Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Sii tulishamaliza haya maswali... Hahaha...Hujajibu Ujue.
Kwanini mnachepuka??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sii tulishamaliza haya maswali... Hahaha...Hujajibu Ujue.
Kwanini mnachepuka??
Tukanyongwe na nani?Mjuane halafu mkanyongwe sio?
Sauuwa boss 😘Sii tulishamaliza haya maswali... Hahaha...
Akikujibu nitag 🤣🤣Hujajibu Ujue.
Kwanini mnachepuka??
Mwanaume lazima awe na wanawake zaidi 1 tofaut na Hilo ni tatizo kubwa mno kwako hujaumbwa hivyoTukanyongwe na nani?
Huo ni mtazamo wakoMwanaume lazima awe na wanawake zaidi 1 tofaut na Hilo ni tatizo kubwa mno kwako hujaumbwa hivyo
Najua hawezi kukupa jibu 😂
Wenzio wamesema wanachepuka sana tu, na mna hatimiliki ya kuchepuka.
mke anampa tiGo?Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Sema wetu na wengineHuo ni mtazamo wako
Hapana ni vile tu tunakutana kwenye uziIla ww ss hivi unanifatilia sana 😂😂😂
Usilazimishe na wengine waingie kwa mtazamo wakoSema wetu na wengine
MhUnakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?