Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Kagongwa na gari ,,,,lakini ALIKUWAMO kwenye list ya DIANA Aston Vila

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok fine, alikufa na HIV au Ajali ya kukanyangwa na gari maana alikuwa nyang'a nyang'a? Tuliza ball then jibu sms nyie ndo wale ukipewa calculation ya STD 3 triagle kitako kikigeuzwa kuwa juu mnasema siyo triangle Bali Ni trapezium think big then answer me.
 
Rukia Bruno.

Mtoto alikuwa na viuna sio vya nchii hii.

Alikuwa balaa sana,halafu nyuma makalio yamelegeaaaaaa.

Yaani balaa zito
Huyu namjua alifariki kwa HIV ,huyu nyoshi elsaadat sasa hivi anausambaza kinoma ingawaje afya yake mgogoro kajamaa kamekonda ila kanaendekeza sana ngono
 
KWANI WAGONJWA WA HIV HAWAGONGWI NA GARI? au hawafi vifo vingine tofauti na KUUMWA?Hiyo ni sawa na CHATU kameza MBUZI mwenye SUMU,, BAADA YA SIKU akakutwa KAANGUKIWA NA MTI KAFA, wote hao walikuwa WASHAUMIA MUDA tu,,,hao TWANGA na ile FIRST ELEVEN YA MSONDO NGOMA ni mule mule..

Sent using Jamii Forums mobile app
''WATOTO WANACHEZEA UMEME HAWA''Sauti ya marehemu masharubu,Mbwembwe
 
Huyu namjua alifariki kwa HIV ,huyu nyoshi elsaadat sasa hivi anausambaza kinoma ingawaje afya yake mgogoro kajamaa kamekonda ila kanaendekeza sana ngono
kilichomuua ni uzazi japo kulikuwa na tetesi nyingi za hicho unachosema
 
Back
Top Bottom