Kwanini wanaomchukia Mwendazake wengi wao ni watu wa Pwani na Zenji?

Kwanini wanaomchukia Mwendazake wengi wao ni watu wa Pwani na Zenji?

Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.

Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.

JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.

Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
hata mimi namchukia na sipendi kumsikia kabisaaa...kwa sasa nipo geita mkuu😂😂
 
Sasa si alieleza sababu za kufanya hivyo na akasema mmvumilie, Mambo yatakuwa mazuri.

Nchi ilianza kupendeza, na uenda plan yake ilikuwa ataongeza mishahara mara dufu na maisha kuwa mazuri... Haya sasa hivi umeongezewa mshahara, mafuta yamepanda Bei hivyo na baadhi ya vitu vimepanda, kale la laki ulikoongezewa kote kanarudi serikalini. Maisha yanakuwa yale yale
Je uliwahi kusikia yeye amekataa posho zake, Ili awe mfano uvumilivu?
Je aliwahi kuwanyima posho za michongo mawaziri wake na vigogo wake na kuwataka wavumilie?
Bei za pembejeo kubwa, shamba hamna, mitaji hamna, NGOs zikapigwa chini, iyo kauli ya hapa kazi tu inakuaje?
Magu Bora alikufa tu.
Ila sijasema bi Sami ni Bora kuliko Magu
 
Sasa si alieleza sababu za kufanya hivyo na akasema mmvumilie, Mambo yatakuwa mazuri.

Nchi ilianza kupendeza, na uenda plan yake ilikuwa ataongeza mishahara mara dufu na maisha kuwa mazuri... Haya sasa hivi umeongezewa mshahara, mafuta yamepanda Bei hivyo na baadhi ya vitu vimepanda, kale la laki ulikoongezewa kote kanarudi serikalini. Maisha yanakuwa yale yale
Watu km hawa wana ufikiri mdogo..hawazijui Hesabu.
 
Mimi nipo nyandaza juu kusini na moja ya viongozi ambao sikuwahi wapenda ni huyu jamaaa yani sitaki hata kumsikia . Hivyo point yangu siyo watu wa zenj na pwan ndyo wanamchukia
 
Sasa utamwitaje mtu mbaya wakati, wewe mwenyewe hujawai kufanyiwa huo ubaya... Mwache aliyefanyiwa ubaya ndio aje hapa kutueleza huo ubaya...

Ndio maana nikasema wavaa vibagalashia mnaomchukia Magufuli ila tukiwauliza kwa nini mnamchukia kwa nini, hamtupi sababu za kueleweka. Hapo wewe ndio una matatizo
Kwani makaburu walitufanyia ubaya gani?
 
Kwa sababu ni wazembe wa kuchapa kazi na kufikiria. Wadini. na wabinafsi , Muda wote wanawaza kuiba tu
Nimefanya utafiti wangu Uchwara mitandaoni na uraiani. Nimegundua asimilia kubwa ya watu wanaomchukia Legendary John Pombe Joseph Magufuli kwa asilimia kubwa ni watu kutoka Pwani na wengine Zanzibar ambao wengi wao ni wavaa vibagalashia.

Ikumbukwe sina chuki na Dini wala mambo ya Udini. Katika story za vilingeni nilikaa na jamaa kadhaa wakawa wanamponda Magufuli nifanya u-FBI wangu nikagundua ni watu kutoka Pwani, na Zenji. Pia mitandaoni huko Facebook, Twitter na Instagram nikawa napita kwenye profiles zao kuona na watu wa wapi, nikaja kugundua pia wengi wao ni watu wa pwani na wavaa vibagalashia.

JPM alisifika sana kwa kuwala vipanga watu mbalimbali ambao walikuwa wanahujumu Taifa, mfano wala rushwa, mafisadi, vyeti feki, na watu ambao walitaka keki ya Taifa iwe yao. Mimi binafsi kuna rafiki yangu aliwahi kufungwa kwa kesi ya Rushwa, lakini siwezi kusema JPM ni mbaya eti kisa rafiki yangu alikamatwa kwa kosa la rushwa, kwa sababu iliyomfunga ni rushwa na si Rais, hivyo mimi binafsi JPM simdai maana alifanya kila kitu kwa weledi sana, japo kuna mahali aliteleeza na kama binadamu tunamuelewa kwa sababu kuongoza watu milioni 60, si mchezo. Wengine kuongoza familia tu zinawashinda.

Sasa najiuliza hawa wavaa vibagalashia kwa nini wanamchikia jiwe kiasi hiki? Fanya utafiti wako, pita mitandaoni hata humu JF utakuta wavaa vibagalashia wengi ndio wanaoandika uzi wa kumkashifu JPM
 
Ukipangiwa kufanya kazi na watu wa Zanzibar, Tanga au Pwani inabidi uweke 'ubara' pembeni, hao jamaa ni don't care, kazini wanaingia saa 3, saa 4 wanakunywa chai, wewe ukipamba kufanikisha jambo au kazi wao ndio kwanza wanataka kwenda kusali saa 7, wakirudi ni lunch, wanapiga stori saa 1 then saa 9 wanataka kurudi nyumbani. Ukiwa mtu wa Hapa kazi tu lazima wakuchukie
Sikupingi Boss... umemaliza point zangu zote.

