Kwanini Wanamuziki wengi wa kiume kutoka Zanzibar wapo hivi?

Kwanini Wanamuziki wengi wa kiume kutoka Zanzibar wapo hivi?

Niko zanzibar mwaka wa 4 sasa, zanzibar kuna ufirauni wote kuliko unavyojua hata bara akuoni ndani ila wamejificha kwenye udini na mimi wiki iliyoisha kidogo niopoe shoga pale amani (ccm) nikakataa ila mashoga ni wengi zenji

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna bar karibia na uwanja wa Amani ukiwa unaenda mjini ni mkono wa kushoto pale nusra niuziwe shoga maana nilikuwa sijawafahamu kivile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko zanzibar mwaka wa 4 sasa, zanzibar kuna ufirauni wote kuliko unavyojua hata bara akuoni ndani ila wamejificha kwenye udini na mimi wiki iliyoisha kidogo niopoe shoga pale amani (ccm) nikakataa ila mashoga ni wengi zenji

Sent using Jamii Forums mobile app
Shoga wakupe ccm.. Halafu ulaumu waznz akili ipo sawa kweli?

Walaumu apo ulipokwenda ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
REKIK EL SHABAZZ, Anyway sitatumia lugha za kuudhi ila mashoga nilianza kuwaona baada ya kufika Zanzibar na biashara ya utalii imechochea zaidi huo utamaduni japo South Africa napa panatisha hasa baada ya sheria za nchi kutambua uwepo wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko zanzibar mwaka wa 4 sasa, zanzibar kuna ufirauni wote kuliko unavyojua hata bara akuoni ndani ila wamejificha kwenye udini na mimi wiki iliyoisha kidogo niopoe shoga pale amani (ccm) nikakataa ila mashoga ni wengi zenji

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwo ufiraini kama upi uliofichwa kwenye dini?

ORODHESHA HAPA MMOJA MMOJA KWA VITHIBITISHO

USIPOTOSHEEEE



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeeeeees!! Ila mie nilitoka huko 2008 najua kwa sasa mitaa ya forodhani watu wanajamba ovyo ovyo maana si kwa ushoga huo niliouacha huko. Nilipenda weekend kwenda Forodhan pale Beach kunywa juice ya bungo na kipindi hicho ndipo Serikali ilikuwa inafanya matengenezo makubwa hapo Forodhani jirani na Ngome Kongwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeeeeees!! Ila mie nilitoka huko 2008 najua kwa sasa mitaa ya forodhani watu wanajamba ovyo ovyo maana si kwa ushoga huo niliouacha huko. Nilipenda weekend kwenda Forodhan pale Beach kunywa juice ya bungo na kipindi hicho ndipo Serikali ilikuwa inafanya matengenezo makubwa hapo Forodhani jirani na Ngome Kongwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Usigeneralize kiasi icho!

Zanzbr ni kisiwa kwa hiyo kuna wageni wa kutoka sehemu mbalimbali kwa mwaka mzima..

Watu wengi wa aina hiyo huwa ni kutoka NGAZIJA (fuatilia hili utajua)
Then hizo ni sehemu za starehe kwahiyo kila mgeni anaekuja anastarehe yake..

NADHANI UMENIELEWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa mkuu nimekuelewa na asante kwa kunielewesha. Unajua watu wa Bara kama mimi tunapoona misikitiki kila baada ya mita 100 tunaamini ni nchi takatifu kama ilivyo Macca

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo tena kuna kauli zinatuponza

"Tanzania/Zanzibar ni njema atakae aje"

"Wageni wasio kwao Tanzania/Zanzibar ya wakaribisha"


Tena hapo kila mwenye laana/ufuska wake anakujanao tu!



NAKUMBUKA JUZIKATI APO, KUNA SHOGA LILIRUDISHWA KWAO ULAYA NA UHAMIAJI WA ZANZIBAR

YAANI JAMAA UKIMUONA NI DEMU KABISA (KAJIBADILISHA KILA KITU)

UHAMIAJI WAMESHTUKIZIA KWENYE MAJINA YAKE NDIO YALIKUA YAKIUME, WAKAMTIMUA APOAPO (NADHANI NYIZI YA IVO ILILETWA HUMU)




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa dhambi ya ubaguzi inahusika..Hawa siyo Watanzania bara😉...ni Wazanzibari... Tutofautishe zaidi....Huyu ni Muunguja huyu siyo Mpemba...ukizingatia sare ni za chama fulani...



Everyday is Saturday............😎
 
Ushoga wazanzibar umetokea Tanzania bara.
Tanzania bara ndo wameenda uko Zanzibar plus wageni kutoka nchi tofauti tofauti duniani,ndo imesababisha Zanzibar kuwa vile.Na siyo wazanzibar wamependa kuwa vile utamudi na desturi za nchi nyingine ndo yametokea hayo tunayoyaona.
Ebu tuwaachie wajitawale wenyewe kama hayo mambo yatatokea.
I am sure kabisa hayatoweza kutokea cause wataweka sheria Kali.
 
Back
Top Bottom