Kwanini wananchi wengi wanawachukia wabunge hivi?

Kwanini wananchi wengi wanawachukia wabunge hivi?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1733531673674.png

Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.

Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?

Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?

Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?

Nne, chama chao nacho kinasemaje?

Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea yasikuwa mazuri anajitafakarije kwa hali hii?

Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchaguzi ujao?

Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?

Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?

Naomba kuwasilisha
 
View attachment 3170961
Baada ya kusoma maoni ya baadhi ya wenzetu humu ilipotangazwa ajali ya gari iliyowahusisha wabunge, nimepigwa butwaa na kuibua maswali.
Mosi, kwanini wabunge wanachukiwa hivi?
Pili, wafanye nini hii chuki iondoke?
Tatu, wamepokeaje, kama wamepokea mwitikio huu?
Nne, chama chao nacho kinasemaje?
Tano, spika ambaye wengi wameonyesha kumuombea afe anajitafakarije kwa hali hii?
Sita, jibu ni kuwachukia au kuhakikisha hawarejei uchguzi ujao?
Saba, tatizo ni wabunge au wapiga kura wanaohongwa udohoudoho?
Nane, tatizo ni tume mbovu ya uchaguzi inayochakachua uchaguzi?
Naomba kuwasilisha
Usipende kuhalalisha Mambo yako kwa hisia zako. Umeenda kwenye mitandao mingine ukakuta hali ni tofauti??

COMMENTS ZA WANANCHI KTK MITANDAO BAADA YA WABUNGE KUPATA AJARI:

1. TBC waliochangia mpaka sasa ni 539, kati yao 506 wamewatakia kifo na 33 wametoa pole
2. AZAM TV waliochangia hadi sasa ni 161, kati yao 157 wamewatakia wabunge kifo na 4 wametoa pole
3. KITENGE, waliochangia hadi sasa ni 77, wote wamewatakia kifo wabunge.
4. EATV, waliochangia 36, 1 ameonyesha huruma na 35 wamewatakia wabunge kifo.
Hii nimeikuta mahali. Je hao nao ni wana JF??
 
Usipende kuhalalisha Mambo yako kwa hisia zako. Umeenda kwenye mitandao mingine ukakuta hali ni tofauti??

COMMENTS ZA WANANCHI KTK MITANDAO BAADA YA WABUNGE KUPATA AJARI:

1. TBC waliochangia mpaka sasa ni 539, kati yao 506 wamewatakia kifo na 33 wametoa pole
2. AZAM TV waliochangia hadi sasa ni 161, kati yao 157 wamewatakia wabunge kifo na 4 wametoa pole
3. KITENGE, waliochangia hadi sasa ni 77, wote wamewatakia kifo wabunge.
4. EATV, waliochangia 36, 1 ameonyesha huruma na 35 wamewatakia wabunge kifo.
Hii nimeikuta mahali. Je hao nao ni wana JF??
Tumia akili japo kidogo. Nimekuwa specific kuwa ni baadhi ya wana JF. Najua kufanya utafiti na ni mtafiti siyo wa kuungaunga mwanangu hata kama nimezeeka.
 
Usipende kuhalalisha Mambo yako kwa hisia zako. Umeenda kwenye mitandao mingine ukakuta hali ni tofauti??

COMMENTS ZA WANANCHI KTK MITANDAO BAADA YA WABUNGE KUPATA AJARI:

1. TBC waliochangia mpaka sasa ni 539, kati yao 506 wamewatakia kifo na 33 wametoa pole
2. AZAM TV waliochangia hadi sasa ni 161, kati yao 157 wamewatakia wabunge kifo na 4 wametoa pole
3. KITENGE, waliochangia hadi sasa ni 77, wote wamewatakia kifo wabunge.
4. EATV, waliochangia 36, 1 ameonyesha huruma na 35 wamewatakia wabunge kifo.
Hii nimeikuta mahali. Je hao nao ni wana JF??
Ajabu, siku ya uchaguzi wote wanapita hata kama marehemu. Nani wanawachaguaga?
 
Wa kutumia akili ni Wewe Sio Mimi, Ajali haijatokea JF humu, why umea-adress JF tu?? Una lako jambo wewe. Najua
Sijui kama unajua unachoandika. Kwanini unakuwa kama hamnazo? Nimesema humu JF siyo kwenye hiyo mitandao yako. Unasema nime-adress JFtu. Unamaanisha address? Kwenye utafiti lazima uwe na eneo dogo ili kupata sampli inayoweza kuwakilisha eneo kubwa. Kama umekwenda shule na umesoma somo la utafiti utanielewa. Kama siyo, nasikitika.
 
