Abuu Semhando ndiyo huyo huyo Babaa DiaanaMkuu huyo siyo Abuu swemwandoooo?
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abuu Semhando ndiyo huyo huyo Babaa DiaanaMkuu huyo siyo Abuu swemwandoooo?
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
Nikumbushe jina Yule marehemu make wa Nyoshi El Saadat..wana Jamvi,
ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta. tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoo zetu. Ni njia gani itumie kuwaookoa kwani idadi inatisha. Mlolongo wa vifo umetokana na maradhi ya HIV na Madawa ya kulevya, sijajua kwa nini wanajiingiza uvutaji wa madawa haya. Angalia banza, stone, Diana astoni vila, , halima white, amiglas, baba diana, Aisha madinda, na wengine wengi. labda, mkurugenzi wao awatafutie namna ya kujikinga na vitu hivi, kama kujamiana, pamoja na stress zinazowafanya waingie uvutaji wa madawa. hivi sasa mango kisiwa cha burudani kimekufa , hapo bado kupiga mzikikwa kiingilio cha bia kama walivyo FM Academia.
Nikumbushe jina Yule marehemu make wa Nyoshi El Saadat..
Vila park nilishangaa sanaAlly Choki yupo Mwanza anaburudisha "wanywaji" Bar! Inasikitisha sana kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikumbushe jina Yule marehemu make wa Nyoshi El Saadat..
Bana we asante sana kaka. Yule mtoto alikuwa mtamu bana.Unaweza ukahonga laki.Rukia Bruno.
Mtoto alikuwa na viuna sio vya nchii hii.
Alikuwa balaa sana,halafu nyuma makalio yamelegeaaaaaa.
Yaani balaa zito
Asante sana.mkuu Yule.mtoto alikuwa hatari kiuno kama.mmakondeRukia Bruno.
Yuko wapi Halid Chokoraa? Wapi Diouf,wapi Charles Baba?
Namkumbuka mpiga kinanda wa T.O.T Band Kadie Katanga,ilikua hatari sana. Sijui bado yuko hai au vipi lakini jamaa alikua mkali sana.
Itoshe tu kusema mara baada ya muziki wa dansi ule wa Bendi kama Vijana,Washirika,Bimalee,Tancut Almas,Maquiz, OSS, nk kufa katika soko la muziki wa Dansi zilibaki bendi mbili yaani Msondo na Sikinde. Lakini Bendi za kizazi kipya zikachukua nafasi na walifanya kazi kubwa mno,hiyo ni miaka ya 1999 hadi angalau mwaka 2007. Wanamuziki wafuatao wametoa mchango mkubwa sana katika bendi hizo. Nao ni Banza Stone(R.I.P), Ally Choki,Muumini Mwinyijuma,Roggart Hega,Amina Ngaluma(R.I.P),Hamis Amigolas(R.I.P), Hadija Mnoga, Charles Baba,Nyosh el Saadat,Harid Chokoraa,Bashiru Uhad,Badi Bakule,Luiza Nyoni/Mbutu, Jesca Charles,Msafiri Diouf,Rashid Mwezingo,Pauline Zongo kutaja wachache.
Bendi hizo ni Twanga Pepeta(African Stars), Tam Tam,Muungano Band,FM Academia,T.O.T Band, Akudo Impact,Bambino Sound kutaja chache.
Kwa sasa hata hizo bendi zilizokuja kuchukua nafasi ya Bendi kongwe kama vijana Jazz nazo ndo zinakufa,tatizo sijui ni nini! Twanga wako kimya,T.O.T kimya,FM Academia nao ni kama kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bana we asante sana kaka. Yule mtoto alikuwa mtamu bana.Unaweza ukahonga laki.
Pia kwenye mwimbo wa kuolewa wa Luiza Nyoni Mbutu kafanya balaa mleNi zaidi ya hatari mkuu. Bado yupo hai MCD?
Nalisikiliza tumba lake kwenye Sumu ya Mapenzi, huyu jamaa alikuwa ni hatari fire.
Mungu amlaze mahali pema peponi fundi MCDNadhani ni marehemu sasa hivi, nafasi yake kuna dada mmoja ameichukua na anaietendea haki vizuri tu!
Gabby Katanga ni marehemu aliwai hata kupiga kinanda chuchu soundYuko wapi Halid Chokoraa? Wapi Diouf,wapi Charles Baba?
Namkumbuka mpiga kinanda wa T.O.T Band Kadie Katanga,ilikua hatari sana. Sijui bado yuko hai au vipi lakini jamaa alikua mkali sana.
Itoshe tu kusema mara baada ya muziki wa dansi ule wa Bendi kama Vijana,Washirika,Bimalee,Tancut Almas,Maquiz, OSS, nk kufa katika soko la muziki wa Dansi zilibaki bendi mbili yaani Msondo na Sikinde. Lakini Bendi za kizazi kipya zikachukua nafasi na walifanya kazi kubwa mno,hiyo ni miaka ya 1999 hadi angalau mwaka 2007. Wanamuziki wafuatao wametoa mchango mkubwa sana katika bendi hizo. Nao ni Banza Stone(R.I.P), Ally Choki,Muumini Mwinyijuma,Roggart Hega,Amina Ngaluma(R.I.P),Hamis Amigolas(R.I.P), Hadija Mnoga, Charles Baba,Nyosh el Saadat,Harid Chokoraa,Bashiru Uhad,Badi Bakule,Luiza Nyoni/Mbutu, Jesca Charles,Msafiri Diouf,Rashid Mwezingo,Pauline Zongo kutaja wachache.
Bendi hizo ni Twanga Pepeta(African Stars), Tam Tam,Muungano Band,FM Academia,T.O.T Band, Akudo Impact,Bambino Sound kutaja chache.
Kwa sasa hata hizo bendi zilizokuja kuchukua nafasi ya Bendi kongwe kama vijana Jazz nazo ndo zinakufa,tatizo sijui ni nini! Twanga wako kimya,T.O.T kimya,FM Academia nao ni kama kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namna nilivyomuona ni wazi kuna shida kwenye Afya yake. Amekuwa mnyonge mno.Juzi kati alizidiwa akalazwa, sijui kama ameshatoka hospital.
Anayefahamu atuambie.
Kwa muziki tu !!??Dah! So sad. May God rest his soul in eternal peace.
Thanks Mkuu,nashukuru kwa taarifa na pia masahihisho uliyoyafanya ya jina. Nae Thibit Abdul professional Key Board yupo hai au aliacha muziki?Gabby Katanga ni marehemu aliwai hata kupiga kinanda chuchu sound
MkuumThabit Abdul yupo. Proffesionaly keybord ni Victor Mkambi mwana wa sumbawanga kutoka kisima cha burudani Twanga PepetaThanks Mkuu,nashukuru kwa taarifa na pia masahihisho uliyoyafanya ya jina. Nae Thibit Abdul professional Key Board yupo hai au aliacha muziki?
Sent using Jamii Forums mobile app