mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
KWANI WAGONJWA WA HIV HAWAGONGWI NA GARI?Ila baba Diana alipata Ajali ya kugongwa na Fiat 682N3 iliyokuwa imesheheni cement toka wazo hill baba D akiwa na pikipiki ngoma ikampitia akawa chapati kabisa take maeneo ya tangi bovu jirani kabisa na home kwake, rip baba Diana baba D
au hawafi vifo vingine tofauti na KUUMWA?
Hiyo ni sawa na CHATU kameza MBUZI mwenye SUMU,,
BAADA YA SIKU kadhaa akakutwa KAANGUKIWA NA MTI KAFA,
wote hao walikuwa WASHAUMIA MUDA tu,,,
hao TWANGA na ile FIRST ELEVEN YA MSONDO NGOMA ni mule mule..
Sent using Jamii Forums mobile app