Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Saivi nadhani wewe utakuwa umechoka kuliko yeye, Diof anaishi Uingereza kwa sasa. Maisha yanabadilika sana Mkuu, alafu jamaa anatoka familia iliyo na exposure sema tu aliteleza kidogo wakati ule saivi karudi kwenye reli.Mkuu? Kuanzia mwaka gani asee. Mara ya mwisho kumuona huyu jamaa ilikua ni Igo pale mapambao aliomba kununuliwa beer nikiwa na washkaji zangu. Alikua kachoka sana.
Au nime mchanganya ?