Kwanini Wanamuziki wengi wa kiume kutoka Zanzibar wapo hivi?

Mbona instagram wamejaa na wanapewa promo na Tanzanias sweetheart. Sijawahi ona wamefanywa chochote
wanaishia huko huko mtandaoni, kwenye tv hawafiki mzee..Huyo unamuona kapewa hadi kazi ya kuimba wimbo wa chama na Serikali kuhusu mapinduzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…