mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Kagongwa na gari ,,,,lakini ALIKUWAMO kwenye list ya DIANA Aston VilaTurudi kwenye uhalisia kifo chake kilitokana na HIV au Ajali ya kugongwa na gari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagongwa na gari ,,,,lakini ALIKUWAMO kwenye list ya DIANA Aston VilaTurudi kwenye uhalisia kifo chake kilitokana na HIV au Ajali ya kugongwa na gari?
Ok fine, alikufa na HIV au Ajali ya kukanyangwa na gari maana alikuwa nyang'a nyang'a? Tuliza ball then jibu sms nyie ndo wale ukipewa calculation ya STD 3 triagle kitako kikigeuzwa kuwa juu mnasema siyo triangle Bali Ni trapezium think big then answer me.Kagongwa na gari ,,,,lakini ALIKUWAMO kwenye list ya DIANA Aston Vila
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo
Da jamaa alikuwa anapiga ngoma balaa I like himMc D alikuwa mpiga tumba wao
Watu mna hatari nyie.
Fact!Haya Maisha yanahitaji nidhamu,bila hivyo unaweza jikuta mashakani na mitihani kibao.
Unareason kijinga sana mbele ya watu wazima!Kama aligongwa SABABU ya MSONGO wa mawazo,,,uliosababishwa na TANGAZO LA DIANA ASTON VILA,,kwann isiwe sababu ni huo ugonjwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna madem wana mitihani sana mkuu
Sana inabidi kuishinda na kujikita zaidi na Mambo ya Familia.
Hivyo hivyo mkuu
Huyu namjua alifariki kwa HIV ,huyu nyoshi elsaadat sasa hivi anausambaza kinoma ingawaje afya yake mgogoro kajamaa kamekonda ila kanaendekeza sana ngonoRukia Bruno.
Mtoto alikuwa na viuna sio vya nchii hii.
Alikuwa balaa sana,halafu nyuma makalio yamelegeaaaaaa.
Yaani balaa zito
''WATOTO WANACHEZEA UMEME HAWA''Sauti ya marehemu masharubu,MbwembweKWANI WAGONJWA WA HIV HAWAGONGWI NA GARI? au hawafi vifo vingine tofauti na KUUMWA?Hiyo ni sawa na CHATU kameza MBUZI mwenye SUMU,, BAADA YA SIKU akakutwa KAANGUKIWA NA MTI KAFA, wote hao walikuwa WASHAUMIA MUDA tu,,,hao TWANGA na ile FIRST ELEVEN YA MSONDO NGOMA ni mule mule..
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wantorokana au kuzungukana
Mengine hayafai KUSEMWA HADHARANI MKUU.... ila SIKUFA NA TAI SHINGONI....mb
mbona unatubania mkuu?
ok ila katulia siku hizi hana yale mashamsham ya kitambo kile usicheze na kuwa mama aisee japo ana mizinga huyo mpaka kwa wanawake wenzieMengine hayafai KUSEMWA HADHARANI MKUU.... ila SIKUFA NA TAI SHINGONI....
Sent using Jamii Forums mobile app
kilichomuua ni uzazi japo kulikuwa na tetesi nyingi za hicho unachosemaHuyu namjua alifariki kwa HIV ,huyu nyoshi elsaadat sasa hivi anausambaza kinoma ingawaje afya yake mgogoro kajamaa kamekonda ila kanaendekeza sana ngono
Duu..alikuwa mkali kweli enzi zile. ,,ok ila katulia siku hizi hana yale mashamsham ya kitambo kile usicheze na kuwa mama aisee japo ana mizinga huyo mpaka kwa wanawake wenzie