Ushasikia watu wa Pwani wamepata njaa hawana chakula?Yes.... Watu wa Pwani asilimia kubwa ni Wavivu, wanapenda kukaa kwenye vibaraza kuliko kazi.... Point yako ina make sense
Hata nyumbani kwenu, ukiwa mvivu haimaanishi nyumba nzima mtakufa njaa, wapo ambao watakaoleta msosi tu. Pwani inalishwa na mikoa ya Bara, wafanyabishara wengi pwani ni watu wa bara.... Watu wa Pwani wengi wao wanamiliki nyumba tu ambazo huzipangisha ili ziwaendeshee maishaUshasikia watu wa Pwani wamepata njaa hawana chakula?
Hii nadharia ya uvivu kwa watu wa Pwani sio ya kweli. Eti wavivu......Magufuli aliokuwa anawatumbua wale wote ni wa Pwani?
Kimara kote alikowavunjia nyumba wakamchukia ni watu wa Pwani?
Haya nanyie kufeni basi mumfate baba yenu.
Huyo ibilisNimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia. Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.
JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.
Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
Ukiona mtu anampenda magufuli kama sio shoga basi hajasomaAlikuwa hovyo mno sema watanzania wengi viwango vyao ni vidogo mno ndio maana kuna wanamwona ni mzuri.
Hoja za kibaguzi hazina maana hakuna society ambayo ni bora kuliko nyingine kila jamii ina social values zake na ndio maana Rio de janeiro kucheza samba na ngoma barabarani kwa misururu ni tamaduni zao tu na watu wanasafiri kwenda kuangalia ,jamii hazitafanana hata siku moja hivyo kila mtu aheshimu ya kwake na akae navyo vya kwake bila kuathiri uhuru wa wengine.Yes.... Watu wa Pwani asilimia kubwa ni Wavivu, wanapenda kukaa kwenye vibaraza kuliko kazi.... Point yako ina make sense
Kwanza unafahamu maana ya neno "uchwara?" Kwa kukiri kuwa utafiti wako ni wa uchwara, umehasisisha na kudunisha hoja yako.Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia. Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.
JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.
Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
ExctlyUkiona mtu anampenda magufuli kama sio shoga basi hajasoma
Mama kaongeza 6800 kwa sisi wenye mshahara wa zaidi ya m 2.Ulige ulige iwee.
Miaka 6 bila nyongeza za mishahara Kwa watumishi,nao walikaa vibarazani?
ACHA Mungu aitwe Mungu.
Afadhali umeamua kuwasaidia hawa vilaza wenye chuki zao na watu wa pwani. Kimsingi uwepo na hilo neno maana yake hii mada haipaswi kuhangaikiwa na wenye akili zaidi ya wale haters wenyewe.Kwanza unafahamu maana ya neno "uchwara?" Kwa kukiri kuwa utafiti wako ni wa uchwara, umehasisisha na kudunisha hoja yako.
Pwani hulishwa na bara😀😀😀Hata nyumbani kwenu, ukiwa mvivu haimaanishi nyumba nzima mtakufa njaa, wapo ambao watakaoleta msosi tu. Pwani inalishwa na mikoa ya Bara, wafanyabishara wengi pwani ni watu wa bara.... Watu wa Pwani wengi wao wanamiliki nyumba tu ambazo huzipangisha ili ziwaendeshee maisha
Aliteleza sehemu gani kama binadamu?Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.
Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.
JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.
Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
Ukienda Roma fanya wafanyayo waroma!Ukipangiwa kufanya kazi na watu wa Zanzibar, Tanga au Pwani inabidi uweke 'ubara' pembeni, hao jamaa ni don't care, kazini wanaingia saa 3, saa 4 wanakunywa chai, wewe ukipamba kufanikisha jambo au kazi wao ndio kwanza wanataka kwenda kusali saa 7, wakirudi ni lunch, wanapiga stori saa 1 then saa 9 wanataka kurudi nyumbani. Ukiwa mtu wa Hapa kazi tu lazima wakuchukie
Za kuambiwa changanya na zakoUkienda Roma fanya wafanyayo waroma!
Kama anayemchukia mwendqzake sio kutoka Chadema, huyo ni mwizi.Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.
Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.
JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.
Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
Kaka una ushahidi?Ukipangiwa kufanya kazi na watu wa Zanzibar, Tanga au Pwani inabidi uweke 'ubara' pembeni, hao jamaa ni don't care, kazini wanaingia saa 3, saa 4 wanakunywa chai, wewe ukipamba kufanikisha jambo au kazi wao ndio kwanza wanataka kwenda kusali saa 7, wakirudi ni lunch, wanapiga stori saa 1 then saa 9 wanataka kurudi nyumbani. Ukiwa mtu wa Hapa kazi tu lazima wakuchukie