Kwanini wanasiasa wa Zanzibar hawanunuliwi, badala yake tunanunuliwa Watanganyika tu?

Kwanini wanasiasa wa Zanzibar hawanunuliwi, badala yake tunanunuliwa Watanganyika tu?

We zanzibar ushafika yani daladala za kule Kila mtu anachagua PA kushuka na zinasubiria abiria mpaka amalize kuoga.
Wale wamelizika mpaka maduka wanafungua wanavotaka yani akipata laki tu kesho kaoa
 
Mwanasiasa yeyote haijalishi wadhifa wake ni mithili ya malaya. Dau lako ndio kumpata kwake.

Siasa yao haina relevance sana kiasi kwamba hata wakinunuana sisi huku hatujui. Pia wenzetu wana njia nyingi za kununuana kimya kimya bila makelele.
Utakuta mtu anakuwa machachari kukosoa halafu ghafla hasikiki tena, ujue hapa tayari keshatanua miguu kukubali kuliwa.
 
We zanzibar ushafika yani daladala za kule Kila mtu anachagua PA kushuka na zinasubiria abiria mpaka amalize kuoga.
Wale wamelizika mpaka maduka wanafungua wanavotaka yani akipata laki tu kesho kaoa
Wewe nae,dhiki ya bongo utafananisha na zenji?? Hata siku moja watu hawali ugali usiku kama ilivo bongo mchana ugali usiku ugali vitu vipo bei juu lakini wananunuwa watu wao wengi wapo majuu hamna familia ambayo haina mtu nnje ndio ufananishe na nyinyi watu wamikoani watembeza mabakuli Dar?? Nenda kipindi hichi kwenye mijiyao ujionee number ya westerners..Acha chuki bro, hawapangi chumba kama ilivo bara nyumba vyumba sita kila mtu na chumba chake choo kimoja.
 
Wewe nae,dhiki ya bongo utafananisha na zenji?? Hata siku moja watu hawali ugali usiku kama ilivo bongo mchana ugali usiku ugali vitu vipo bei juu lakini wananunuwa watu wao wengi wapo majuu hamna familia ambayo haina mtu nnje ndio ufananishe na nyinyi watu wamikoani watembeza mabakuli Dar?? Nenda kipindi hichi kwenye mijiyao ujionee number ya westerners..Acha chuki bro, hawapangi chumba kama ilivo bara nyumba vyumba sita kila mtu na chumba chake choo kimoja.
Urojo umekuaribu mpaka makalio Yana amua kutumia akili kukuongoza
 
Urojo umekuaribu mpaka makalio Yana amua kutumia akili kukuongoza
Mbona matusi ushapanga vitu vyako hapo kariakoo na kupigwa na juwa ?? Au upo mkoani kusalimia wazee?? Wazanzibar hatuwawezi tukubali tu. Wewe mpaka karne hii watu wanaishi nyumba vyumba 6?? Choo kimoja.
 
..nafuatilia tangu 1995 sijawahi kushuhudia wanasiasa wa Zanzibar wakinunuana kama wa huku Tanganyika.
Wananunulika mkuu ,sema kwa rate ndogo
Ushahidi
1.Mwakilishi wa Jimbo la Mkunazini , Ndugu Msabaha 1995
2.Hamadi Rashid huyu qkaanzishiwa na chama kabisa
3.Aliyekuwa kiongozi wa Upinzani bungeni 1995-2000 Bi Fatma Maghimbi
4.Bi Jidawi...
Ila yote kwa yote wenzetu wana NAFUU
 
Siasa za Zanzibar ziko matured kuliko za Tanganyika, pia ukweli ni kwamba Wazanzibar wana msimamo sana katika jambo lao lolote wanaloliamini kuwa ni sahihi, iwe ni katika siasa au dini, iwe sahihi au sio sahihi unahitaji nguvu ya ziada kumsogeza Mzanzibari kutoka katika msimamo wake.
 
Mpina naye anataka kununuliwa na Chadema
 
Wananunulika mkuu ,sema kwa rate ndogo
Ushahidi
1.Mwakilishi wa Jimbo la Mkunazini , Ndugu Msabaha 1995
2.Hamadi Rashid huyu qkaanzishiwa na chama kabisa
3.Aliyekuwa kiongozi wa Upinzani bungeni 1995-2000 Bi Fatma Maghimbi
4.Bi Jidawi...
Ila yote kwa yote wenzetu wana NAFUU
Hamadi MASOUD
Fatma Magimbi
Marehemu Khalifa
 
Wananunulika mkuu ,sema kwa rate ndogo
Ushahidi
1.Mwakilishi wa Jimbo la Mkunazini , Ndugu Msabaha 1995
2.Hamadi Rashid huyu qkaanzishiwa na chama kabisa
3.Aliyekuwa kiongozi wa Upinzani bungeni 1995-2000 Bi Fatma Maghimbi
4.Bi Jidawi...
Ila yote kwa yote wenzetu wana NAFUU
Hawa nawakumbuka
 
Back
Top Bottom