Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Yuko wapi Halid Chokoraa? Wapi Diouf,wapi Charles Baba?
Namkumbuka mpiga kinanda wa T.O.T Band Kadie Katanga,ilikua hatari sana. Sijui bado yuko hai au vipi lakini jamaa alikua mkali sana.
Itoshe tu kusema mara baada ya muziki wa dansi ule wa Bendi kama Vijana,Washirika,Bimalee,Tancut Almas,Maquiz, OSS, nk kufa katika soko la muziki wa Dansi zilibaki bendi mbili yaani Msondo na Sikinde. Lakini Bendi za kizazi kipya zikachukua nafasi na walifanya kazi kubwa mno,hiyo ni miaka ya 1999 hadi angalau mwaka 2007. Wanamuziki wafuatao wametoa mchango mkubwa sana katika bendi hizo. Nao ni Banza Stone(R.I.P), Ally Choki,Muumini Mwinyijuma,Roggart Hega,Amina Ngaluma(R.I.P),Hamis Amigolas(R.I.P), Hadija Mnoga, Charles Baba,Nyosh el Saadat,Harid Chokoraa,Bashiru Uhad,Badi Bakule,Luiza Nyoni/Mbutu, Jesca Charles,Msafiri Diouf,Rashid Mwezingo,Pauline Zongo kutaja wachache.
Bendi hizo ni Twanga Pepeta(African Stars), Tam Tam,Muungano Band,FM Academia,T.O.T Band, Akudo Impact,Bambino Sound kutaja chache.
Kwa sasa hata hizo bendi zilizokuja kuchukua nafasi ya Bendi kongwe kama vijana Jazz nazo ndo zinakufa,tatizo sijui ni nini! Twanga wako kimya,T.O.T kimya,FM Academia nao ni kama kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamis Mkali,babu chuchu na mkali wa rap Mau Santiago! Chuchu sound niliwakubali sana hapa Ndio Gaby Katanga alipiga drams kame kama sio vinanda sikumbuki.
 
Yuko wapi Halid Chokoraa? Wapi Diouf,wapi Charles Baba?
Namkumbuka mpiga kinanda wa T.O.T Band Kadie Katanga,ilikua hatari sana. Sijui bado yuko hai au vipi lakini jamaa alikua mkali sana.
Itoshe tu kusema mara baada ya muziki wa dansi ule wa Bendi kama Vijana,Washirika,Bimalee,Tancut Almas,Maquiz, OSS, nk kufa katika soko la muziki wa Dansi zilibaki bendi mbili yaani Msondo na Sikinde. Lakini Bendi za kizazi kipya zikachukua nafasi na walifanya kazi kubwa mno,hiyo ni miaka ya 1999 hadi angalau mwaka 2007. Wanamuziki wafuatao wametoa mchango mkubwa sana katika bendi hizo. Nao ni Banza Stone(R.I.P), Ally Choki,Muumini Mwinyijuma,Roggart Hega,Amina Ngaluma(R.I.P),Hamis Amigolas(R.I.P), Hadija Mnoga, Charles Baba,Nyosh el Saadat,Harid Chokoraa,Bashiru Uhad,Badi Bakule,Luiza Nyoni/Mbutu, Jesca Charles,Msafiri Diouf,Rashid Mwezingo,Pauline Zongo kutaja wachache.
Bendi hizo ni Twanga Pepeta(African Stars), Tam Tam,Muungano Band,FM Academia,T.O.T Band, Akudo Impact,Bambino Sound kutaja chache.
Kwa sasa hata hizo bendi zilizokuja kuchukua nafasi ya Bendi kongwe kama vijana Jazz nazo ndo zinakufa,tatizo sijui ni nini! Twanga wako kimya,T.O.T kimya,FM Academia nao ni kama kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gabby Kattanga Yero Masai alifariki mwishoni mwa miaka ya 1990es kwa ajali ya gari Kinondoni Studio
 
Tatizo kubwa la Band watu wanachukuana humo humo .

Dada mmoja anaweza akatoka na wanaume hata watatu, na hao wanaume watatu nao wanawachukua wengine humo humo yaana inakuwa ni ting'iling'asa.

