Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Hawana majini kama wale watu naojifanya ntakusomea albadiri kumbe ushirikina mtupu. Anyway tumshike Mungu kwa mioyo yetu yote na tuache unafiki. Roho safi itapata mwisho mwema
Tatizo lenu nyinyi mmekaririshwa chuki muuchukie Uislamu kwa kuwa ndo njia pekee ya kumaintain wafuasi huko kwenu, unawashikia akili then unawaburuza, unawafanya mtaji wengine mpaka wanafika kuwaua na bado hamuoni kama mpo kwenye kudanganywa!

Uchawi ni kama tabia nyengine mbaya za wanadamu, kuna wezi, majambazi, waongo, maasherati na ndo wachawi pia wapo. Kwa kuwa nyinyi ni watu wa kutishwa muugope uislamu hao jamaa zenu huwa wanaenda na jamii gani wanadili nayo, wakienda ulaya kule wanawaambia waislamu ni magaidi coz wakisema uchawi haitobamba sana. Wakija kwenu wanakuambieni Uislamu ni uchawi kwa kuwa jamii za kiafrika zimeshughulishwa zaidi na imani za kishikirikina.

Wanacheza na akili zenu tu all the way.
 
Mm nasema unafki ni DHAMBI NYINGINE tena kubwa itatufanya tupoteze mwelekeo.
Wamejaa unafiki sanaa.
Kufirana si kosa
Kuzini si kosa.
Kuua si kosa
Kuiba si kosa
Kupiga ramli si kosa
Kuwanga si kosa
Kusengenya si kosa

Ila kosa ni

Kula nguruwe
Kula kibudu.

Huu unafiki utapeleka watu kunako jehanam
Hebu nipe ushahidi kuwa hayo uliyoyataja hapo yamehalalishwa kwenye Uislamu! Ukishindwa mi nitakupa ushahidi kuwa yote uliyoyataja yameharamishwa katika Uislamu, na tukitoka hapo nitataka wewe sasa unipe uthibitisho kwenye dini yako kuwa hayo yameharamishwa, kwa maandiko!!!

Do u accept the challenge?
 
Meng umeandika ki mtizamo.
Mtu mzima siwez kuwa na chuki na dini za kimagharibi ama dini za mashariki na uarabuni.

Unafki ndo nachukia,bora mtu uwe wa moto au barid na si vugu vugu.

Wapo waislamu safi kabisaa wasio na unafki na itikadi kama za wale webgne wanaofundishwa ujinga wa kuua wakiambiwa ndio mbinu ya kueneza dini
Pia waiskam mafedhuli na wanafki mbelel za wana damu ila kwa Mungu wanangoja labda wamrudie Mungu wao mapema

Wapo wahindu wafedhuli na wabaya kweli kweli. Wapo pia wazuri na wa kuigwa.

Wapo wakristu wazuri kweli kweli na n mfano kwa dini nyingine. Pia wapo mafedhuli wabaya na watapotelea jehanam kama hawatajirud kwa Mungu wao.

Dini yoyote inayowekeza chuki kwa waumini wake hiyo ni dini ya kishetani haijalishi .
Dini yoyote inayopandikiza chuki kwa watu wengine hiyo ni dini ya kishetani.

Mtume alifanyabiashara na watu wa dini tofaut na hii inamaanisha alikuwa na upendo na watu wote pasipo kujali itikadi za dini zao.
Tuishi maisha halini
Tupendane na tuheshimiane kwa itikad zetu.
Kama we wala panya mm sili basi isiwe mwanzo wa kunitusi. Nawe kama unakul ngurue n mm sili isiwe mwanzo wa kunitusi.

Furahia imani yako
Mkumbuke Mungu wako
Mwamini yeye tu na mlango wa pepo utakuwa wazi kwako
 
Hebu nipe ushahidi kuwa hayo uliyoyataja hapo yamehalalishwa kwenye Uislamu! Ukishindwa mi nitakupa ushahidi kuwa yote uliyoyataja yameharamishwa katika Uislamu, na tukitoka hapo nitataka wewe sasa unipe uthibitisho kwenye dini yako kuwa hayo yameharamishwa, kwa maandiko!!!

