Kwanini wanaume hatusherehekei siku zetu za kuzaliwa?

Kwanini wanaume hatusherehekei siku zetu za kuzaliwa?

Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa

Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.

Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.

Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?

Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?

Birthday kishwahili chake ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa

Sasa tuulizane kwenye hiyo siku ya kuzaliwa unakuwa unakumbuka nini maana wakati unazaliwa hukuwa na idea yoyote kwamba ndo umezaliwa wala hukumbuki lolote siku ulipokuwa unazaliwa

Hapo unakuwa unasherekea kumbukumbu gani ambayo huna lolote kichwani??
Ivi wanaosherekea hii siku wanaweza kutwambia wanakumbuka siku zao za kuzaliwa zilikuwaje? Matukio gani yalitokea?

Atleast mzazi wangu anaweza kusherekea siku ya kuzaliwa kwangu maana anakumbuka kitu wakati ananizaa
 
Ukiona mwanaume yupo serious anafikiria kujifanyia party ya birthday ujue ana matatizo... Hata hawa watoto wa kiume mna waharibu kuwafanyia birthday party... Mwanaume birthday ikifika piga goti mshukuru Mungu kimya kimya endelea na maisha
 
Mkuu hakuna kitu umezuiwa kufanya niwewe tu na maamuzi yako au unataka ruhusa kutoka kwetu?[emoji16]
 
Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa

Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.

Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.

Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?

Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?
Unasherekea kuzeeka?
 
Mm tangu nizaliwe sikuwah kufanya na huwa nasahau lkn mamaangu huwa ananiwish tangu nipo mdogo japo alikuwa hanifanyii sherehe,

nimefanya birthday mwka huu na wafanyakaz wenzangu ofisin yaan inaburudisha mno nilijihis kuthaminiwa mno inaleta furaha sana japo haikuwa party kubwa ila kunakitu Cha tofauti nilijihis

Ila wanaume naonawako busy sana pia wengi wanakosa support ya watu wa kuwajali Kwa karibu kwenye sikuzao muhimu km hizo sio Kwa sherehe kubwa hta Kwa kadi maua na zawad ndogondogo inavutia mno


Kwa upande wa mpenz kwakweli dear future husband furahayako muhimu kipnde hiki lazima nikiweke sawa[emoji23][emoji23][emoji23]hta Kwa chocolate tutashrehekea tu
May i be your dear future husband?
 
Siai wengine siku zetu za kuzaliwa huwa tunafunga swaum, baadhi ya nyakati tunasahau kabisa.

Lakini kiuhalisia si siku ya kusherehekea, bali unatakiwa kuwaza umetanguliza nini huko uendako baada ya maisha haya ya dunia. Hii ni kwa sisi tunaomini uwepo wa Mola muumba.
Correct mkuu.
 
Wanaume wa dar usimpom-wish kwny birthday yake anakununia.

Nasema uongo ndg zanguuuuhhh?
 
Binafsi nahusisha birthday na vitendo vya ushoga, Mwanaume anayefanya birthday ukimchunguza vizuri utakuta ana hormone fulani na hii ni common kwa wanaume wa dar.

Kwangu mimi kufanya birthday ni sawa na kuusaliti ukoo na wanaume wenzangu dunian kote, Mwanaume wa kweli hawezi kukata keki na kuimba birthday huo ni upuuzi. Kwanza hata kujipost siku ya birthday bado naona sio uanaume. Uanaume ni kukaza hizo birthday tuachie wanawake.
 
Habari ndugu wana jamvi. Binafsi napenda kuwapongeza kwa ujenzi wa taifa. Maana hata hizi bundle tunazonunua tunachangia uchumi kwa kiasi kikubwa

Pia nimpongeze mama kwa kuupiga mwingi maana bila juhudi zake na sisi tungekua sri lanka.

Baki tu the topic.
Kumekuwa na mijadala mingi inayozungumzia wanawake na tabia zao kwa ujumla na tumekua tukikumbushwa sana jinsi ya kuishi nao kwa akili hapa dunia na wamekua na matukio mengi ya kushangaza dunia kwa ujumla.

Napenda kuuliza kwanini wanaume wengi huwa hawana muda na kitu kinachoitwa birthday? Si ajabu ukakuta anapeleka gift kwa beloved someone ila siku yake ikifika hana mpango japo sio wote ila kwa waliowengi.
Binafsi sikumbuki tarehe 24november kila mwaka hua inaisha isha kiaje?

Tushee mawazo... Vipi kwako hua unasherehekea? If not why? And if yes with who?
Na vipi to your beloved huwa unampa gift au huwa unampotezea?
Hayo ya wanawake na watoto. Wanaume tuna majukumu na wajibu mkubwa wa kutimiza katoka familia kuliko kuwaza vitafrija kama hivyo!!
 
Back
Top Bottom