Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Ali Choki Amechoka Kweli Kweli Yuko Mwanza Na Kabendi Kamoja Nilimuona Stejin Nikasikitika Sana Dah Haya Maisha Haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, Kweli wajinga wasingekuwepo vibaya dukani visingenunuliwa..Bana we asante sana kaka. Yule mtoto alikuwa mtamu bana.Unaweza ukahonga laki.
Msukuma demu mweupe kwake ni mkaliDuh, Kweli wajianga wasingekuwepo vibaya dukani visingenunuliwa..
Huyu alikuwa na utamua gani kwa macho mkuu.?
Mbona alikuwa kibungo.?
View attachment 1032166View attachment 1032167
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nakumbuka mara ya mwisho nilimsikia wakat wa kifo cha Kanumba, alikuwaga anabanduliwa na kanumba..Kuna Mnenguaji mmoja kitambo sana alikuwa kwa Muumini, Queen Suzzy wapi huyu Mkuu..kimya sana.
Kweli wewe mhenga umewakumbuka wote hakika ulikula raha ila diamondo saundo hukuitaja ile ya kamuke sukari, diana astovila, eliston angai elly kinyama, jesus, elly longomba na Lillian internet. Na mkuu wa majeshiYuko wapi Halid Chokoraa? Wapi Diouf,wapi Charles Baba?
Namkumbuka mpiga kinanda wa T.O.T Band Kadie Katanga,ilikua hatari sana. Sijui bado yuko hai au vipi lakini jamaa alikua mkali sana.
Itoshe tu kusema mara baada ya muziki wa dansi ule wa Bendi kama Vijana,Washirika,Bimalee,Tancut Almas,Maquiz, OSS, nk kufa katika soko la muziki wa Dansi zilibaki bendi mbili yaani Msondo na Sikinde. Lakini Bendi za kizazi kipya zikachukua nafasi na walifanya kazi kubwa mno,hiyo ni miaka ya 1999 hadi angalau mwaka 2007. Wanamuziki wafuatao wametoa mchango mkubwa sana katika bendi hizo. Nao ni Banza Stone(R.I.P), Ally Choki,Muumini Mwinyijuma,Roggart Hega,Amina Ngaluma(R.I.P),Hamis Amigolas(R.I.P), Hadija Mnoga, Charles Baba,Nyosh el Saadat,Harid Chokoraa,Bashiru Uhad,Badi Bakule,Luiza Nyoni/Mbutu, Jesca Charles,Msafiri Diouf,Rashid Mwezingo,Pauline Zongo kutaja wachache.
Bendi hizo ni Twanga Pepeta(African Stars), Tam Tam,Muungano Band,FM Academia,T.O.T Band, Akudo Impact,Bambino Sound kutaja chache.
Kwa sasa hata hizo bendi zilizokuja kuchukua nafasi ya Bendi kongwe kama vijana Jazz nazo ndo zinakufa,tatizo sijui ni nini! Twanga wako kimya,T.O.T kimya,FM Academia nao ni kama kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mcd alishafariki nafasi yake ikachukuliwa na kijana mmomja mweupe wanamwita James kibosho, mzuri lakini sio Kama mcd. Siku hizi sijui Nani mpiga tumba. Maana tangu mango ivunjwe sijui wanapiga wapi.Mcd alikuwa mpiga tumba wao,nae alishatangulia kwenye haki kwa tb
Sent using Jamii Forums mobile app
Thabiti alishahamia kwenye taarab muda mrefu.
Ulimla?? Aliondoka na ngwengwe huyoNoma sana yule mdada mkuu.
Nilikuwa nikimwona tu akipita lazima dushe lisimame aisee manake alikuwa na ndugu zake pande za Sinza Mori ambao walikuwa ni majirani wetu,hivyo mara nyingi akija nilikuwa namtolea macho balaaa
Enzi hizo mikorogo ya Omo Jiki na sabuni ya jaribu mimi ndo nakua kua naona dada wa mtaani kutwa kukoroga wajipake jamaniiDuh, Kweli wajinga wasingekuwepo vibaya dukani visingenunuliwa..
Huyu alikuwa na utamu gani kwa macho mkuu.?
Mbona alikuwa kibungo.?
View attachment 1032166View attachment 1032167
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hii kazi haina manufaaAlly Choki yupo Mwanza anaburudisha "wanywaji" Bar! Inasikitisha sana kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata POMBE ukiiona kwenye CHUPA imetulia,,,,Duh, Kweli wajinga wasingekuwepo vibaya dukani visingenunuliwa..
Huyu alikuwa na utamu gani kwa macho mkuu.?
Mbona alikuwa kibungo.?
View attachment 1032166View attachment 1032167
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimla?? Aliondoka na ngwengwe huyo
Anaishi Uingereza siku hizi!Inasikitisha sana. Hawa jamaa wangekuwa Marekani wangeachia kizazi chao utajiri mkubwa sana wa mali.
Msafiri Diouf naye vipi? Yuko wapi?
Anaishi Uingereza siku hizi!
Ahsante kwa taarifa mkuu.
Anaishi Uingereza siku hizi!
Sio kinanda mkuu. Jamaa alikuwa anapiga drums hatari alikuwa na rasta flan hivi zile za kutongozea wazungu choka mbaya. Alikuwa ni chalii ya R. Naye alikufa kwa ajali enzi hizo. Kinanda TOT alikuwepo Thabit Abdul Huyu ambaye alikuja kuwa mtunzi na bwanaake Isha Mashauzi(jike la Simba ). Twanga kinanda alikuwa anakamua jamaa mmoja anaitwa profeshenali keybody Victor Mkambi Mwana Sumbawanga. Ni sheeegdaaa