Do u accept the challenge?
Haramu haimpeleki mtu jehana ila dhambi.
Haram ina opption
Dhambi haina opption. Ukiambiwa hi ni dhambi usifanye na usifanye na haina namna ya kuipunguza makal
 
Haramu haimpeleki mtu jehana ila dhambi.
Haram ina opption
Dhambi haina opption. Ukiambiwa hi ni dhambi usifanye na usifanye na haina namna ya kuipunguza makal
Kwa uelewa wako wewe Haramu ni nini na option zake ni zipi? mimi naelewa tofauti na hivyo.

Haramu ni neno la kiswahili lililotoholewa kutoka katika lugha ya kiarabu kutoka kwenye neneo Haraam linalobeba maana ya katazo kwa kitu fulani (forbiden). Kulifanya jambo hilo ni kwenda kinyume na katazo ulilopewa, kwa lugha nyengi ni kutenda kosa. Dhambi ni hesabu inayobeba uzito wa kosa fulani. So in general ni hivi, haramu ni katazo ambalo ukilifanya unakuwa umetenda kosa inayopelea kuhesabiwa dhambi juu yako.

Wengine ni wagumu kuelewa labda mfano utasaidia: - Kuiba ni haramu, ukiiba umetenda kosa litakalo kupelekea kuhesabiwa dhambi (kupata dhambi). Kwenda jehanamu ni hukumu ya Mungu juu yako na wala sio wanaadamu.

Sasa basi, usipotubu dhambi zako au kusamehewa hizo dhambi zako kwa matendo mema mengine yanayopelekea kusamehewa dhambi zako, hesabu yako itabakia kuwa una dhambi kwa kiwango kadhaa kutokana wingi na uzito wa madhambi yako. Hukumu ya kwenda jehanamu ama peponi (mbinguni) inafuata kulingana na uzito wa madhambi yako na thawabu zako (thawabu ni opposite side ya dhambi kutoka katika matendo mema). Hapa ni lazima kuzingatia kwamba baadhi ya madhambi hayafutwi na mema yako mpaka usamehewe au utubie mfano. dhambi inayo tokana na makosa yako kwa watu wengine ni lazima ilipwe ama isamehewe na uliyemkosea. Hii ni tofauti na dhambi ya mtu kwa mola wake ikiwa tu dhambi hiyo sio ya kumshirikisha Mungu.
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Hata kiti moto? sababu kuu wakichinja wakristo waislamu wamefundishwa kususia. ili wasisuse wakristo huwa wanawapaga hao jamaa wachinje hivo vitowewo kwa minajili ya kula wote. Hasa kama ni bidhaa ya kibiashara.
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Mwazo walio tambua kuchinja walikuwa waisilamu wakirito walikuwa hawajui wakinyonga mbuzi ng,ombe kuku wakichoma mkuki wa na kunywa damu nguruwe wakipiga nyundo ndio maana mpaka sasa muisilamu wa kweli hali kwa mkirito
 
Ni maamuzi tu lakini sio lazima uchinjiwe mm nachinja mnyama yeyote kwangu na akija muislamu nampa ale mm hata nikila kitimoto vyombo vilivyotumika ndivyo hivyo hivyo tutalia wakija waislamu imani yao hainizuii kua huru hata kidogo
 
Acha akili ndogo wewe! na yale majini mnayokurupushana nayo kule makanisani kunakuwa na muislamu pale?

Yani nyinyi tatizo lenu mnakuwa na akili ya kushikiwa kama watoto, manaambiwa waislamu wana majini na nyinyi Ameen! halafu bado hapohapo kanisani mnakurupushana na mapepo "pepo tokaaa" au na nyie pia waislamu?

