Kwanini Wanamuziki wengi wa kiume kutoka Zanzibar wapo hivi?

Duh
 
Wachache huwa wana 47 XXY maarufu kama mosaic Klinefelter syndrome
 
Punguza dharau kwa watu wa Kanda ya Ziwa mkuu.
 
Unapo jaribu kucomment,suala jaribu kulipima na kulipa mawanda yake.

Matatzo yapo dunia nzima,ila munafanya znz kama ndo waanzilishi.


Ukisema afadhal ya bara kuliko znz TOA NA SBBU?

UKISEMA SUALA LA USHOGA NI TATZO LA DUNIA NZIMA SIO ZNZ TUU, muda mwengne tumia akili na sio utumie makalio ktk kuhukumu kitu.


Tuanze apa kwa maasi gani , ambayo waznzbar wamewazidi wabara?



Afu,nikuambie ktk wafuasi wa dini yoyote ile lazima kutakuwa na watu wema na wabaya,

Ila kuwepo kwa watu wabaya usihukumu kuwa dini haifai.
[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
MAHSOGA MAARUFU APA TANZANIA WANATOKA WAP?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me tell u something,

Ati kwa sbbu waznzbar wanalelelwa na kukulia ktk maadili mema,

Sii sbbu ya kusema kuwa hatuna tabia mbaya .

Kwa hakika dunia imebedlka ndo maana licha ya kuwa wazazi wanatulea ktk maadili ila mwisho wa siku tunabadlika ati tunaenda na wakat


Ila suala la kuwa shoga ni maamzi ya mtu binafsi ,kila sehemu kuna mashoga,

Musijitie upofu wakat muna macho ,tatzo la USHOGA na mengne kama usagaji ni tatzo ya jamii zote duniani.

Ila nyinyi munavyosema ni kama kwamba waznzbar ndo mchezo wetu,wakat kiuhalisia dunia nzima suala la ushoga lipo .

Munachaa kuwajadili watu wa Europe,munatujadili sisi,wakat wao wamefikia hatua za kuhalalisha ndoa za jinsia moja, wao Wana porn za wanaume kwa wanaume,


Ktk TANZANIA hii mashoga maarufu wanatokea wapi? James delicious ni mzenji? ,

Tusitupiane mzigo wa mawe wakat tatzo ni la jamii yote, sio znz tuu hata nyinyi muna hivyo vitabiaa.
[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34].
NYAANI HAONI KUNDULEEE ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…