Kwanini wanaomchukia Mwendazake wengi wao ni watu wa Pwani na Zenji?

Kwanini wanaomchukia Mwendazake wengi wao ni watu wa Pwani na Zenji?

Lissu yeye si mwanasiasa wa chama pinzani... Lazima kuwe na ligi baina yao kwa sababu wote wanataka urais... Lakini Lissu mwenyewe juzi kati alisema kuwa anamkubali Magufuli kwenye baadhi ya mambo juu ya uvivu na ufisadi
Chadema wanatokea pwani ya mlima kilimanjaro.
 
Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.

Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.

JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.

Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
Huo utafiti wa uongo na huna facts wala data za kutosha, watu wanaomchukia zaidi mwendazake ni watu wa kutoka kaskazini yaani watu wa arusha na Kilimanjaro kwingine utakuwa umewaonea tu rudia utafiti wako vizuri, au pitia comment za watu utawaona.
 
HISTORIA NA UKWELI UKO PALE PALE:
AWAMU YA KWANZA-IMARA
AWAMU YA PILI-DHAIFU
AWAMU YA TATU-IMARA
AWAMU YA NNE-DHAIFU
AWAMU YA TANO-IMARA SANA
AWAMU YA SITA-DHAIFU ZAIDI
 
Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.

Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.

JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.

Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
Watu wa pwani na bara utawatofautisha kwa vyama vyao. Jiulize utafiti wako kama uliongizwa kwa vigezo au hisia.

Nani wanamtaja kwa Ubaya magufuli hadi leo kati cha chadema na ACT, cuf.

Je chadema kimekuwa ni chama cha watu wa pwani.

Nikupe ukweli watu wa pwani hawamtaji kwa uzuri rais wa kwanza na wala si Magufuli. Huku chadema wakimtaja rais wa kwanza kwa uzuri na si kwa magufuli
 
Sasa wewe hapo Pwani unalima nini... Labda ukavue kambale mtoni, udongo wenyewe hauna rutuba
Pwani ipi yenye udongo usio na rutuba?
Pwani ni jina tu yenye maana ya coastal zone.....wilaya za mkoa wa Pwani ni Mafia, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe, Bagamoyo, Kibaha na Chalinze. Tukuulize, ni wapi kuna njaa katika maeneo hayo kisa watu hawalimi?
Maeneo yote hayo yana stawi mihogo, mpunga, mahindi, minazi, migomba, viazi vitamu na viazi vikuu, mikorosho, matunda kama mafenesi, maembe, machungwa, ndimu, mananasi n.k wao wanajilimia as a subsistence economy as food tu chakula cha kawaida, miaka inaenda.
Na Pwani haina mito ya kutosha kuvua kambale. Mtu wa pwani hasaaa humlishi kambale.....ni kama chura.
Ipo bahari inayo mazao muruwa kabisa changu, kolekole, ngisi, pweza, pono, kibua, mkizi, jodari....watakani?
Unavyosikia Pwani unadhani ni pale ferry?
Fungua ubongo huo or die a bogus.
 
Back
Top Bottom