Mnadanganywa ili muwaogope na kuwachukia waislamu na nyinyi bila kufikiri mnafata.
Sasa nyie majini mnasema yapo mema na mabaya wakristo hatuna kupepesa macho juu ya majini(malaika waasi) kama mtu anayo akija nayo kanisani yanatimka.Mnadhani tuna kauli mbiu kama yenu ya waislamu wote ni ndugu hata kama ni jambazi,,mchawi,panya road...?
 
Hawa jamaa wanachagua vitu vidogo vidogo na vya kijinga..
Pombe ni haramu mbona wasiziharibu huko kwenye ma club na bar? Huli kitimoto ila unaenda kwenye madanguro.
Huli kibudu ila unaliwa jicho au unakula jicho..huu ni upuuzi
Mungu wao yuko tofauti sana ni kama ana roho ya kibinadamu hivi ya kibaguzi na unafiki!
 
Wakristo ni watu wepesi kujamiiana/ kujumuika na watu wengine sio kwamba hawawezi kuchinja ila waislamu wana kasumba ya kutokula kilichochinjwa na watu wenye imani nyingine.

Kwahiyo wakristo wanawaita waislamu ili akikaribishwa isilete shida ndio maana machinjio yote wapo waislamu na wakristo wamekubaliana na hali hiyo ili kutoleta migogori isiyo sababu.
Unamaanisha hata kitimoto wanachinja waislam?
 
Mungu wao yuko tofauti sana ni kama ana roho ya kibinadamu hivi ya kibaguzi na unafiki!

Inawezekana
 
Sasa nyie majini mnasema yapo mema na mabaya wakristo hatuna kupepesa macho juu ya majini(malaika waasi) kama mtu anayo akija nayo kanisani yanatimka.Mnadhani tuna kauli mbiu kama yenu ya waislamu wote ni ndugu hata kama ni jambazi,,mchawi,panya road...?
Unalohitaji wewe ni darasa. Tatizo kubwa mlilonalo nyinyi kujaribu kuelewa dini nyengine kwa mafundisho ya dini yenu, acha nikuelezee kidogo huenda ukaelewa waislamu tunaamini nini.

Kwanza kabisa kwetu sisi majini sio malaika walioasi. Miongoni mwa viumbe wengi walioumbwa na Allah (Kuna tunavyovijua na tusivyovijua kwasababu hatuna share katika ujuzi wake isipokuwa kile alichotaka tukijue), kuna viumbe aina tatu ambavyo ni Malaika, majini na watu. Hivi viumbe vitatu vinatoufautiana kimaumbile na kisifa baina ya kimoja na kingine.

1) Malaika - Hawa wameumbwa kwa kutumia nuru, kimaumbile hawajaumbwa wakiwa na maamuzi zaidi ya kutii amri wanayopewa (they dont't have free will), pia hawa hawana jinsia ila wanaweza kujibadilisha katika maumbile tofauti mfano wa wanaadamu (refrence nyingi katika Quran na bible waliwatokea mitume katika umbo la kibinadamu). Pia hawa hawana sifa ya kula wala kunywa.
2) Majini - Hawa wameumbwa kwa moto, wao pamoja na wanaadamu wamepewa uwezo wa kuamua katika matendo yao (They have free will and choice), pia wana jinsia ya kike na kiume hivyo huzaliana kama wanadamu na pia wamepewa uwezo wa kijbadilisha kimaumbile ila hawaonekani katika umbo lao halisia katika macho ya mwanadamu, ila kama wanadamu na wao wanakula na kunywa.
3) Binaadamu - Ndo sisi sasa, asili ya maubile yetu ni udongo. Tofauti zetu na ushabihiano wetu na hao viumbe wengine zimetajwa hapo juu.

