Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Mimi siiti msikiti kuchinja nachinja mwenyewe eti ukichinja umpe firigisi kam nikikwalika usipokula basi utakunywa maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I will always stand to be corrected as I always try to learn, ila naomba unifahamishe tu hiyo understanding dalili yake ni ipi?Malaika wana free will mkuu ila wao wanaishi mbinguni na baadhi yao wanapokea command direct kutoka kwa Allah(the almighty ) bila ya kumuona ndiyo maana walimuuliza Allah (the almight) swali ili wapate kufahamishwa kwanini anataka kuwaumba viumbe wengine ilhali watakuja kumuasi yeye .
Kumuuliza pekee inaonesha wanauwezo wa kufanya reasoning na pia wana free will ila sasa wao si kama sisi wao ni ma'asum(hawana dhambi) Allah ( the almighty) amewakinga na kuwaepusha na challenges ambazo sisi na majini tunapitia.
mfano dhaifu labda ni sawa na wanafunzi wawili wanaosoma masomo ya sayansi ila mmoja akawa anasoma theory pekee na mwengine akawa anasoma both theory na kisha anafanya experiments ku prove hizo theory kikawaida yule anayesoma na kufanya experiment huwa ana ufahamu mkubwa sana wa anachokisomea kuliko yule anayesoma theory pekee ukija kupinga hoja ya yule anayefanya experiment na wakati ameshaithibiti anaweza akakushangaa sana tofauti na yule wa theory.
Hao jamaa hawana ustaarabu,wewe ukiwa fair wao hiyo fairness hawana wanachojali ni ushindi tu,kuwajali ni kumpigia mbuzi gitaa.Mimi siiti msikiti kuchinja nachinja mwenyewe eti ukichinja umpe firigisi kam nikikwalika usipokula basi utakunywa maji
Wapi huko?Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
That is itNi katika kuwa waungwana.
Alaa kumbe huwa wanaitwa kuchinja white paper!Hata kiti moto? sababu kuu wakichinja wakristo waislamu wamefundishwa kususia. ili wasisuse wakristo huwa wanawapaga hao jamaa wachinje hivo vitowewo kwa minajili ya kula wote. Hasa kama ni bidhaa ya kibiashara.
Vile vikukuu vya wiki 2 unakuta vimerundikana kwenye kigari utazani panzi huwa wapita kweli ? Hata mie natia shaka!Hawa kuku tunaokula kwenye mabaa na sherehe unadhani wamepita kibra?
Kwani waislamu wanatumia kitimoto kama kitoweo?Kitimoto wanayokula nani huwa anawachinjia?
Kwani waislamu wanatumia kitimoto kama kitoweo?Unamaanisha hata kitimoto wanachinja waislam?
Kasome vizuri bandiko langu utaelewa na ujibu kutokana na bandiko lile sio kuleta hoja za kidini. AsanteUkiskia chongo kuita kengeza ndo huku sasa!
With all due respect, waislamu wana utaratibu kamili tofauti na dini nyengine zote! Kuchinja ni jambo moja, mimi ntakwambia kuanzia kuamka mpaka kulala waislamu wamefundishwa utaratibu kamili wa kila jambo, na hii namaanisha straight kutoka kwa Mtume (SAW) na sio shekhe fulani ameota au amefunuliwa.
Mfano, Ukiamka asubuhi useme na ufanye nini, ukila useme nini na ule vp, Ukitoka kwako useme nini na utoke vp, ukiwa kwenye mihangaiko yako ni kipi halali kwako na kipi haramu kwako (usipunguze katika mizani, usile riba, n.k). Ukirudi kwako useme nini na uingie vp nyumbani kwako, wasalimie watu wako kwa salamu bora itokayo kwa Mola wako (assalaam alaykum), hii ni salamu ya mitume wote waliopita including Yesu (nenda kaangalie aliwasalimia vp watu wake na hiyo salamu katika lugha yake ilitamkika vp na ilikuwa na maana gani then linganisha na salamu hii ya waislamu then utajua nani yupo karibu zaidi kimatendo na Yesu kati ya waislamu na wakristo.
The list goes on and on! so hiyo ya kuchinja kuku ni moja katika taratibu alizowekewa muislamu vp achinje na aseme nini wakati wa kuchina! na yote hayo ni kumuweka mbele Mungu katika kila unachokifanya katika maisha yako.
NdioKwani waislamu wanatumia kitimoto kama kitoweo?
Tatizo lako ni kujifanya unafahamu mambo kumbe badooo kabisa yaniSasa nyie majini mnasema yapo mema na mabaya wakristo hatuna kupepesa macho juu ya majini(malaika waasi) kama mtu anayo akija nayo kanisani yanatimka.Mnadhani tuna kauli mbiu kama yenu ya waislamu wote ni ndugu hata kama ni jambazi,,mchawi,panya road...?
Kama ni ndio basi ujue wanapewa wachinje na kama sio hawawezi kupewa kwa sababu hawahusiki nacho.Ndio
Kwani na hii ya kuchinja imo kwenye katiba?Njemba Soro.
Kama ulikuwa unauliza ili ujue na kujiongezea maarifa hutojua ona Sasa majibu yenyewe jamaniii,, hawa ndo wanaotegemewa kutoa maoni yakatiba mpya!! Asalaleee bora tufe nayo hiihii tuliyonayo