Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Mm nilikua sina imani nao ila namjua mtu, ameumwa tumempeleka kila kona mpaka South na India hakuna kitu. Kaponea pale. Na hela anatoa kila siku sio kapewa
 
Ukirogwa nenda kwa Mwamposa vyote vitaachia Mwamposa amewakomesha wachawi na waganga
 
Unajuaje kama ni Waislamu ?

Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Imani ya mtu ipo moyoni mwake....Mara nyingi tunatambuana na Dini zotu kwa majina,aidha ya Kizungu au ya Kiarabu😊
 
Hivi we kweli na akili zako unaamini mnyakyusa ni nabii?
MWAMPOSA ni tapeli mkubwa,
Nna shangazi yangu anasumbuliwa na presha na kisukari, aliniomba nauli Mimi nikakataa, yaani atoke Tabora aje kuombewa na Mwamposa,eti ana amini atapona, basi bwana akauza Cha kuuza akapata nauli toka Tabora akaenda dar kwa Mwamposa, akakaa week mbili huko, alivyorudi Mimi baada ya mwezi nikampigia kujua maendeleo yake, ah wapi, kisukari kilichachamaa na presha pia,maana aliacha kutumia vidonge vya presha
 
Ila kuwa Muislam inataka moyo sana, mambo ya kuamini majini sjyo mchezo
Heri anaeamini majini,kuliko anaewaamini Hawa waganga wa kienyeji kina MWAMPOSA na wengineo,eti chumvi ya upako,Mara leso ya upako,Mara sijui chukua mchanga wa pembe nne kwako akauombee, yaani uchawi mtupu na utapeli
 
Kuna bishoo mmoja nae anajiita nabii,eti alienda mbingu ya tatu kupewa unabii, malaika pia walimchukua Hadi chini ya bahari kuu

Huko mbingu ya tatu akaona mambo mengi tu, NIMEMSAHAU jina lake, nahisi sijui anaitwa Richard
 
Vipi wanaoamini mwezi uliwahi kupasuka katikati ukajirudi?
Unashangaa mwezi kupasuka wakati sayansi inakubali kuwa kulikuwa kuna "Big Bang".

Unaelewa ni nini hicho?
 
Kama wewe ulivyoliwa huko.

Suala la ujinga kila mtu ni mjinga kwa namna yake...so huna haki ya kucheka wajinga wenzako.

#MaendeleoHayanaChama
Wajinga ni washangiliaji na watoaji sadaka kwa Mwamposa kama wewe. Sio Mwamposa na sio hao wanawake, wanawake hao mnaowasema wapo pale kuteneza pesa na Mwamposa ndio usiseme.
 
Sikushangai, wengine ng'ombe kwao ni "Mungu".


Hauna tofauti nao.
Popote litajwapo jina la Yesu majini na mapepo hukimbia.

Amini nikuambiayi hutaiona pepo bila kumkubali Yesu kristo na kuachana na huo upagani wako.
 
Sisi wafuasi wa Mwamposa na Kuhani Mussa tunawashangaa ninyi mnavyatokwa na POVU,,,, kwa jinsi ile ile nanyi mnavyotushangaa TUNAIBIWA...😆😆

Mgongano wa Kiimani haunaga SULUHU zaidi ya kukubali KUTOFAUTIANA,, wewe UNATUONA MAPOPOMA NA WAJINGA ila siye tunashangaa kwani POVU la nini...
 
Heri anaeamini majini,kuliko anaewaamini Hawa waganga wa kienyeji kina MWAMPOSA na wengineo,eti chumvi ya upako,Mara leso ya upako,Mara sijui chukua mchanga wa pembe nne kwako akauombee, yaani uchawi mtupu na utapeli
Mkuu bora hivyo kuliko kuamini mambo ya majini mazuri na mabaya. Waislamu ni washirikina wa waziwazi na uchawi wa hatari
 
Back
Top Bottom