serikali yake.

His soldiers are poorly dressed,poorly equipped, poorly paid,alafu unategemea wakapigane washinde.

Akiendelea hivi Jimbo la kivu litakuja kuwa sehemu ya rwanda, maana kagame anawajaza watutsi huko alafu anawalinda kwa kuwapa mafunzo na silaha za kisasa.
 
1.Walio jisalimisha siyo wote, kuna wanajeshi bado wanaendelea kupambana pale pale Goma, na kwenye vita ukizidiwa na alafu mabosi went hawafanyi chochote kuokoa maishani yenu ni sawa tu kwenda kwa adui aokoe maisha yako.

2.Adui waliyejisalimisha siyo kwenye jeshi la Rwanda kama unavyosema, wale wamejisalimisha kwa waasi (M23).

But imeniuma sana kuona taarifa zilizovuja leo kwenye bbc eye,zikionesha kuwa wanajeshi wa DRC wanaopambana wanalipwa karibu dolar 100 kwa mwezi (tsh 250,000/=) tena wanakuambia kwa kuchelewa sana, na wakati huo huo wale mamluki wa Romania walio kodiwa kupigania jeshi la DRC walikuwa wanalipwa dolar 5000 kwa mwezi, na akipigana miezi mitatu unampa likizo ya mwezi mmoja akaone familia yake na wakati wa likizo unamlipa dolar 3000.

Muda huo wanajeshi wazawa wanaopigana miaka yote wanalipwa dolar 100 kwa mwezi na miezi mingine wanakwambia hawalipwi kabisa (jeshi ni kujitolea/uzalendo) na muda huo mnaona kabisa serikalini ubadhirifu unaendelea.

Tshekedi na Serikali yake ni washenzi Acha tu washindwe, wanajeshi wanakosa morale ya kupigana kwa sababu ya ushenzi wa serikali yake.

His soldiers are poorly dressed,poorly equipped, poorly paid,alafu unategemea wakapigane washinde.

Akiendelea hivi Jimbo la kivu litakuja kuwa sehemu ya rwanda, maana kagame anawajaza watutsi huko alafu anawalinda kwa kuwapa mafunzo na silaha za kisasa.
Kwani hawa wetu wanalipwa dollars ngapi si humohumo 200 hadi 300.. africa ni sawa sawa tu..
 
Back
Top Bottom