Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Twanga Pepeta super stars kuanzia waimbaji hadi madancer wanafanya kazi kubwa sana ila malipo hayaendani na wanachokifanya ukizingatia kila show wanaingiza mtu nyomi hatari. Hiyo ndo sababu kuu na si vinginevyo. Btw nimewamiss Tam tam ya akina aminna ngaluma hatari.
Okay
 
Nilimwoa amechoka kweli kiafya na kiuchumi pale Villa mpaka nikatoa machozi. Ila sasa hivi amerudi Dar.
Sasa amerudi kutumbuiza au kupumzika? Kisiwa cha Band ni dar nakumbuka enzi ya Mango Garden
 
Ulimpata boss?
Hivi kuna yule mdada LILIAN INTERNET yupo?aisee yule mdada kuna siku nipo pale magomeni annex walikuwa wanapiga. TWANGA PEPETA,,,ikafika muda wa AMSHA AMSHA,,,,nakumbuka rapa wao MSAFIRI DIOF ,,,,alianza na MINGOI,,,MINGOI,,,CAMERA,, CAMERA,,basi muda huo wale warembo WACHEZA SHOO,, wakiongozwa na marehemu AISHA MADINDA,,,walianza kuzunguka ukumbi mzima huku wakitafuta MTU wa kumzungushia NYONGA,,bahati ikaniangukia kwa LILIAN INTERNET,,alikuja akanikalia MAPAJANI,,,HUKU akizungusha NYONGA...kama FENI BOVU,,,,aisee,,,JEGEJE LANGU likikuwa kwenye wakati mgumu sana,,,,ingekuwa mchana ningehadhirika MTU MZIMA,, ,,,,nilikuwa nahisi kabisa WAZUNGU WAPO AIRPORT tayari kushuka,,,,yule mdada alikuwa hatari sana,,,,nilichofanya nilichukuwa KUMI nikafinyanga na namba ya Simu nikamfinyia kwenye CHUPI,,,, sikukubali KUFA KIINGEREZA,,,,kwhyo wakuu hawa WACHEZA SHOW kuwaepuka yataka uwe na ROHO YA CHUMA,,especially kama upo nao KARIBU....hao jamaa WAMEKULANA wao kwa wao..ndy tatizo linaanzia hapo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pengine ni mke wa mtu sasa,,

haifai kueleza kilichofata,,,,
kumbuka viapo vya daktari kutunza siri za wagonjwa wake,,

siku ile alinitengua udhu Baharia...

ila nilizama na jahazi,,,sikukubali kujitosa baharini peke yng. ...
 
haya sasa washakupandisha genye na wewe umewawekea kwenye vyupi na hawana mtu siku hilo hapo lazima walane aisee, maana wengi wanawaoogopa wanadhani gharama kubwa aiseee, ila ulikula rahaaa, kama vile nakuona mtoto liliani anavyokutesa kunako wazungu,. acha wazungu wachungulie kinoma. yani , hakika mango na twanga kilikuwa kisiwa ch burudani, sasa ni mapangale kwa kwenda mbele.
Mkuu lile feni la Lilian internet nalikumbuka hadi Leo,,,
japokuwa ni miaka 15 iliyopita....
maana lilikuwa feni lakini kama anajisaga na kusota kwenye DUSHE langu,,,

mkuu siwalaumu wale jamaa DUNGA DUNGA ,
pengine ni kuzidiwa na hisia... MUNGU ashukuriwe...kwa uhai..
 
Kweli mkuu wakati nipo kidato cha 3 nilikutana na demu mmoja ana sura ya baba lakini mpaka leo namkumbuka yule alikua jini la mapenzi..

#My wife najua utapita hapa utaona hii ilikua kabla yako hahahhaha
Hata POMBE ukiiona kwenye CHUPA imetulia,,,,UKIINYWA ndy UNAANZA KUSUMBUWA....MWANAMKE mwingine MTAMU akiwa UCHI,, hapo GUSA unate..tena hapo kishaanza KUCHOKA MKUU,,, usimdharau ANAYELILIA MAPENZI,,hujuwi anachopewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wewe mhenga umewakumbuka wote hakika ulikula raha ila diamondo saundo hukuitaja ile ya kamuke sukari, diana astovila, eliston angai elly kinyama, jesus, elly longomba na Lillian internet. Na mkuu wa majeshi
Roger muzungu
 
wana Jamvi,

Ni suala la kushangaza sana kwa takribani ya miaka mitatu sasa, tumesikia vifo vingi vya wasanii wa Twanga pepeta.

Tumekosa sana waburudishaji ambao walizikonga nyoyo zetu. Ni njia gani itumie kuwaookoa kwani idadi inatisha?

Mlolongo wa vifo unasemekana kutokana na maradhi ya kisasa na Dawa za kulevya. sijajua kwanini wanajiingiza uvutaji wa madawa haya.

Angalia Banza Stone, Diana Aston Villa, Halima White, Amigolas, Baba Diana, Aisha Madinda na wengine wengi.

Labda Mkurugenzi wao awatafutie namna ya kujikinga na vitu hivi kama kujamiana, pamoja na stress zinazowafanya waingie uvutaji wa madawa. Hivi sasa Mango kisiwa cha burudani kimekufa, hapo bado kupiga mziki kwa kiingilio cha bia kama walivyo FM Academia.
Mkuu hao uliowataja ni marehemu sasa watajikingaje.Waache marehemu wampumzike,hakuna ambaye hatakufa hapa duniani,kama si ukimwi kuna Corona ,kuna maradhi mengine ,kuna uzee,mkuu kama unapumua jua kuna siku usiyoijua utashindwa kupumua.
 
We mgeni hapa mjini nn siku izi kuna Mango tena ama
Atakuwa aliingizwa na mjomba wake kwenye dansi la Twanga siku mmoja alipokuja kumtembelea mjomba hapa jijini kabla hajarudi kwa Mpitimbi na tokea wakati huo Dar anaiona tu TBC .
 
Back
Top Bottom