Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

Kumbe
Nilikuwa sijui
Ila jamaa hawa kiboko, niliona mwandishi wa habari akiwahoji
Jamaa wanampeleka mpaka ghetto
Yaani thamani ya nguo ni mara 100 ya makazi yao
ni sahihi kabisa
mtu anavaa nguo na vito vya mamilioni ila sasa ukiona kibanda anacholala unaishia kusikitika tu
 
ni sahihi kabisa
mtu anavaa nguo na vito vya mamilioni ila sasa ukiona kibanda anacholala unaishia kusikitika tu
Wacha hiyo ananunua benzi modern classic anapaki Ofisi kama za CCM kongo hana hata hata sehemu ya kupaki gari anaishi kibanda cha mabati kuta bati na kaezeka bati juu na ni chumba kimoja kwenye eneo lisilopimwa
 
Wacha hiyo ananunua benzi modern classic anapaki Ofisi kama za CCM kongo hana hata hata sehemu ya kupaki gari anaishi kibanda cha mabati kuta bati na kaezeka bati juu na ni chumba kimoja kwenye eneo lisilopimwa
mentality mbovu kabisa hii
 
Wanajeshi wa DRC wamekimbia uwanja wa mapambano na kuamua kujikabidhi kwa mahasimu wao, yani jeshi la Rwanda.

Baada ya kuona hivyo, wanajeshi mamluki zaidi ya 280 toka Romania na Ufaransa waliokodiwa na serikali ya DRC kuwasaidia kwenye maeneo ya kuongoza drones za kivita, snippers na wapiganaji nao wameamua kujisalimisha kwa Kagame. Bila shaka hawa jamaa wameamua ivyo baada ya kuona kwanini wapigane wakati wakongo wenyewe hawako tayari kupigania nchi yao.

Hiki kilichofanywa na wanajeshi hawa ni uasi kwa nchi. Wanajeshi hawa wameacha viapo vyao vya uaminifu kwa taifa lao.

Wakuu mnafikiri kwanini wanajeshi hawa wameamua kuacha kuipambania nchi yao na badala yake wameamua kujisalimisha kwa adui?

shida ni nini hasa?
we ungweza kufia nchi kwa mshahara wa dola 100???
Waati wa kukodi analipwa dola 5000
Mi mwenyewe ningeacha apo bora nikawe mkimbizi!!

Wanasiasa wasio na akili nao n mzigo
 
Back
Top Bottom