Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Mkuu ile inaitwa Stage Managed, yaani Kwenye Mikutano ya Jamaa wale wabao toa shuhuda ni watu kutoka sehemu nyingine kabisa.
Ukweli ni kwamba watu wanapata uponyaji, wakristu kwa waisilamu. Sasa kama kuna management katika kutoa ushuhuda, hilo ni suala lingine
 
Popote litajwapo jina la Yesu majini na mapepo hukimbia.

Amini nikuambiayi hutaiona pepo bila kumkubali Yesu kristo na kuachana na huo upagani wako.
Porojo, hizo. hukimbilia. yesu mwenyewe alikumbwa na jini siku 40. Umesahau?
 
walokole wa kikristu 90% ni wanafiki!!, tofauti na Muslim
 
inamaana wakristo wamejua ni nabii fake ndiyo maana jibu la kwanza pigilia na hili la mdau ndiyo majibu. yaani kama wakristo wenzie hawamwamini ni fake fake fake hata wewe uliyekuja na mada hii humuamini . Hakuna muislamu anayeweza kwenda ombewa huko sababu ni imani tofauti na mafundisho yake .halafu ni maagizo haya
 
Wafia dini waione kwenye jarada..yani niteseke kwa magonjwa na shida mbalimbali..halafu kuna dawa kwa mtu waimani tofauti nisiende eti kisa nini?

#MaendeleoHayanaChama
 
Endelea tu kutoa, tunawajua wajinga ndio mliwao.
Bibi umezeeka ni wakati wako sasa wa kuweka smartphone chini..uanze kutoa nasaha na usia kwa wajukuu..muda umekutupa mkono.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu, wanawake ni viumbe wa ajabu sana ndio maana hudanganyika kirahisi bila kuhoji kitu chochote. Hawa viumbe ni wa hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…