Virusi vinatoka kwa huyu vinaenda kwa yule na yule nae anapeleka kwa yule , hivyo wanajikuta wote wameanza "kujikuna"
Hata kwaya za makanisa ni hivyo hivyo
 
Kuna Yule mwingine wa kuitwa Queen Aliyah alikuwa mnenguaji wa Tam Tam.
Sijuwi nae yupo wapi kwa sasa,

Mwaka 2005 nilionana nae sehem magomeni.

Nikatongoza,,

Queen Aliyah alikuwa na domo fulani la kunyonya ub*oo*,
Kiuno nyigu..

Nikapeleka gheto lakini sikumla siku ile..

Alinipa ahadi ya kuja akipata chance..
Hawa wacheza show muda wao mzr wa kuenjoy ni mchana,

Usiku wote wapo busy Sana..

So alinipangia siku moja wao wanapumzika,,

Hana show wala mazoezini hawaendi.
Sasa sijuwi alinizuga au ni kweli,

Nikakubaliana nae,,
nikatoa kibunda cha noti,nikampa.

Akaondoka zake.

Baada ya siku mbili nimelala saa nane usiku nasikia muungurumo wa gari hapo nje.

Mara nasikia kuna mtu anagonga dirisha la chumbani kwangu.
Kutoka,,

Ni yule Queen Aliyah.

"Basi powa kesho "
Queen Aliyah akiwaaga wenzie aliokuwa nao kwenye hilo bus lililomleta pale kwangu..

Nilishangaa Sana,
Kuja bila ahadi halafu alisema usiku anakuwa busy.?

Nikaona hii ni hatari sasa,

Ndani nina mtoto mzr sana wa chuo fulani,,
tunafanya discussion ya Mambo ya mapenzi..

Basi nikaona huyu kulala nae ni noma .,
Nina mwanamke mwingine ndani.

Niliingia ndani nikabadili nguo,
nikatafuta tax nikampeleka kwao ,

alikuwa anaishi maeneo ya magomeni karibu ya annex pub mtaa wa kibondo..

Baada ya siku mbili tatu,
nikajakupata taarifa zake,
nikampotezea sikumla tena.

Queen Aliyah nae ni wale wale..

Mungu alinilinda kwa mara ingine..
 
Njooooni kwenye Shooo za Twanga kwa sasa imesheheni karbia Wanamuziki wengi Wamerudi Mzigoni. Leo Jumapili mapemaaaa GWAMBINA LOUNGE pale TCC Chang'ombe watu wazima Lwiza, Choki, Diouf, Chokoraa, Chalz Baba nk nk wanakuwa wanawasha moto ile mbaya.
 
wana Jamvi,

Ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta.

Tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoyo zetu. Ni njia gani itumie kuwaookoa kwani idadi inatisha?

Mlolongo wa vifo unasemekana kutokana na maradhi ya kisasa na Dawa za kulevya. sijajua kwanini wanajiingiza uvutaji wa madawa haya.

Angalia Banza Stone, Diana Aston Villa, Halima White, Amigolas, Baba Diana, Aisha Madinda na wengine wengi.

Labda Mkurugenzi wao awatafutie namna ya kujikinga na vitu hivi kama kujamiana, pamoja na stress zinazowafanya waingie uvutaji wa madawa. Hivi sasa Mango kisiwa cha burudani kimekufa, hapo bado kupiga mziki kwa kiingilio cha bia kama walivyo FM Academia.
Juzi kati nilikua mwananyamala na mshikaji wangu maeneo kisiwan akaniambia hivi unajua Ally choki yuko majalala kinoma? Akanambia amepanga chumba(kachangiwa na rafiki zake) tena hajaweza kununua kitanda ameweka godoro chin na kapeti analala..je wasanii wanafanyaga stunts za maisha yao au vipi? Ali choki leo wakulala chin?
 
Kuna
Jumapili leo wafate pale mawasiliano park ..wana warembo watatu tu wanajitahidi ila huyo mmoja ana miuno ya kumfanya putin awasamehe Ukraine
Aisee hiyo pisi Ina figa Kali na miuno hatari sana no mzuri kwakweli.
 
Juzi kati nilikua mwananyamala na mshikaji wangu maeneo kisiwan akaniambia hivi unajua Ally choki yuko majalala kinoma? Akanambia amepanga chumba(kachangiwa na rafiki zake) tena hajaweza kununua kitanda ameweka godoro chin na kapeti analala..je wasanii wanafanyaga stunts za maisha yao au vipi? Ali choki leo wakulala chin?
Maisha ndivyo yalivyo
 
Back
Top Bottom