Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Mc D mc DBaba Diiiiiiiii, baba Diana. Hawa jamaa walikuwa hatari sana kwenye burudani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mc D mc DBaba Diiiiiiiii, baba Diana. Hawa jamaa walikuwa hatari sana kwenye burudani.
Mc D mc D
Mc D alikuwa mpiga tumba waoHatari sana kipindi hiko mkuu. Hiyo MCD walikuwa wanamaanisha nini? Maana ilikuwa inatajwa sana na yenyewe.
Mc D alikuwa mpiga tumba wao
Huyo MCD alikua hatari kwa tumbaKwenye Aminata lilipigwa tumba la kutosha. Heshima kwake Mc D.
Huyo MCD alikua hatari kwa tumba
Nadhani ni marehemu sasa hivi, nafasi yake kuna dada mmoja ameichukua na anaietendea haki vizuri tu!Ni zaidi ya hatari mkuu. Bado yupo hai MCD?
Nalisikiliza tumba lake kwenye Sumu ya Mapenzi, huyu jamaa alikuwa ni hatari fire.
Nadhani ni marehemu sasa hivi, nafasi yake kuna dada mmoja ameichukua na anaietendea haki vizuri tu!
Amen!Dah! So sad. May God rest his soul in eternal peace.
haya sasa washakupandisha genye na wewe umewawekea kwenye vyupi na hawana mtu siku hilo hapo lazima walane aisee, maana wengi wanawaoogopa wanadhani gharama kubwa aiseee, ila ulikula rahaaa, kama vile nakuona mtoto liliani anavyokutesa kunako wazungu,. acha wazungu wachungulie kinoma. yani , hakika mango na twanga kilikuwa kisiwa ch burudani, sasa ni mapangale kwa kwenda mbele.Hivi kuna yule mdada LILIAN INTERNET yupo?aisee yule mdada kuna siku nipo pale magomeni annex walikuwa wanapiga. TWANGA PEPETA,,,ikafika muda wa AMSHA AMSHA,,,,nakumbuka rapa wao MSAFIRI DIOF ,,,,alianza na MINGOI,,,MINGOI,,,CAMERA,, CAMERA,,basi muda huo wale warembo WACHEZA SHOO,, wakiongozwa na marehemu AISHA MADINDA,,,walianza kuzunguka ukumbi mzima huku wakitafuta MTU wa kumzungushia NYONGA,,bahati ikaniangukia kwa LILIAN INTERNET,,alikuja akanikalia MAPAJANI,,,HUKU akizungusha NYONGA...kama FENI BOVU,,,,aisee,,,JEGEJE LANGU likikuwa kwenye wakati mgumu sana,,,,ingekuwa mchana ningehadhirika MTU MZIMA,, ,,,,nilikuwa nahisi kabisa WAZUNGU WAPO AIRPORT tayari kushuka,,,,yule mdada alikuwa hatari sana,,,,nilichofanya nilichukuwa KUMI nikafinyanga na namba ya Simu nikamfinyia kwenye CHUPI,,,, sikukubali KUFA KIINGEREZA,,,,kwhyo wakuu hawa WACHEZA SHOW kuwaepuka yataka uwe na ROHO YA CHUMA,,especially kama upo nao KARIBU....hao jamaa WAMEKULANA wao kwa wao..ndy tatizo linaanzia hapo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna yule mdada LILIAN INTERNET yupo?aisee yule mdada kuna siku nipo pale magomeni annex walikuwa wanapiga. TWANGA PEPETA,,,ikafika muda wa AMSHA AMSHA,,,,nakumbuka rapa wao MSAFIRI DIOF ,,,,alianza na MINGOI,,,MINGOI,,,CAMERA,, CAMERA,,basi muda huo wale warembo WACHEZA SHOO,, wakiongozwa na marehemu AISHA MADINDA,,,walianza kuzunguka ukumbi mzima huku wakitafuta MTU wa kumzungushia NYONGA,,bahati ikaniangukia kwa LILIAN INTERNET,,alikuja akanikalia MAPAJANI,,,HUKU akizungusha NYONGA...kama FENI BOVU,,,,aisee,,,JEGEJE LANGU likikuwa kwenye wakati mgumu sana,,,,ingekuwa mchana ningehadhirika MTU MZIMA,, ,,,,nilikuwa nahisi kabisa WAZUNGU WAPO AIRPORT tayari kushuka,,,,yule mdada alikuwa hatari sana,,,,nilichofanya nilichukuwa KUMI nikafinyanga na namba ya Simu nikamfinyia kwenye CHUPI,,,, sikukubali KUFA KIINGEREZA,,,,kwhyo wakuu hawa WACHEZA SHOW kuwaepuka yataka uwe na ROHO YA CHUMA,,especially kama upo nao KARIBU....hao jamaa WAMEKULANA wao kwa wao..ndy tatizo linaanzia hapo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mcd alikuwa mpiga tumba wao,nae alishatangulia kwenye haki kwa tbHatari sana kipindi hiko mkuu. Hiyo MCD walikuwa wanamaanisha nini? Maana ilikuwa inatajwa sana na yenyewe.
Mcd alikuwa mpiga tumba wao,nae alishatangulia kwenye haki kwa tb
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wote wametangulia kwa sababu ulizozitaja. Kwa kumbukumbub zangu, Baba Diana(Abu Semhando) alikufa kwa ajali ya gari kugonga pikipiki yake,nafikiri kule Makonde-Mbezi Beach.wana Jamvi,
ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta. tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoo zetu. Ni njia gani itumie kuwaookoa kwani idadi inatisha. Mlolongo wa vifo umetokana na maradhi ya HIV na Madawa ya kulevya, sijajua kwa nini wanajiingiza uvutaji wa madawa haya. Angalia banza, stone, Diana astoni vila, , halima white, amiglas, baba diana, Aisha madinda, na wengine wengi. labda, mkurugenzi wao awatafutie namna ya kujikinga na vitu hivi, kama kujamiana, pamoja na stress zinazowafanya waingie uvutaji wa madawa. hivi sasa mango kisiwa cha burudani kimekufa , hapo bado kupiga mzikikwa kiingilio cha bia kama walivyo FM Academia.