Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Mkuu ile inaitwa Stage Managed, yaani Kwenye Mikutano ya Jamaa wale wabao toa shuhuda ni watu kutoka sehemu nyingine kabisa.
Ukweli ni kwamba watu wanapata uponyaji, wakristu kwa waisilamu. Sasa kama kuna management katika kutoa ushuhuda, hilo ni suala lingine
 
Popote litajwapo jina la Yesu majini na mapepo hukimbia.

Amini nikuambiayi hutaiona pepo bila kumkubali Yesu kristo na kuachana na huo upagani wako.
Porojo, hizo. hukimbilia. yesu mwenyewe alikumbwa na jini siku 40. Umesahau?
 
Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.

Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa. Ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia. Ukitaka kuliamini hilo, angalia ule mfano wa kwenye biblia. Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.

Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi? Kama sijakosea. Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.

Tofauti sana na sisi wakristu
walokole wa kikristu 90% ni wanafiki!!, tofauti na Muslim
 
Unajuaje kama ni Waislamu ?

Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
inamaana wakristo wamejua ni nabii fake ndiyo maana jibu la kwanza pigilia na hili la mdau ndiyo majibu. yaani kama wakristo wenzie hawamwamini ni fake fake fake hata wewe uliyekuja na mada hii humuamini . Hakuna muislamu anayeweza kwenda ombewa huko sababu ni imani tofauti na mafundisho yake .halafu ni maagizo haya
 
Ni wengi sana na hilo liko wazi tena wanatoka pwani!,Lindi ,Mtwara...ni waislamu pure!
Kwani kuwa muislam ndo nishindwe kuhangaika kutafuta soln napopata matatizo?
Watu sshv wamechoka kunyang'anywa uhuru wao wa,kuamua maisha yao...kila mtu anaenda kuhangaika kivyake apate soln ya shida yake!
Ni Uhuru tu
Wafia dini waione kwenye jarada..yani niteseke kwa magonjwa na shida mbalimbali..halafu kuna dawa kwa mtu waimani tofauti nisiende eti kisa nini?

#MaendeleoHayanaChama
 
Endelea tu kutoa, tunawajua wajinga ndio mliwao.
Bibi umezeeka ni wakati wako sasa wa kuweka smartphone chini..uanze kutoa nasaha na usia kwa wajukuu..muda umekutupa mkono.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu, wanawake ni viumbe wa ajabu sana ndio maana hudanganyika kirahisi bila kuhoji kitu chochote. Hawa viumbe ni wa hatari sana.
 
Back
Top Bottom