Wachizi wavivu ni baraa
 
Pwani hulishwa na bara😀😀😀
Pwani ipi inayolishwa na bara? Labda visiwani ambapo hakuna ardhi nzuri ya kilimo.
Tatizo mkizungumzia Pwani mnaiona Dar tu. Kama Pwani inalishwa na bara kuna tatizo gani kama pesa ipo? Si wananunua kwa pesa zao? Kaeni na ndizi zenu Bukoba huko tuone kama hamjapiga nazo picha. Dar ni mji wa kila mtu, kila kabila, kila asili na watu wote.
Ni kawaida kwenye miji mikubwa yote wazawa kusogea kando.
Ushafika na mikoa mingine mingapi?
Sasa wewe hapo Pwani unalima nini... Labda ukavue kambale mtoni, udongo wenyewe hauna rutuba
 
Hoja za kibaguzi hazina maana hakuna society ambayo ni bora kuliko nyingine kila jamii ina social values zake na ndio maana Rio de janeiro kucheza samba na ngoma barabarani kwa misururu ni tamaduni zao tu na watu wanasafiri kwenda kuangalia ,jamii hazitafanana hata siku moja hivyo kila mtu aheshimu ya kwake na akae navyo vya kwake bila kuathiri uhuru wa wengine.
Tofautisha Utamaduni na Uvivu... Samba ni utamaduni, Uvivu sio Utamaduni, Uvivu ni hulka
 
Ukiona mtu anampenda magufuli kama sio shoga basi hajasoma
Wewe Elimu yako kiasi gani? Kina kabudi na maprofesa na wanamuelewa mwamba alafu unatokea wewe choko unaongea ushubwada
 
Pwani wapi? Magufuli anaongoza kupendwa mikoa ya pwani kuliko hata Mkapa na mwinyi....Raisi asiyependwa mikoa ya pwani ni Nyerere tu.


Fanya tafiti japo Zanzibar sijafika ila pwani kote Magufuli ndio mwamba wanamuelewa sana.
 
Yes.... Watu wa Pwani asilimia kubwa ni Wavivu, wanapenda kukaa kwenye vibaraza kuliko kazi.... Point yako ina make sense
Dogo hauna exposure ? Jaribu kutembea au teseme yale tuba experience kutoka kwenu ?😅
 
Exposure ndio ofisaa... Ningejuaje kubwa watu wa Pwani wavivu.... Mimi nimefanya kazi na watu wa Pwani, nazungumzia watu wa Pwani original sio nyie wavamizi... Kuna kituo cha wenzetu kilikuwa Tanga, kila siku wanachambana na wanatoroka kazini... Kila siku watu Tanga wakawa wanaripotiwa kwenye group la kazi ikabidi mpaka kuwe na supervision ya mara kwa mara
Sio kweli napinga asilimia 100 hakuna kitu kama hicho ni porojo.
 
Exposure ndio ofisaa... Ningejuaje kubwa watu wa Pwani wavivu.... Mimi nimefanya kazi na watu wa Pwani, nazungumzia watu wa Pwani original sio nyie wavamizi... Kuna kituo cha wenzetu kilikuwa Tanga, kila siku wanachambana na wanatoroka kazini... Kila siku watu Tanga wakawa wanaripotiwa kwenye group la kazi ikabidi mpaka kuwe na supervision ya mara kwa mara
Acha uongo hakuna mtu mvivu ni nadharia sawa na kusema wahaya wananuka midomo kama ilivyo ni nadharia ..

Ninafanya kazi hapa na watu tofauti mimi nawahi na watu wa karibu tunatoka mikoa ya pwani ila nyie wengi kiburi na ushamba kuleta ubishi ....Principal anatuelewa ila wahaya na wengine wengi hovyo kabisa ubishi kazi hawataki kujifanya ujuaji...

Sisi watu wa pwani hatuna noma hata shobo ni watu tuko bussy na kujielewa .
 
Wewe Elimu yako kiasi gani? Kina kabudi na maprofesa na wanamuelewa mwamba alafu unatokea wewe choko unaongea ushubwada
Kabudi ana elimu gani family law si sociology hizo.msomi unasema ulitolewa majalalani
 
Lussu kwao pwani ya singidani au kindai?
Lissu yeye si mwanasiasa wa chama pinzani... Lazima kuwe na ligi baina yao kwa sababu wote wanataka urais... Lakini Lissu mwenyewe juzi kati alisema kuwa anamkubali Magufuli kwenye baadhi ya mambo juu ya uvivu na ufisadi
 
Back
Top Bottom