Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu humu jukwaani kuna uzushi hadi unajiuliza huyu mtu ni wa aina gani?Hizo posho zinakuja pamoja na mshahara. Nina uhakika na hili jambo. Hakuna pesa inaiingia katikati ya mwezi.
🤣🤣🤣🤣🤭Khakhakhaaaa;
Hao wanakopa ni makurutaSasa kwa nini waje kukopa dukani kwangu halafu hawanilipi kwa wakati na hutumia ubabe kunitishia kabisa
Hakuna kopesha hao tenaMimi dukani kwangu wananifanyiaga ushenzi nawakopesha hawalipi yaani paka tunapelekana makazini kwao
Duh, aise wewe ni muongo kupitiliza. Hakuna mwanajeshi wa nyota moja anayevuta hela hiyo tunao ndugu zetu huko wana vyeo zaidi ya hicho lakini mshahara huo hawana.Mkuu watu wanakunja hadi 4M per month unasema pesa ya mbuzi tena wana nyota moja tu.
Dogo una umri gani?Mkuu watu wanakunja hadi 4M per month unasema pesa ya mbuzi tena wana nyota moja tu.
Wewe ni mpumbavu kiasi hiki?Mkuu unaanzia wapi ili umwone huyo oficer? Maana ukifika getini kwao ukiwaona wale MPs jasho linakutoka kabla hujaeleza shida yako!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mpyayungu anawaogopa kuwasema.[emoji2960] Nilijua walimu tu[emoji3061]
🤣🤣🤣Kabiisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mpyayungu anawaogopa kuwasema.
Askari ni chakula cha risasi wakati wowote unaweza ukaeksipaya kabla ya kulipa deni, hivyo ni mtindo wa kucheza patapotea.Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
🤣Askari ni chakula cha risasi wakati wowote unaweza ukaeksipaya kabla ya kulipa deni, hivyo ni mtindo wa kucheza patapotea.
Elimu na nidhamu ya fedha ni muhimu,so yawezekana weeng hili swala hawalizingatiiHii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Wanajeshi wetu wengi nidhamu sifuri...M23 nao wanakopesha pia
Uyu dadake nani😂M 23 wameua wabongo ama ni.eona vibayaUkiacha kumkopesha inakuaje!!!????