Kwanini wanaJF wengi wana macho mekundu na wafupi sana?

Kwanini wanaJF wengi wana macho mekundu na wafupi sana?

Mlianza kusema kuwa JF imejaa utapeli, mkawakatisha watu tamaa. Wenye akili wakatoa michango, bado mkaendelea kuwakatisha tamaa kuwa kuna Wana usalama wametumwa ili kuwaangali. Mlipoona mmeshindwa kabisa na safari imefana mkaja na hoja kuwa eti Wana JF wa Dar ni Wanafiki. Bado hamjaridhika na hayo yote mmekuja leo na hili tena. Kha! Ni hatari sana kuwa na watu wa dizaini hii kwenye jamii na ndio maana tunaambiwa tuna IQ ndogo kila siku.

mkuu achana nao kabisa watu wenye IQ ndogo wana matatizo sana wamekalia majungu tu,me binafsi nshakutana na wanaJF zaidi ya 50 na hawana macho mekundu wala sio wafupi na ni mahandsome balaa
 
Mlianza kusema kuwa JF imejaa utapeli, mkawakatisha watu tamaa. Wenye akili wakatoa michango, bado mkaendelea kuwakatisha tamaa kuwa kuna Wana usalama wametumwa ili kuwaangali. Mlipoona mmeshindwa kabisa na safari imefana mkaja na hoja kuwa eti Wana JF wa Dar ni Wanafiki. Bado hamjaridhika na hayo yote mmekuja leo na hili tena. Kha! Ni hatari sana kuwa na watu wa dizaini hii kwenye jamii na ndio maana tunaambiwa tuna IQ ndogo kila siku.

hawana shukurani watu......kitu kizuri wafanye wao tu....!
 
mmmh wana macho mekundu? kule kwetu kanda ya ziwa huwa tunasemaa, "huyo mchawi mleteni apale mapanga!"
 
Japo ya zamani ila imebidi nicheke tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😂😂😂😂😂 old is gold wanaJF tubadilike
 
Hahaa. Natangaza rasmi kuhudhuria pati ya kina Mzigua nipate wasaa wa kuthibitisha hilo.
 
[emoji23][emoji23]

Hii ndio jf bana...kuna kila kibweka
 
Saw the title and I started laughing. The thing is if you gon invest in stand up comedy you gon be a star.

Also I, Castr Magige, Southern Zone Representative of SPU (Short People United) agrees with you, fully.
 
Back
Top Bottom