Sijui kama unajua unachoandika. Kwanini unakuwa kama hamnazo? Nimesema humu JF siyo kwenye hiyo mitandao yako. Unasema nime-adress JFtu. Unamaanisha address? Kwenye utafiti lazima uwe na eneo dogo ili kupata sampli inayoweza kuwakilisha eneo kubwa. Kama umekwenda shule na umesoma somo la utafiti utanielewa. Kama siyo, nasikitika.
Naoma tumehamia kwenye makosa ya spelling na Sio hoja tena sio? Haya tuendelee.
 
Kwakua mtu mmoja anaweza kua na access ya kucomment JF, X, FB na YouTube kwa majina tofauti tofauti hatuwezi rule out kwamba kwa mfano jumla ya watu 1000 wameonyesha chuki kwenye mitandao ya X, FB, YouTube, WhatsApp status, Na pages za habari.

Katika hao 1000 pengine ni 50 tu ndiyo hawakucomment kokote kwingine isipokua JF tu. Hivyo basi tukifananisha tutaona haters wa JF ni wachache na real number ni ndogo zaidi kwakua mtu ana access ya kucomment social media zingine.
 
Wabunge wa CCM ni hovyo.

Lakini uhalisia ni kwamba wabunge sio independent people, lazima wawe in toe na party lines.

Kuna hoja za majimboni kwao wanaruhusiwa kujiachia, kuna maamuzi ya serikali wabunge wa chama tawala wanatakiwa kuyabariki.

Ndio maana House of Representatives zote duniani zina (whips) wa chama ndani ya house/s of representatives kuhakikisha wawakilishi wao wanakuwa in toe na maamuzi ya serikali yale ambayo serikali inataka yapite.

Bunge for the most part ni kiini macho sio Tanzania tu, hizo ni taratibu za siasa duniani.

Yes, now and then you get rebels kama Mpina ndani ya vyama tawala but that’s not the majority.

Lakini kuwalaumu wabunge for the most part ni kuwakosea, sidhani kama kuna bunge duniani lina wabunge wote wa serikali wanakubaliana na kila kitu wanachopigia kura za ndio, isipokuwa wanatakiwa kufanya hivyo (that’s how party politics works).

Mungu awape nafuu majeraha
 
Ajabu, siku ya uchaguzi wote wanapita hata kama marehemu. Nani wanawachaguaga?
Pamoja na zile kura za bao la mkono la Nape wapiga kura wengi siyo watu wa mitandaoni.
Uhalisia angalia idadi ya watu waliochangia mitandaoni linganisha na raia wote nchi nzima.
 
Kwakua mtu mmoja anaweza kua na access ya kucomment JF, X, FB na YouTube kwa majina tofauti tofauti hatuwezi rule out kwamba kwa mfano jumla ya watu 1000 wameonyesha chuki kwenye mitandao ya X, FB, YouTube, WhatsApp status, Na pages za habari.

Katika hao 1000 pengine ni 50 tu ndiyo hawakucomment kokote kwingine isipokua JF tu. Hivyo basi tukifananisha tutaona haters wa JF ni wachache na real number ni ndogo zaidi kwakua mtu ana access ya kucomment social media zingine.
Hoja yako ni ipi? Kwanini kuhangaika na mitandao mingi wakati kiutafiti jf inatosha na unaweza hata ukaandika thesis tha PhD kwa kutumia data za jf na kubakisha?
 
Usipende kuhalalisha Mambo yako kwa hisia zako. Umeenda kwenye mitandao mingine ukakuta hali ni tofauti??

COMMENTS ZA WANANCHI KTK MITANDAO BAADA YA WABUNGE KUPATA AJARI:

1. TBC waliochangia mpaka sasa ni 539, kati yao 506 wamewatakia kifo na 33 wametoa pole
2. AZAM TV waliochangia hadi sasa ni 161, kati yao 157 wamewatakia wabunge kifo na 4 wametoa pole
3. KITENGE, waliochangia hadi sasa ni 77, wote wamewatakia kifo wabunge.
4. EATV, waliochangia 36, 1 ameonyesha huruma na 35 wamewatakia wabunge kifo.
Hii nimeikuta mahali. Je hao nao ni wana JF??
Sijawahi kuwafagilia
 
Back
Top Bottom