Ukizingatia hapo juu utagundua similarity kubwa kati ya majini na watu ni Free will katika matendo yetu, hili pia ndo sababu tukaletewa muongozo wa jinsi gani ya kuishi hapa duniani, sidhani kama uliwahi kusikia kuna mtume alitumwa kwenda kuwaongoza malaika because hakuna haja hiyo as they do only what they have been comanded by God. With free will siku zote watakuwepo watiifu na wakosaji, kama katika wanadamu kuna watenda mema na pia watenda maovu mf. majambazi, washirikina n.k. pia kwenye majini wapo hivo hivo na moja katika sifa kubwa ya majini waovu ni hii kuwaingia watu, kuwatesa na kuwakufurisha. hakuna jini mwema anayemuingia mtu, majini wote walio wema wanaishi kwenye jamii zao bila ya maingiliano na wanadamu. Katika lugha nyepesi wote hao wanaosumbua watu ni majini waovu!!!

Jini sio sifa bali ni maumbile, kama ilivyo binadamu na malaika, bali ushetani ndio sifa ya majini waovu, ila pia binadamu anaweza kuwa na sifa kishetani anapokuwa muovu mfano wa uovu wa majini.
 
Unalohitaji wewe ni darasa. Tatizo kubwa mlilonalo nyinyi kujaribu kuelewa dini nyengine kwa mafundisho ya dini yenu, acha nikuelezee kidogo huenda ukaelewa waislamu tunaamini nini.

Kwanza kabisa kwetu sisi majini sio malaika walioasi. Miongoni mwa viumbe wengi walioumbwa na Allah (Kuna tunavyovijua na tusivyovijua kwasababu hatuna share katika ujuzi wake isipokuwa kile alichotaka tukijue), kuna viumbe aina tatu ambavyo ni Malaika, majini na watu. Hivi viumbe vitatu vinatoufautiana kimaumbile na kisifa baina ya kimoja na kingine.

1) Malaika - Hawa wameumbwa kwa kutumia nuru, kimaumbile hawajaumbwa wakiwa na maamuzi zaidi ya kutii amri wanayopewa (they dont't have free will), pia hawa hawana jinsia ila wanaweza kujibadilisha katika maumbile tofauti mfano wa wanaadamu (refrence nyingi katika Quran na bible waliwatokea mitume katika umbo la kibinadamu). Pia hawa hawana sifa ya kula wala kunywa.
2) Majini - Hawa wameumbwa kwa moto, wao pamoja na wanaadamu wamepewa uwezo wa kuamua katika matendo yao (They have free will and choice), pia wana jinsia ya kike na kiume hivyo huzaliana kama wanadamu na pia wamepewa uwezo wa kijbadilisha kimaumbile ila hawaonekani katika umbo lao halisia katika macho ya mwanadamu, ila kama wanadamu na wao wanakula na kunywa.
3) Binaadamu - Ndo sisi sasa, asili ya maubile yetu ni udongo. Tofauti zetu na ushabihiano wetu na hao viumbe wengine zimetajwa hapo juu.

Ukizingatia hapo juu utagundua similarity kubwa kati ya majini na watu ni Free will katika matendo yetu, hili pia ndo sababu tukaletewa muongozo wa jinsi gani ya kuishi hapa duniani, sidhani kama uliwahi kusikia kuna mtume alitumwa kwenda kuwaongoza malaika because hakuna haja hiyo as they do only what they have been comanded by God. With free will siku zote watakuwepo watiifu na wakosaji, kama katika wanadamu kuna watenda mema na pia watenda maovu mf. majambazi, washirikina n.k. pia kwenye majini wapo hivo hivo na moja katika sifa kubwa ya majini waovu ni hii kuwaingia watu, kuwatesa na kuwakufurisha. hakuna jini mwema anayemuingia mtu, majini wote walio wema wanaishi kwenye jamii zao bila ya maingiliano na wanadamu. Katika lugha nyepesi wote hao wanaosumbua watu ni majini waovu!!!

Jini sio sifa bali ni maumbile, kama ilivyo binadamu na malaika, bali ushetani ndio sifa ya majini waovu, ila pia binadamu anaweza kuwa na sifa kishetani anapokuwa muovu mfano wa uovu wa majini.
Basi tuache na sisi tuamini majini ni malaika walioasi na nyinyi mbakie kuwa wote ni ndugu regardless ujambazi,uchawi...wenu na mengine yafananayo na hayo.
 
Back
Top Bottom