Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Dhana hii ndiyo inayozungumzwa na Watu wengi mno, kutokana na mazingira yalivyo inaaminika kwamba masoko haya yanapigwa kiberiti, japo haijatajwa hasa ni yupi anayefanya unyama huo.
Lengo langu si kufanya uchochezi, nilichozingatia ni ile methali isemayo MFICHA UCHI HAZAI au MFICHA MARADHI MAUTI HUMUUMBUA, hii ni kwa vile 99% ya raia hawaamini kama moto huu ni ajali, sasa tukiacha hali hii bila kujadili hapa JF na kutafuta ufumbuzi inaweza kuleta mkanganyiko mkubwa sana.
Jambo hili ni lazima lijadiliwe ili kupata Ukweli. Je, ni kweli masoko haya yanachomwa moto au ni ajali tu za kawaida?
Naomba kuwasilisha
Lengo langu si kufanya uchochezi, nilichozingatia ni ile methali isemayo MFICHA UCHI HAZAI au MFICHA MARADHI MAUTI HUMUUMBUA, hii ni kwa vile 99% ya raia hawaamini kama moto huu ni ajali, sasa tukiacha hali hii bila kujadili hapa JF na kutafuta ufumbuzi inaweza kuleta mkanganyiko mkubwa sana.
Jambo hili ni lazima lijadiliwe ili kupata Ukweli. Je, ni kweli masoko haya yanachomwa moto au ni ajali tu za kawaida?
Naomba kuwasilisha