Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha hah hahaha a pole Sana. Mambo safi tu.
Ukiangalia hapa ndo utajua enzi hizo hela ilikuwepo...Huyu alikuwa chakula ya Mr nice
Liliani internet, Ana sura nzuri, k nzuri, heshima ya kutosha. Mungu azidi kumpa maisha marefu.
Amen Nteze John LunguMungu amlaze mahali pema peponi fundi MCD
Nimesikitika hujamtaja Waziri SonyoYuko wapi Halid Chokoraa? Wapi Diouf,wapi Charles Baba?
Namkumbuka mpiga kinanda wa T.O.T Band Kadie Katanga,ilikua hatari sana. Sijui bado yuko hai au vipi lakini jamaa alikua mkali sana.
Itoshe tu kusema mara baada ya muziki wa dansi ule wa Bendi kama Vijana,Washirika,Bimalee,Tancut Almas,Maquiz, OSS, nk kufa katika soko la muziki wa Dansi zilibaki bendi mbili yaani Msondo na Sikinde. Lakini Bendi za kizazi kipya zikachukua nafasi na walifanya kazi kubwa mno,hiyo ni miaka ya 1999 hadi angalau mwaka 2007. Wanamuziki wafuatao wametoa mchango mkubwa sana katika bendi hizo. Nao ni Banza Stone(R.I.P), Ally Choki,Muumini Mwinyijuma,Roggart Hega,Amina Ngaluma(R.I.P),Hamis Amigolas(R.I.P), Hadija Mnoga, Charles Baba,Nyosh el Saadat,Harid Chokoraa,Bashiru Uhad,Badi Bakule,Luiza Nyoni/Mbutu, Jesca Charles,Msafiri Diouf,Rashid Mwezingo,Pauline Zongo kutaja wachache.
Bendi hizo ni Twanga Pepeta(African Stars), Tam Tam,Muungano Band,FM Academia,T.O.T Band, Akudo Impact,Bambino Sound kutaja chache.
Kwa sasa hata hizo bendi zilizokuja kuchukua nafasi ya Bendi kongwe kama vijana Jazz nazo ndo zinakufa,tatizo sijui ni nini! Twanga wako kimya,T.O.T kimya,FM Academia nao ni kama kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana yule mdada mkuu.
Nilikuwa nikimwona tu akipita lazima dushe lisimame aisee manake alikuwa na ndugu zake pande za Sinza Mori ambao walikuwa ni majirani wetu,hivyo mara nyingi akija nilikuwa namtolea macho balaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mambo yasiwe mengi
Daaa,kwa kweli nilipitiwa. Waziri Sonyo Abdul Misambano na Adolph Mbinga sikuwataja wakati ni majembe.
Duu aisee. Sikujua kama alitangulia. Kuhusu jina kuna mdau alinirekebisha,hata hivyo ahsante kwa more info.Siyo "Kadie Katanga" ni Gabby kwa maana ya Gabriel. Huyu alifariki kwa ajali ya gari maeneo ya Oysterbay karibu na Mbuyu wa matambiko pale karibu na nyumba za mabalozi akiwa ni mwanamuziki wa Chuchu Sound mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Kuna wadada wameumbika aisee mkuu
Hata mimi hua inanitokea hiyo kuna sehemu jirani n geto hua naenda kupata break first kuna binti pale anafanyakazi maeneo yale mtoto mweupe na vichuchu vidogoo shepu kama lote.muda si mrefu pia nimemuona nikabaki tu kumuangalia.
Tatizo mimi siendani nae.pia kazi anayofanya ni bar nadhani.so wengi lazima wanamtumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaopukutika sio Twanga Pepeta peke yao, kuna like kundi la Akina Suleiman Mbwembwe ndio limekwisha kabisaaaa, tatizo la wasanii wa bongo karibu wote ugonjwa wao upo Chini
Sent from my iPad using JamiiForums
[emoji23]siku nitamuamulia nimuonje dadeq [emoji23]Hahaaaaaaaa,huyo mkuu ni wa kumvalia ndoms na kumbutua tu,ila usirogwe kumla kavu,kama huwezi kufanya hivyo achana naye
Mengi yasiwe mambo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Aka yake ilikuwa ni Jogoo la shamba ama jogoo la mjini?Badi Bakule. [emoji23][emoji23]
Yuko wapi naye huyu mwamba?
Aka yake ilikuwa ni Jogoo la shamba ama jogoo la mjini?